Haya Tusafiri hapa

WEKA 200 tuliaaa

Screenshot_20231210-113830.png
 
Simba umekuwa mpole

Shortly wewe ndio imeanza kupanic mapemaaa.

Leo zipo Mechi zaidi ya 15 zenye kuweza kufanya lolote,Acha Bahati itembeee Mda

Hii ni Bahati Nasibu.

Yaani leo kuna watu wamekuwa Mshahara mzimaaaa.Walet zimeraruka vibaya mnoooo

Matumizi ya December yooote yamekatika.

Issue nikwamba Mechi ziliachiwa gape,sasa zile Rebet ndio ziliendelea kutafuta nafsi.
Kuna watu hawajaamka mpaka sasa
Sawa tu tuangalie
 
Huyu jamaa ni TAPELI..KUWENI MAKINI..AMENILA ELA ZANGU JANA..NA SIYO MIMI TU WATU WENGI..UKISHA MTUMIA ELA (HIYO 40000)ANA KU BLOCK,NA ANAKUONDOA KWENYE GROP..View attachment 2838330
Sasa huko ulifuata nini tena kiongozi....nyie mtakuja mnifanye na mimi nije kuwa tapeli... kwasabab me huisi zama hizi za utandawazi na exposure kumtapeli mtu kwa mtindo huo ngumu haswa kwa njia ya mtandao
 
Back
Top Bottom