Leo nahakikisha mpaka mwisho wa kubet wallet inabaki zero....ikifika saa 12Jioni najuwa wallet itakuwa na salio linaloanzia 6 figure.Leo saa TISA tu. Hatusubiri giza
Unakosea kaka...haupaste hapo.Mi mkiweka code Kama hivyo kiukweli nabak station tran linaniacha, kila nikicopy na past katika option ya search majibu hua there is no current even jaman na mm mdau mchanga nisaidien
Wakuu hivi mnakumbuka kulala kweli humu?
Mimi sibet miezi hii,naupisha upepo wa hili gundu upite manake nina gundu hadi najishangaa 🤣Jojo salama?,naomba treni la over tafadhali
Mimi sibet miezi hii,naupisha upepo wa hili gundu upite manake nina gundu hadi najishangaa
Labda nikutengenezee
Aaah Sasa huo ndo uhuni waoNa kama itakubali wanapunguza stake yako
Aisee heri niwe mpole tuIna tegemea na options ulizoweka...
Mkuu ikitokea uliweka option ya draw no bet ikititokea droo afu mkeka umetiki .. wanapunguza mkuuAaah Sasa huo ndo uhuni wao
Mku leo vepAisee heri niwe mpole tu
Hizi za world cup qualification we umezipata wapi mbona nimezitafuta za ulaya sioni betpawa93DB263~Betpawa.
Wakuu nimejaribu kubadilisha ila baadhi ya option kama over 0.5 kwa baadhi ya timu hakuna so nimeweka home team over 0.5 or over 1.5~FT.
Pia naona baadhi ya mechi za World CUP QUALIFYING hazijawekwa mfano Belgium vs ESTONIA.
Zipo mbona, refresh utazifikia.Hizi za world cup qualification we umezipata wapi mbona nimezitafuta za ulaya sioni betpawa
Mikeka yangu yote imegoma cashout ,hamna mechi iliyoanza ,mechi inayoanza ya kwanza ni saa nane, nimerudia sana .Hii kitu wanachofanya siyo poa ngoja niache tu hivo hivo labda ndo bahati yenyeweRudia rudia mkuu
Hata kula hatukumbukiWakuu hivi mnakumbuka kulala kweli humu?
Ingia hapoHizi za world cup qualification we umezipata wapi mbona nimezitafuta za ulaya sioni betpawa