Mi nadhani wakati watanzania wanachangia, Madaktari waendelee kuwahudumia wagonjwa wanaoweza kutibiwa hapa hapa nchini haitakuwa kitu cha msingi watanzania wakahangaika na mtu mmoja wakati Mamia ya Wagonjwa wanakufa mahospitalini.
Halafu ni kweli Madaktari wanalamika dawa hakuna hospitali au ni pendekezo lao la kulipwa Mshahara wa Milioni 3.5 kwa mwezi, katika hili nawaelaza Madaktari wafanye analysis waje na data kama inawezekana ila
Prof analipwa 2.5M ambaye anamfundisha Daktari.
Mbunge 2.5M. Nakushauri kaombe Salar slip ya Mbunge wako wa Jimbo atakupa
Hlafu 60% ya Madai yametekelezwa hata lile mlilotaka kukopeshwa Magari, Posho kuongezwa yametekelezwa, na Mashine mliyokuwa mnahitaji Itengenezwe Wataalam wanakuja kutoka kule mashine ilikokuwa imetengenezwa, Mlikuwa hammtaki waziri ametotolewa ten pamoja na Katibu Mkuu ndugu Blandin Nyoni waelezeni watanzania Ukweli wa Madai yenu kupitia vyombo vya Habari kwa sababu watanzania ndio waajiri wenu Mnalipwa mishahara kodi za Watanzania.
Halafu ni kweli Madaktari wanalamika dawa hakuna hospitali au ni pendekezo lao la kulipwa Mshahara wa Milioni 3.5 kwa mwezi, katika hili nawaelaza Madaktari wafanye analysis waje na data kama inawezekana ila
Prof analipwa 2.5M ambaye anamfundisha Daktari.
Mbunge 2.5M. Nakushauri kaombe Salar slip ya Mbunge wako wa Jimbo atakupa
Hlafu 60% ya Madai yametekelezwa hata lile mlilotaka kukopeshwa Magari, Posho kuongezwa yametekelezwa, na Mashine mliyokuwa mnahitaji Itengenezwe Wataalam wanakuja kutoka kule mashine ilikokuwa imetengenezwa, Mlikuwa hammtaki waziri ametotolewa ten pamoja na Katibu Mkuu ndugu Blandin Nyoni waelezeni watanzania Ukweli wa Madai yenu kupitia vyombo vya Habari kwa sababu watanzania ndio waajiri wenu Mnalipwa mishahara kodi za Watanzania.