dropingcoco
Senior Member
- Jun 21, 2008
- 124
- 11
Wadau ningependa kuuliza na pia kujua, hivi haya makampuni ya simu hizi promoshen za magari wanazotoa huwa wanazingatia upatikanaji wa spea? sasa hivi vodacom wana hii promosheni ya mikoko aina ya hyundai, mkorea kwa hapa TZ ana nafasi kweli? sio nije nishinde na mimi naishi huku Namtumbo then likikorokocha niliweke juu ya mawe, sipendi hili linitokee