rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Mbeya===ndio wanaishi kwa furaha zaidi kuliko mikoa yote,sababu kubwa ni ile ya kuamini lazima kila mtu atakuwa tajiri siku moja Kilimanjaro==ndio wanaishi kwa strees zaidi kwa kuwa maisha ndani ya mkoa wao ni magumu na yanahitaji akili ya hali ya juu zaidi
Iringa===wanaishi maisha yenye giza mbele kwa kuwa wanaonekana wamekata tamaa zaidi kuliko mikoa mingine
Mtwara==wamezoea matatizo magumu na wanaona ni kitu cha kawaida kwao
Rukwa==wanaishi kwa kuheshimu binadam wenzao zaidi kwa kuwa wanajua maana ya radi za kutengeneza
Arusha==wanaishi kwa matumaini ya maisha kubadilika lakini inaonekana kama itakuwa ngumu zaidi kwa sababu serikali ya ccm imeamua kuwakomoa kwa vile walichagua upinzani
list itaendelea kwa kuwa tupo ofisini tunaendelea kufanya research
Iringa===wanaishi maisha yenye giza mbele kwa kuwa wanaonekana wamekata tamaa zaidi kuliko mikoa mingine
Mtwara==wamezoea matatizo magumu na wanaona ni kitu cha kawaida kwao
Rukwa==wanaishi kwa kuheshimu binadam wenzao zaidi kwa kuwa wanajua maana ya radi za kutengeneza
Arusha==wanaishi kwa matumaini ya maisha kubadilika lakini inaonekana kama itakuwa ngumu zaidi kwa sababu serikali ya ccm imeamua kuwakomoa kwa vile walichagua upinzani
list itaendelea kwa kuwa tupo ofisini tunaendelea kufanya research