Kweli we mkali aisee,,,,, na ukatoa odds mbili sure buuure kabisa!!!

Betting siyo rahisi kihivyo
Hiyo ukuona? Betting ni mchezo wa bahati na uchambuzi wa kina hakuna kitu Cha uwakika. Kwenye betting tunashinda baadhi na tuna pata baadhi muhimu ni kujenga faida. Nafanya uchambuzi wangu Kwa kina Kulingana na statistics
hk0not.jpg
 
Hiyo ukuona? Betting ni mchezo wa bahati na uchambuzi wa kina hakuna kitu Cha uwakika. Kwenye betting tunashinda baadhi na tuna pata baadhi muhimu ni kujenga faida. Nafanya uchambuzi wangu Kwa kina Kulingana na statistics View attachment 2950346
Hizo za dizaini hiyo hata sie tunapita nazo sana

Shortly hata Odd Moja haina uhakika.
We chambuaa ujuavyo ila Bahati ni 98%,Waulizeni watu wa Chelsea na Man United wanajua hilo.
So anyone can predict through lucky

Kawaida tu hizo


Nataka mie na wewe tufanye ubishi wa Faida kwa group
Sio kuitana sijui kuunga group laa WhatsApp kuuziana odds kizembe


Kesho tupia. Mkeka wako wa Uchambuzi live ma Mie nitupie humu humu na sio kuitana chamber kuibia watu

Narejea mie nitauweka mkeka kesho Asubuhi wa matches za kesho 5 Odds and 10 odds in public for free picking up
Screenshot_20240331-225307.png
 
PSG ktk ubora wake with Red card

Hapa inabidi ulale tu then kesho ndio ujue matokeo.

Sema tu Naangalia Real Madrid but PSG apaki tu basi sio kwa kubanwa huku,wale wa live Scores second half ina corners nyingi, maana Subs za marseille ni Washambuliaji wenye kasi
 
Hizo za dizaini hiyo hata sie tunapita nazo sana

Shortly hata Odd Moja haina uhakika.
We chambuaa ujuavyo ila Bahati ni 98%,Waulizeni watu wa Chelsea na Man United wanajua hilo.
So anyone can predict through lucky

Kawaida tu hizo


Nataka mie na wewe tufanye ubishi wa Faida kwa group
Sio kuitana sijui kuunga group laa WhatsApp kuuziana odds kizembe


Kesho tupia. Mkeka wako wa Uchambuzi live ma Mie nitupie humu humu na sio kuitana chamber kuibia watu

Narejea mie nitauweka mkeka kesho Asubuhi wa matches za kesho 5 Odds and 10 odds in public for free picking up
View attachment 2950350
Wapi mtu kaitwa kuuziwa mikeka? Hongera basi Kwa kushibisha mitaa Kwa odds zako kumi kumi au Tano Tano. Umebarikiwa mno kuliko wabetiji wengine
 
Sijasema kuwa ina assurance ya 100% kuwin mkuu ila ukiweza kubashiri kwa mtindo wa 1X, 12 au X2 kwa kufuatisha Form ya timu na Game husika ni bonge moja la option. Kumbuka mpira una matokeo matatu tu so izo option zingine ni extra tu bookies wameweka kutuchanganya.
Hakunaga opts ya uhakika TRUST ME Umewin leo kesho majanga.
 
PSG ktk ubora wake with Red card

Hapa inabidi ulale tu then kesho ndio ujue matokeo.

Sema tu Naangalia Real Madrid but PSG apaki tu basi sio kwa kubanwa huku,wale wa live Scores second half ina corners nyingi, maana Subs za marseille ni Washambuliaji wenye kasi
PSG kanichania nilimpa corner 5 kapata 3
 
Back
Top Bottom