Screenshot_20231015_132637_Chrome.jpg

Daah.......kulaanina
 
bora kubetia football kuliko hockey. hockey ngumu wazee. mechi inayoonekana kutoa over/under, matokeo yanakuja tofauti.

hockey ni ngumu, lakini bado sportybet wanabana options, mfano, over inayotakiwa kuanza 3, sportybet wanaanzia over 6. hapo lazima ulost.
 
Ukiona hivi ujue hata kuitumia xbet hujui ,endelea kutumia betpawa Mzee
Sasa jibu gani mkuu hilo
najua naona mtu akitaka kuwithdroo unapewa code kisha unampa wakala hyo code akutumie mzigo.ndo nauliza hawez kimbia na hela? nipe jibu hapo
 
Back
Top Bottom