NdasheneMbandu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 940
- 308
Ndugu zangu wanaJF,
Nawapa pole wote walioguswa na msiba mkubwa wa mpiganaji mwenzetu marehemu Dada Regia Mtema.
Kwa heshima, nimeona ni vema nianzishe uzi mahsusi utakaojumuisha michango ya kimawazo ya Dada yetu kipenzi Marehemu Regia Mtema aliyotoa humu Jamiiforums katika mijadala mbalimbali ya kisiasa, kijamii na kiuchumi. Wenye data tafadhali karibuni sana.
Nawapa pole wote walioguswa na msiba mkubwa wa mpiganaji mwenzetu marehemu Dada Regia Mtema.
Kwa heshima, nimeona ni vema nianzishe uzi mahsusi utakaojumuisha michango ya kimawazo ya Dada yetu kipenzi Marehemu Regia Mtema aliyotoa humu Jamiiforums katika mijadala mbalimbali ya kisiasa, kijamii na kiuchumi. Wenye data tafadhali karibuni sana.