Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,330
Utawasaidia wengi sana kama utaweka hapa; Na hili jambo muhusika keshaliweka wazi kwanini unataka kwenda mafichoni?
japo hata kama magonjwa yanafanana lakini kwa daktari anaingia mmojmmoja na mlango unafungwa, japo jamaa kaweza wazi lakini asilimia kubwa ya maelezo hayapo wazi, hivyo privace inahitajika kwa kiasi fulani