Kanji ***** mpk elf 9 kazuia cash out njiwa manga uyu
 

Attachments

  • Screenshot_20231029-111940.png
    Screenshot_20231029-111940.png
    36.5 KB · Views: 2
Barikiwa sana Mkuu, mimi Auxerre kaniua kinyama mno, dakika ya 96 kati ya 5 za nyongeza, nilistake 100,000 nilikuwa napata 900,000. Ila nimeamua jana ndio mwisho wangu kutumia bet pawa, nimebakiwa na mkeka mmoja tu huko, sirudi tena, maana ilibaki match moja tena win or draw na market ilikuwa bado ipo, Ila cash out hakuna, ni zaidi ya mara nne anafanya huu ujinga, hata last week match ya FCSB nisingekuwa nakosa hata laki 6 -7 kwenye makampuni serious kama Sportybet. Yaani hawana Win to Win marketing approach kabisa.
IMG_20231029_043633.jpg


Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
 
By the way...Mimi si muumini katika GG hata siku 1..!

But....Kwenye hii code...Nimeipa GG mechi ya Leverkusen... "Confidently!"

40D3454 spot...bet

Na mechi ya kwanza tu!..Saa 6 hii Tobol kostanay...nimemuomba goli 1

But kama wewe ni KUNGURU! ..Muoga zaidi kama mm....stake code ya chini ....

Nimezipaka kilainishi (vaseline hizo mechi 2...kutoka GG to over 1.5...

C6420F
Safi sana Mkuu naona umeamua kuhama bet pawa, nimekufuata kuanzia leo.

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
 
Barikiwa sana Mkuu, mimi Auxerre kaniua kinyama mno, dakika ya 96 kati ya 5 za nyongeza, nilistake 100,000 nilikuwa napata 900,000. Ila nimeamua jana ndio mwisho wangu kutumia bet pawa, nimebakiwa na mkeka mmoja tu huko, sirudi tena, maana ilibaki match moja tena win or draw na market ilikuwa bado ipo, Ila cash out hakuna, ni zaidi ya mara nne anafanya huu ujinga, hata last week match ya FCSB nisingekuwa nakosa hata laki 6 -7 kwenye makampuni serious kama Sportybet. Yaani hawana Win to Win marketing approach kabisa.View attachment 2796634

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
duh betpawa tunakimbilia bonus tu lakini wanayumba sana
 
Barikiwa sana Mkuu, mimi Auxerre kaniua kinyama mno, dakika ya 96 kati ya 5 za nyongeza, nilistake 100,000 nilikuwa napata 900,000. Ila nimeamua jana ndio mwisho wangu kutumia bet pawa, nimebakiwa na mkeka mmoja tu huko, sirudi tena, maana ilibaki match moja tena win or draw na market ilikuwa bado ipo, Ila cash out hakuna, ni zaidi ya mara nne anafanya huu ujinga, hata last week match ya FCSB nisingekuwa nakosa hata laki 6 -7 kwenye makampuni serious kama Sportybet. Yaani hawana Win to Win marketing approach kabisa.View attachment 2796634

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Yaah Sportybet kwa Cashout wanyamaa sanaa.. 1xbet na Betpawaa ni wagumuu mnooo
 
Barikiwa sana Mkuu, mimi Auxerre kaniua kinyama mno, dakika ya 96 kati ya 5 za nyongeza, nilistake 100,000 nilikuwa napata 900,000. Ila nimeamua jana ndio mwisho wangu kutumia bet pawa, nimebakiwa na mkeka mmoja tu huko, sirudi tena, maana ilibaki match moja tena win or draw na market ilikuwa bado ipo, Ila cash out hakuna, ni zaidi ya mara nne anafanya huu ujinga, hata last week match ya FCSB nisingekuwa nakosa hata laki 6 -7 kwenye makampuni serious kama Sportybet. Yaani hawana Win to Win marketing approach kabisa.View attachment 2796634

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Duu aisee pole,kama umebet sportbet naomba code mkuu,Sina idea yoyote
 
Back
Top Bottom