Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Katika hali ambayo hakutegemewa kwa mwanablog Issa Michuzi kunyima uzito tukio lla waandishi walipoandamana kulekea jagwani.
Sasa hivi ni saa 9.30 mchana hawezekani kuwa amashidwa kuweka tukio zima badala yake tukio lililotokea sa 7 mchana kwa Mh Lowassa kukabidhi madawati kwa shule ya Kipawa.
Je Michuzi huu ndo uzalendo wa kweli?
Source: MICHUZI
Sasa hivi ni saa 9.30 mchana hawezekani kuwa amashidwa kuweka tukio zima badala yake tukio lililotokea sa 7 mchana kwa Mh Lowassa kukabidhi madawati kwa shule ya Kipawa.
Je Michuzi huu ndo uzalendo wa kweli?
Source: MICHUZI