Hakuna odds za uhakika utaishia kutapeliwa tu mkuu,kupata odds za uhakika labda uende dark web ambapo napo sio ligi zote,ligi za South America sana ndio huwa matokeo yanapangwa ambapo nazo kuzipata sio rahisi mpaka uwe na connection na wanaijeriaKila siku huwa napitia humu ndani,lakin sijaona soucre ya kuaminika ya mtu anaeuza odds za ukweli
Natafuta odds niwe nanunua, maana nakuwa bize sana kiasi nashindwa kusuka mwenyewe mkeka wangu
Si lazima awe mtu, hata kama kuna apps mnaifahamu ya kueleweka basi mniambie
Natumia betpawa
Natanguliza shukrani
Mamaae dkk ziliongezwa 10mkeka wa lsfootball umechana dakika ya mwisho kabisa ya 90, mechi ya Zulte Waregem vs Anderlecht yenye tip ya draw or away mpaka dakika ya 90 matokeo ni 2-2, dakika hiyohiyo ya 90 home anapata goli matokeo yanakuwa 3-2 na mkeka unachanika
Nielekeze mkuu namna gani ya kufika huko nataka niwe naishi nazoHakuna odds za uhakika utaishia kutapeliwa tu mkuu,kupata odds za uhakika labda uende dark web ambapo napo sio ligi zote,ligi za South America sana ndio huwa matokeo yanapangwa ambapo nazo kuzipata sio rahisi mpaka uwe na connection na wanaijeria
Hio Anderlecht ishanichania San Leo nilivoiina nkaitoa mapema kbsa.hawan maan haomkeka wa lsfootball umechana dakika ya mwisho kabisa ya 90, mechi ya Zulte Waregem vs Anderlecht yenye tip ya draw or away mpaka dakika ya 90 matokeo ni 2-2, dakika hiyohiyo ya 90 home anapata goli matokeo yanakuwa 3-2 na mkeka unachanika
Huyu Kanjibai nimempangia kila siku natafuta odd 2 naanza na stake ya buku then mdogo mdogo naongeza stake.Nimeamini hii kitu ukiwa serous nayo ni kazi kama kazi nyingine, now natangaza vita na Kanji niombeeni wakuu
TunakuombeaNimeamini hii kitu ukiwa serous nayo ni kazi kama kazi nyingine, now natangaza vita na Kanji niombeeni wakuu
Ukiacha tamaa unaweza, kinachotuponza wengi ni tamaa.Nimeamini hii kitu ukiwa serous nayo ni kazi kama kazi nyingine, now natangaza vita na Kanji niombeeni wakuu
dakika 10 zote hizo?, waliamua kutukomoa.Mamaae dkk ziliongezwa 10
Mkuu usitumie nguvu nyingi na pesa nyingi kutafta watu wanaouza ods za kweli utafilisika na kuwa very disapointed cha msingi wew daily tafuta odds mbil then weka 5k utaleta mrejesho umuKila siku huwa napitia humu ndani,lakin sijaona soucre ya kuaminika ya mtu anaeuza odds za ukweli
Natafuta odds niwe nanunua, maana nakuwa bize sana kiasi nashindwa kusuka mwenyewe mkeka wangu
Si lazima awe mtu, hata kama kuna apps mnaifahamu ya kueleweka basi mniambie
Natumia betpawa
Natanguliza shukrani
Mimi namfata kila siku, he's super good. Small odds zenye uhakika zaidi ni bora kuliko mikeka timu 30 kila siku unaliwa, nikiweka treni ni kwa vile najaribu bahati, nikiona treni lina matumaini naweka, ila primarily naweka hizo ndogo, walau!!!Kuna jamaa Kamla mhindi kama siku Tatu mfululizo juzi Ile nilileta mkeka wake na jana kampiga ila odd ni chache View attachment 2393376View attachment 2393377