PendoLyimo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 885
- 966
Ni kama wafugaji wa Tanzania hawaelewi umuhimu wa maeneo yanayohifadhiwa na kilindwa kwa maslahi ya Taifa linapokuka suala la wao kuwapatia malisho mifugo yao.
Ni kama pia idara za serikali zinazohusika na usimamizi wa Mifugo zimeshindwa kudhibiti ama kuratibu namna bora wananchi wananweza wakafuga mifugo yao bila kuathiri maeneo muhimu yanayohihifadhiwa nchini.
Eneo la Hifadhi ya Ruaha sio tu muhimu kwa utalii bali ni chanzo kikuu cha maji yanayokwenda bwawa la Mtera linalozalisha megawatts 80 za umeme ambapo kwa sababu za uharibifu wa vyanzo vya mito hiyo ikiwemo eneo Oevu la Ihefu bwawa la Mtera limekauka na kusababisha upungufu wa umeme.
Ni muhimu kujua pia Hifadhi ya Ruaha ndio maji yake yanakwenda bwawa la Kidatu linalozalisha megawatts 204 za umeme na kisha maji hayo hayo kuunganana na maji kutoka mito ya Kilombero kujaza bwawa la Nyerere linalotarajiwa kuzalisha megawatts 20115.
Kama jitihada za makusudi hazitachukuliwa kudhibiti uhalifu na uvamizi wa maeneo oevu, maeneo yanayohifhadhiwa, vyanzo vya maji n. k haditihi ya kuisha kwa Mgao wa Umeme itaendelea kuwepo milele na milele.
Kama jitihada za makusudi hazitachukuliwa kudhibiti uhalifu na uvamizi wa maeneo oevu, yanayohihifadhiwa, vyanzo vya maji n.k. Hadithu ya Mgao wa Maji na kukosekana kwa maji Safi na Salama haitakaa iishe nchini.
Sent from my Infinix X6716B using JamiiForums mobile app
Ni kama pia idara za serikali zinazohusika na usimamizi wa Mifugo zimeshindwa kudhibiti ama kuratibu namna bora wananchi wananweza wakafuga mifugo yao bila kuathiri maeneo muhimu yanayohihifadhiwa nchini.
Eneo la Hifadhi ya Ruaha sio tu muhimu kwa utalii bali ni chanzo kikuu cha maji yanayokwenda bwawa la Mtera linalozalisha megawatts 80 za umeme ambapo kwa sababu za uharibifu wa vyanzo vya mito hiyo ikiwemo eneo Oevu la Ihefu bwawa la Mtera limekauka na kusababisha upungufu wa umeme.
Ni muhimu kujua pia Hifadhi ya Ruaha ndio maji yake yanakwenda bwawa la Kidatu linalozalisha megawatts 204 za umeme na kisha maji hayo hayo kuunganana na maji kutoka mito ya Kilombero kujaza bwawa la Nyerere linalotarajiwa kuzalisha megawatts 20115.
Kama jitihada za makusudi hazitachukuliwa kudhibiti uhalifu na uvamizi wa maeneo oevu, maeneo yanayohifhadhiwa, vyanzo vya maji n. k haditihi ya kuisha kwa Mgao wa Umeme itaendelea kuwepo milele na milele.
Kama jitihada za makusudi hazitachukuliwa kudhibiti uhalifu na uvamizi wa maeneo oevu, yanayohihifadhiwa, vyanzo vya maji n.k. Hadithu ya Mgao wa Maji na kukosekana kwa maji Safi na Salama haitakaa iishe nchini.
Sent from my Infinix X6716B using JamiiForums mobile app