Hicho kilichoshika panga ukikichunguza kitakuwa ki-kurya, ni hatari sana
Duh! sijui hapa ni wapi ktk Afrika? Inaonesha ni nini kinachoendelea kunako jamii husika. Watoto kila cku wanaangalia picha za kutisha, kinachofuata ni kujaribu kuigiza. Noma sana.
Huu sio mchezo wa watoto watakua wameona watu wazima
Jamani hapo ni wapi? Naogopa kuamini kwamba haya yalitokea Tanzania!!!
Tiba
Unamshukuru Mungu wako kwa kukupa hekima ya kulea mtoto wako vizuri, kwa kiasi fulani unagundua kuwa hauhusiki kuzalisha MAJAMBAZI.Ndio unakuta mtoto wako ni mmoja wa hao waliopigishwa magoti...unafanyaje?
...Ni michezo tu hakuna kingine hapo. Huoni huyo wa pili kutoka kulia ancheka.ingekuwa dogo kawapiga mkwara wa kweli hakuna ambaye angecheka....!! But it has message though!Huu sio mchezo wa watoto watakua wameona watu wazima