Bora uchukue kidogo kuliko kukosa kabisa.
Mi kwenye mechi akibaki Arsenal masubiri ila Man U siwezi

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
kweli kabisa kuna timu ambazo zipo serious msimu huu kama Arsenal, City , Bayern, Real Madrid and the likes. Ila hao Man utd, Juve, Liver, Monaco na mafala wenzao wengine sio wa kuwaamini.
 
Leteni matreni hayo wazee.nina mtaji wamikeka 50,najua sku yakilipuka ntakua boss.
Chukua hiyo code C1B4A06 betpawa ametupia ndugu hapo juu, nimeucheki ni mzuri kiasi ila unahitaji maboresho. Humo kuna mpumbavu Monaco yupo ugenini ni wa kumuondoa kabisa, halaf kuna Monza ya Italy nao sio kuwaamini.

Kipindi hiki cha kuelekea mwisho wa msimu ni bora kuepuka zile mid-table teams ambazo hazina malengo ya top 4 wala hazipo kwenye hatari ya kushuka daraja. Timu za hivyo ni bora ukabetia total goals lakini sio kumuamini mmoja wapo ni hatari.
 
SPORTBET
First half over 0.5
Screenshot_20230315-125049.jpg
 
Chukua hiyo code C1B4A06 betpawa ametupia ndugu hapo juu, nimeucheki ni mzuri kiasi ila unahitaji maboresho. Humo kuna mpumbavu Monaco yupo ugenini ni wa kumuondoa kabisa, halaf kuna Monza ya Italy nao sio kuwaamini.

Kipindi hiki cha kuelekea mwisho wa msimu ni bora kuepuka zile mid-table teams ambazo hazina malengo ya top 4 wala hazipo kwenye hatari ya kushuka daraja. Timu za hivyo ni bora ukabetia total goals lakini sio kumuamini mmoja wapo ni hatari.
Natupia km ulivyo then mwingine na edit kdg.asante mkuu
 
Chukua hiyo code C1B4A06 betpawa ametupia ndugu hapo juu, nimeucheki ni mzuri kiasi ila unahitaji maboresho. Humo kuna mpumbavu Monaco yupo ugenini ni wa kumuondoa kabisa, halaf kuna Monza ya Italy nao sio kuwaamini.

Kipindi hiki cha kuelekea mwisho wa msimu ni bora kuepuka zile mid-table teams ambazo hazina malengo ya top 4 wala hazipo kwenye hatari ya kushuka daraja. Timu za hivyo ni bora ukabetia total goals lakini sio kumuamini mmoja wapo ni hatari.
Kumbe huu tayar nimeweka 500.nilichukua hapo juu kk.hapa naedit kdg alaf na rebet
 
Back
Top Bottom