Milango ya vioo isiyovunjika

wakitambo

Member
Jul 25, 2012
14
4
Habarini, WanaJF,

Kuna jambo linaniumiza kichwa. Ningependa kuuliza hivi kuna milango ya vioo ambayo wezi hawawezi kuivunja. Kama ipo hapa Dar, naweza kuipata wapi?

Karibuni wadau mnisaidie..
 
ndugu wezi wanavunja hadi chuma itakuwa kioo?
we ungeulizia vioo imara na sio visivyovunjwa na wezi!
 
Usianzishe ugomvi wakati unaishi kwenye nyumba ya vioo. maana yake ukirushiwa mawe kitapasuka. hakuna kioo kisichoweza kupasuka bali kuna vioo imara kama vile vya miwani na simu za tochi.
 
Habarini,wana JF, Kuna jambo linaniumiza kichwa. Ningependa kuuliza hivi kuna milango ya vioo ambayo wezi hawawezi kuivunja. Kama ipo ha[a Dar naweza kuipata wapi.
Karibuni wadau mnisaidie
Vipo vioo vigum sana ambavyo ni ngumu kuvunja hata kwa risasi. Kwa hapa Dar sjuwi kampuni gani inajihusisha lakini bei yake lazima utakuwa shikamoo!
 
Tafuta reinforced and bullet proof glass kama zipo hapa Bongo, but be prepared to go deep in your pocket.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom