Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
MAELEKEZO RASMI YA KAMATI KUHUSU UCHANGIAJI WA FEDHA ZA MATIBABU YA DR.STEVEN ULIMBOKA.
Baada ya majadiliano kati ya familia ya Steven Ulimboka,kamati ya jumuiya ya madaktari na MAT.Zifuatazo ni namba za mawakala zitakazotumika kuchangia.
MPESA 31915
TIGOPESA 05416.
CHITAGE.
asakuta same, tuthibitishie kuwa zitafika kunakotakiwa bila mawaa plse.
Last edited by a moderator: