Na siku hizi hapo kwenye pink kunafanyiwa kazi kwelikweli, nadhani na wewe unaweza kuwa shaidi au nadanganya? hahahunatakiwa umjue mkeo kabla hujaoa,kuvikuta hivyo vitu haimaanishi infidelity imetake place.....labda amepewa amshikie mtu unajuaje???LOL:redfaces:
Dawa ya infidelity ni infidelity.
Bacha....hapo hakunaga mwanaume/mwanamke....ngoma droo, ila naogopaga wanaume wapole....ndio funga kazi hao!....bora umpate yule chakaramu chakaramu fulani, wale wa kuinamisha shingo...pweehhh wengi wa ma frnd zangu wamelizwa sana.
Na kama yeye hachiti?Ayaaaaa weeeee tayari keshamegewa huyo. KY na rubber za nini?
Dawa hapo ni yeye naye kuanza kumega nje kama bado hajafanya hivyo.
This is one of the reasons why I subscribe to the principle of 'when in a relationship, cheat first'.....so even if you come to find out later that your significant other has been creepin' on you, hey it won't bother you much coz you got her first.....
But in there is no trust in this world. Trust is just a myth....
Fab....hakunaga kujuana mkiwa bfnd/gfnd/uchumba....hata mkikaa miaka 10 hamtajuana kiundani, subiria muanze kujambiana kwenye mablanketi ndio kila mtu atamjua kumbe huyu c wa njano bali wa pink....hii sector haitabiriki jamani, na hakuna anayoenda nayo sawa 100%, kuna raha na karaha za kumwaga.
Na kama yeye hachiti?
Utajisikiaje kumsaliti 'your significant one'? (hapo mi naona ni your insignificant one kwanza)
DUh! ndo maana huwa sicheki mesage wala pochi la waifu.
my principle is Don't go looking for shit,Let shit find you
huyo jamaaa was looking for shit,he found it,sasa inabidi ameze hiyo shit,ukizingatia wife ana KY jelly with condom,inamaana anatumia kondom and ky jelly for lubricating nini sijui Tigo au Zain. au ndio mambo ya Zantel kutwanga Kote kote
Mh! I am puzzled,sihofii kuhusu kondomu,hofu yangu kubwa ni hayo mafuta ya jelly!anayatumiaga kurainishia nini?inatisha mchungaji,nashindwa hata nikushauri nini!
Sitetei hata kidogo uchafu wa huyu mke lakini pia sikubaliani na wewe kwenye huko kusaliti kabla hujasalitiwa ili tu ujiwekee kinga ya maumivu. Na hata inaweza isiwe kinga mwisho wa siku bali maumivu zaidi.Nightangale of paradise (wewe m-baha'i eeh?)
Ukiwa mke wa mtu kwa nini lakini uhifadhi hivyo vitu kwenye mkoba wako? Kufanya hivyo ni kumpa sababu mwenzi wako ya kufikiri mengi yakiwemo hayo ya kuibia. Ni jambo rahisi sana. Usimpe mwenzi wako (kama unampenda kikweli kweli) sababu yoyote ile ya kuhisi vingine. Ni hivyo tu.
Now u are talking! Kosa kama hilo kwa upande wangu, msahamaha pekee atakaostahili mkosaji ni talaka...Clearly by any metric that's just not a good look for the wifey. If I were the guy I'd just kick her to the curb and keep it moving. There are a gazillion of women out there. Why stick around for her? She's a trick. You don't keep KY jelly in your purse. Even if you use it with your hubby you'd keep it at home and not in the purse. I smell a rat...a big fat one.
Sitetei hata kidogo uchafu wa huyu mke lakini pia sikubaliani na wewe kwenye huko kusaliti kabla hujasalitiwa ili tu ujiwekee kinga ya maumivu. Na hata inaweza isiwe kinga mwisho wa siku bali maumivu zaidi.
Mimi siwezi kumpa my significant one sababu yoyote ya kunitilia mashaka. Not today not ever!
I am the Nightangale of the Paradise singing on the twigs of a tree
.
Now u are talking! Kosa kama hilo kwa upande wangu, msahamaha pekee atakaostahili mkosaji ni talaka...