Nionavyo mimi Muungwana angetupatia kwanza ile list ya wauza unga na wala rushwa kama alivyohaidi kabla ya kutuanzishia topic mpya ambayo inafahamika wazi haiwezi.Wananchi tunamachungu na masuala ya RADA, vikampuni vya mfukoni vya Umeme vilivyojaa pale ubungo Tanesco na masuala mengine ya msingi.
Please JK punguza Usaniinaization, Taifa unalipeleka pabaya!!
Please JK punguza Usaniinaization, Taifa unalipeleka pabaya!!