Mikopo ya bank za kibiashara aliyokuwa anakopa Magufuli machungu yake ndio yanaonekana sasa

Katika andiko lako, unetumia hisia na mihemko bila kutumia akili.
Tulitegemea tuone
1. Benki gani binafsi alikopa.
2. Riba ilikuwa kiasi gani.
3. Muda wa kurejesha mkopo una urefu gani.
4. Kiasi alichokopa ni shs ngapi.
5. Concessional loans wanakopesha kwa riba kiasi gani.
6. Nk.
Bila kuainisha mambo kama haya utakuwa unafukuza upepo tu na kupiga ngumi hewani.

Pia faida kwa mabenki haiathiri mzunguko wa fedha kama ulivyokuwa unasema. Kwa taarifa yako, sasa kuna mzunguko wa fedha mkubwa sana hivi kwamba BoT imetoa sera ya udhibiti.
habari za magufuli kukopa mbona zilikua wazi yaani nikutafunie kila kitu hapana maisha sio marahisi hivyo kama ulikua hufuatilii pole
 
Kwenye hii dunia ili ushindane na mzungu inahitaji uwe na akili kubwa sana ya kufikiria mbali ukishindana na mzungu kwa hisia ni swala la mda tu utaumia sana RAIS magufuli alitumia hisia kushindana na wazungu

Wakati magufuli kaamua kuchukua mikopo bank binafsi watu tulilaani sana ila wako waliotubeza leo hii ndo madhara yanaanza kuonekana serekali inatumia makusanyo mengi ya kodi kulipa mikopo aliyochukua magufuli kwenye bank za biashara

Gharama za miradi aliyokua anaisema Rais magufuli ni ya uongo alidanganya maksudi ili apate political popularity gharama ya hii miradi ni mikubwa zaidi ya tulivyokua tunaambiwa

Muda wa kumalizika hii miradi ilikua ni uongo, tulidanganywa kwamba itawahi kuhisha lakin kiuhalisia itachukua mda mwingi na hata wakimaliza kuimaliza kuna uwezekano mkubwa wakalipua pua unakumbuka magufuli alishapingaga visibility study kwa sababu tu alihisi inampotezea mda

Japokua hali ni ngumu sana bank kama nmb imepata faida kubwa sana hii inamaan hakuna trickle down economy
Hii inamaana ela/fedha zinabaki kwa matajiri tu ila hazifiki kwa mtu wa katikati au chini ndo maan ukienda karikaoo magorofa yanapanda kama uyoga

Hakuna mtu in short run angeweza kushafisha haya madudu ambayo aliyafanya magufuli

Watu wanamlaumu samia na kumkumbuka magufuli ila ukweli ni kwamba angekua magufuli hali hii ingekua ngumu zaidi sababu angetumia ubabe na nguvu kuikabili kuliko akili
Umesema yote! Bahati Mbaya Jiwe hajaishi mpaka leo hii ili auone ugoro wake
 
Kwenye hii dunia ili ushindane na mzungu inahitaji uwe na akili kubwa sana ya kufikiria mbali ukishindana na mzungu kwa hisia ni swala la mda tu utaumia sana RAIS magufuli alitumia hisia kushindana na wazungu

Wakati magufuli kaamua kuchukua mikopo bank binafsi watu tulilaani sana ila wako waliotubeza leo hii ndo madhara yanaanza kuonekana serekali inatumia makusanyo mengi ya kodi kulipa mikopo aliyochukua magufuli kwenye bank za biashara

Gharama za miradi aliyokua anaisema Rais magufuli ni ya uongo alidanganya maksudi ili apate political popularity gharama ya hii miradi ni mikubwa zaidi ya tulivyokua tunaambiwa

Muda wa kumalizika hii miradi ilikua ni uongo, tulidanganywa kwamba itawahi kuhisha lakin kiuhalisia itachukua mda mwingi na hata wakimaliza kuimaliza kuna uwezekano mkubwa wakalipua pua unakumbuka magufuli alishapingaga visibility study kwa sababu tu alihisi inampotezea mda

Japokua hali ni ngumu sana bank kama nmb imepata faida kubwa sana hii inamaan hakuna trickle down economy
Hii inamaana ela/fedha zinabaki kwa matajiri tu ila hazifiki kwa mtu wa katikati au chini ndo maan ukienda karikaoo magorofa yanapanda kama uyoga

