Wakuu ngoja nilale. Mkeka wangu uko mikononi mwa Porto nimemwomba goli Moja na mwenzaka kala red tayari. Leo nikisema kanji kashikilia nitakuwa mwongo.
 
Leo sijabeti Niko bar napitia nyuzi humu sijaona win kabisa, ni nini shida wakamaria wenzangu?

Kuna jamaa uko juu kadai kuwa watu wanaoweka stakes kubwa ndo wanamkaanga kanji nimeshangaa sana, Mimi apa ni mfano, zamani nilikuwa naweka kuanzia 200k mpaka 500k ila saivi naweka 5k to 10k mwisho,, don't ask why.!!

ata ukiweka wachezaji wasipenge uwanjani mkeka unachanika.
Kabakia Fc Porto tu watu tufunge hesabu
 
Najaribu kuiomba Cash out inagoma



Dah
 

Attachments

  • Screenshot_20230422-233522.png
    Screenshot_20230422-233522.png
    21.6 KB · Views: 5
3ECBFC8

BBF7D89

C3A32C2

2675956

30271AA

9ED581A

93EDE6C

413ECBA

AA13F4

0C3A0E8

783B5EE

54D2C5A

9593FDA


NB:UKIAMUA KUZIFUATA USIRUKE CODE HATA MOJA .. MATCH ZA LEO USIKU , STAKE KULINGANA NA MTAJI WAKO .

SPORTYBET , DRAW OR OVER 2.5
Mwanangu hii mikeka yako naikubali ila shida kwangu sporty bet haifunguki. Sio kwenye app wala browser, naishia kuangalia tu.
 
Fc Porto qumamake zake oya kesho huyo boya kashapigwa kidole huko, kachoma nyumba
 
Porto simuamini over 1.5 nimecashout liwalo naliwe! Ataongeza goli kweli huyu Porto!? Shauri zake...asijesepa na code 2 aisee
 

Attachments

  • Screenshot_20230423-000654.png
    Screenshot_20230423-000654.png
    20.2 KB · Views: 4
  • Screenshot_20230423-000627.png
    Screenshot_20230423-000627.png
    19.5 KB · Views: 3
Back
Top Bottom