Wana JF, mimi mi mwanachama wa hii mifuko ya kusaidiana. Nadahan mnaifahamu, ipo karibu katika kila ofisi na hata miongoni mwa majirani. Katika mfuko wetu mtu akikopa hulazimika kulipa na riba ya 10%. Mathalan, akikopa 10,000 itampasa kulipa 11,000. Tunataka kuondoa suala la riba. tufanyaje???? kila mwezi tunatoa mchango wa tsh 5000