Hakuna mtu in short run angeweza kushafisha haya madudu ambayo aliyafanya magufuli

Watu wanamlaumu samia na kumkumbuka magufuli ila ukweli ni kwamba angekua magufuli hali hii ingekua ngumu zaidi sababu angetumia ubabe na nguvu kuikabili kuliko akili
0 brain
 
Ila uzi hauhusu hayo uliyoyasemea kwanini usijikite kwenye mada ya uzi
Hakuna sehemu nimeongelea umeme au changamoto nyingine
We umeongelea madhaifu ya Magufuli kwamba alikopa hovyo ila alichokifanya tumekiona. Kwangu mimi sioni tatizo kama alikopa ili afanye mambo ya maana. Ila mmeliongelea on the downside ofcoz riba lazima zilipwe.

Je, comparison mnayofanya baina ya hizi tawala mbili na kuja na notion kwamba aliepo madarakani ana uwezo zaidi wakati mambo chanya hayaonekani zaidi ya mapambio yasio na substance huku hali inazidi kuwa mbaya zaidi ni upuuzi tu.
 
Kwenye hii dunia ili ushindane na mzungu inahitaji uwe na akili kubwa sana ya kufikiria mbali ukishindana na mzungu kwa hisia ni swala la mda tu utaumia sana RAIS magufuli alitumia hisia kushindana na wazungu

Wakati magufuli kaamua kuchukua mikopo bank binafsi watu tulilaani sana ila wako waliotubeza leo hii ndo madhara yanaanza kuonekana serekali inatumia makusanyo mengi ya kodi kulipa mikopo aliyochukua magufuli kwenye bank za biashara

Gharama za miradi aliyokua anaisema Rais magufuli ni ya uongo alidanganya maksudi ili apate political popularity gharama ya hii miradi ni mikubwa zaidi ya tulivyokua tunaambiwa

Muda wa kumalizika hii miradi ilikua ni uongo, tulidanganywa kwamba itawahi kuhisha lakin kiuhalisia itachukua mda mwingi na hata wakimaliza kuimaliza kuna uwezekano mkubwa wakalipua pua unakumbuka magufuli alishapingaga visibility study kwa sababu tu alihisi inampotezea mda

Japokua hali ni ngumu sana bank kama nmb imepata faida kubwa sana hii inamaan hakuna trickle down economy
Hii inamaana ela/fedha zinabaki kwa matajiri tu ila hazifiki kwa mtu wa katikati au chini ndo maan ukienda karikaoo magorofa yanapanda kama uyoga

Hakuna mtu in short run angeweza kushafisha haya madudu ambayo aliyafanya magufuli

Watu wanamlaumu samia na kumkumbuka magufuli ila ukweli ni kwamba angekua magufuli hali hii ingekua ngumu zaidi sababu angetumia ubabe na nguvu kuikabili kuliko akili
Weee weweeeeeee weeeeee
Wewe inakuuma nini
Ukimkaziii tuu unakusumbuaaa
 
Legacy yake bado ipo ndo hii inatesa nchi
Mtu anaweza akafa leo ila maamuzi yake yakawa tanzi kwenu miaka mingi sana
Maamuzi ya hovyo, unajua nchi inapeleka mamilioni mangapi ya dola kuagiza vifaa vya miradi ya hovyo? Na unajua nchi inapeleka bidhaa zipi nje ya nchi zenye uwezo wa kuleta dola ambazo zitatumika kulipia mitambo na huduma nje ya nchi?
 
Maamuzi ya hovyo, unajua nchi inapeleka mamilioni mangapi ya dola kuagiza vifaa vya miradi ya hovyo? Na unajua nchi inapeleka bidhaa zipi nje ya nchi zenye uwezo wa kuleta dola ambazo zitatumika kulipia mitambo na huduma nje ya nchi?
Miradi ya hovyo nani aliyeanzisha kama sio magufuli
Ntajie mradi wowote mkubwa samia aliouanzisha
 
Miradi ya hovyo nani aliyeanzisha kama sio magufuli
Ntajie mradi wowote mkubwa samia aliouanzisha
Ameshindwa hata kuanzisha mradi wa kulima Bustani,ila tu amewafukuza Wamasai Ngororo na Loliondo na kuwakabidhi Waarabu.
 
