betPawa hawafai wala hawavutii tena siku hizi.
nimejaribu kuiweka hiyo code niangalie bonus itakuwaje. 191 odds nikazidisha na sh. 100 imekuja sh. 17,000, maana yake bonus ni 0%. situmii tena betPawa, labda warudishe bonus.
Hatari, mimi huwa naangalia codes... Kama niya uhakika najilipua nayo tu, hapo ukiweka hata 1000 tu unakula laki na 70 yako mi mbona naona poa tu! ila ukiamua kujilipua hata kwa 20K tu unaondoka na milioni zako tatu za fasta boss wangu.
 
Betpawa haivuti kwa wale unga unga mwana, ukiona mtu analalamika bonus za bet pawa kushuka huyo hela hana kaz hana nimemaliza oya matajir wenye mpungaa tuendelee kutumia betpawa naona maskin wametupisha tena nashukuru wa mia mia mnavyoanza kupungua ni unyamaaaa
 
Betpawa haivuti kwa wale unga unga mwana, ukiona mtu analalamika bonus za bet pawa kushuka huyo hela hana kaz hana nimemaliza oya matajir wenye mpungaa tuendelee kutumia betpawa naona maskin wametupisha tena nashukuru wa mia mia mnavyoanza kupungua ni unyamaaaa
Ila we mtu dah,,,,,,


Basi sawa
 
Haipo complicated kutumia ukicompare na betting sites zingine, ndio maana wageni wengi wa kubet wanaanzia hapo boss... Angalau M-Bet pia ni rahisi kwa wengi ila haipo advanced sana.
Sportybet wapo vizuri kuliko BP mfano kuedit code ni ngumu kwenys betpawa ila kwenye Sportybet ni simple ....kwenye sportybet unao uweza wa kutengeneza best flavour zako za option ila kwenye betpawa sijaona hiyo kitu ...sportybet wana options nyingi na nzuri sana
 
Betpawa haivuti kwa wale unga unga mwana, ukiona mtu analalamika bonus za bet pawa kushuka huyo hela hana kaz hana nimemaliza oya matajir wenye mpungaa tuendelee kutumia betpawa naona maskin wametupisha tena nashukuru wa mia mia mnavyoanza kupungua ni unyamaaaa
😄😄..mr pipa unzazingua..
ila.izo mia ndo zilitaka kumfilisi kanji.
 
Betpawa haivuti kwa wale unga unga mwana, ukiona mtu analalamika bonus za bet pawa kushuka huyo hela hana kaz hana nimemaliza oya matajir wenye mpungaa tuendelee kutumia betpawa naona maskin wametupisha tena nashukuru wa mia mia mnavyoanza kupungua ni unyamaaaa
Kampuni ya kimasikin hio Mzee ,betpawa Ni ya makapuku Mzee Hakuna MTU mwenye Akili timamu anaweza deposit hata 1m betpawa ...kaangalie 1xbet watu wanavodepost hata 5m ,,kumpa Ty Haaland to score na wanatoka na mpunga mrefu ...

Endeleeni kuwaokota Hao Hao ambao hawajitambui
 
Bado Tu mnatumua betpawa ,game moja option ziko 10 tu ,Tena double unakuta ya kutafuta Kwa manati ....

Saizi Hakuna bonus maana watu walikuwa wanakusanya odds za 1.03 kutaka bonus saizi Hakuna ...

Means betpawa anawavuta kwenye angle ya kupigwa tu ,mpaka uje Kula Damu zimemwagika za kutosha

No foul
No shots on target
No corner
No thrown in
No player stats ( tos score or not to score ,mfano kesho Haaland lazima afunge ,hauwezi bet hii option betpawa
No shots toward the goal
Mimi kilicho kuwa kinanileta betpawa ni bonus tu mengine yote ni upumbavu tu ..hivyo ninamalizia pesa zangu nilizo kuwa nazo kwenye bp nisepe mazima ....sasa nita kita mizizi sportybet tu au nitakuwa nafanya mchakato wa kubadili code za bp kuwa sportybet ili nicheze
 
na kufuta account moja inakuwaje procedure zake aua niwasiliane nao tu, maaana mikeka tulosuka safari hii , Kanji lazima auze vipawa benki magomeni
Wengine si kwamba wana account mbili ila kuna swala la kusajiliana rain za simu...unakuta mtu umemsajilia kumbe naye anacheza hii kitu ....inatakiwa kuwe na sehemu ya kuangalia account zako kama zipo zaidi ya moja
 
Wazee Hawa wote wametoka kulambwa juzi ushauri wanandugu😀
Screenshot_20231103-111037_1xBet.jpg
 
DAR ES SALAAM: A sports betting company in Tanzania is paying a total of 53.8bn/- to customers after correctly predicted the sports results outcomes within only 10 days.

According to betPawa, a total of 335,706 of its customers emerged victorious after accurately predicting the results of sports events played within a span of 10 days from Saturday, October 21 to October 30, this year.

“Different customers celebrated their victories during the success of accurately predicting sports outcomes,” the company said.

According to sport betting company, the biggest winner walked away with a total of 372.9m/- from a 2,200/- stake, including a 645 percent winning bonus on the 50 matches they had bet on.

“Due to this large number of winners, unprecedented delays in payments occurred throughout the sports betting industry. For BetPawa, having numerous winners necessitated increasing the daily limits for mobile money accounts. ”

“Nevertheless, we are working 24/7 to finalize the payments for the remaining few winners,” betPawa county manager Borah Ndanyungu was quoted as saying.
 
Back
Top Bottom