Kwenye hii dunia ili ushindane na mzungu inahitaji uwe na akili kubwa sana ya kufikiria mbali ukishindana na mzungu kwa hisia ni swala la mda tu utaumia sana RAIS magufuli alitumia hisia kushindana na wazungu

Wakati magufuli kaamua kuchukua mikopo bank binafsi watu tulilaani sana ila wako waliotubeza leo hii ndo madhara yanaanza kuonekana serekali inatumia makusanyo mengi ya kodi kulipa mikopo aliyochukua magufuli kwenye bank za biashara

Gharama za miradi aliyokua anaisema Rais magufuli ni ya uongo alidanganya maksudi ili apate political popularity gharama ya hii miradi ni mikubwa zaidi ya tulivyokua tunaambiwa

Muda wa kumalizika hii miradi ilikua ni uongo, tulidanganywa kwamba itawahi kuhisha lakin kiuhalisia itachukua mda mwingi na hata wakimaliza kuimaliza kuna uwezekano mkubwa wakalipua pua unakumbuka magufuli alishapingaga visibility study kwa sababu tu alihisi inampotezea mda

Japokua hali ni ngumu sana bank kama nmb imepata faida kubwa sana hii inamaan hakuna trickle down economy
Hii inamaana ela/fedha zinabaki kwa matajiri tu ila hazifiki kwa mtu wa katikati au chini ndo maan ukienda karikaoo magorofa yanapanda kama uyoga

Hakuna mtu in short run angeweza kushafisha haya madudu ambayo aliyafanya magufuli

Watu wanamlaumu samia na kumkumbuka magufuli ila ukweli ni kwamba angekua magufuli hali hii ingekua ngumu zaidi sababu angetumia ubabe na nguvu kuikabili kuliko akili
Mnajitahidi kumzushia kila uchafu wote ili kuifuta legacy yake nyie chawa wa mafisadi mnafikiri hatujui kama mnaiba
 
Kwenye hii dunia ili ushindane na mzungu inahitaji uwe na akili kubwa sana ya kufikiria mbali ukishindana na mzungu kwa hisia ni swala la mda tu utaumia sana RAIS magufuli alitumia hisia kushindana na wazungu

Wakati magufuli kaamua kuchukua mikopo bank binafsi watu tulilaani sana ila wako waliotubeza leo hii ndo madhara yanaanza kuonekana serekali inatumia makusanyo mengi ya kodi kulipa mikopo aliyochukua magufuli kwenye bank za biashara

Gharama za miradi aliyokua anaisema Rais magufuli ni ya uongo alidanganya maksudi ili apate political popularity gharama ya hii miradi ni mikubwa zaidi ya tulivyokua tunaambiwa

Muda wa kumalizika hii miradi ilikua ni uongo, tulidanganywa kwamba itawahi kuhisha lakin kiuhalisia itachukua mda mwingi na hata wakimaliza kuimaliza kuna uwezekano mkubwa wakalipua pua unakumbuka magufuli alishapingaga visibility study kwa sababu tu alihisi inampotezea mda

Japokua hali ni ngumu sana bank kama nmb imepata faida kubwa sana hii inamaan hakuna trickle down economy
Hii inamaana ela/fedha zinabaki kwa matajiri tu ila hazifiki kwa mtu wa katikati au chini ndo maan ukienda karikaoo magorofa yanapanda kama uyoga

Hakuna mtu in short run angeweza kushafisha haya madudu ambayo aliyafanya magufuli

Watu wanamlaumu samia na kumkumbuka magufuli ila ukweli ni kwamba angekua magufuli hali hii ingekua ngumu zaidi sababu angetumia ubabe na nguvu kuikabili kuliko akili
Acha ufala
 
Sioni kama ni sawa kumtupia lawama Hayati kwa mwenendo wa mambo yalivyo hivi sasa.

Magufuli alijitahidi mno kwa wakati wake kuhakikisha
1. Miundombinu inakaa sawa
2. Nidhamu ya watendaji serikalini inakuwa ya hali ya juu
3. Huduma muhimu i.e maji, umeme, Afya, Elimu, na chakula vinakuwa si tatizo kwa wananchi.

NB: hatukatai kukopa kwake kufanya miradi, lakini Value for money ilionekana.

Hayati apewe maua yake. Na mama pia apewe maua yake kwa kuifungua nchi
 
Back
Top Bottom