Miaka 5 ya kifo cha Osama na rangi halisi za Mmarekani

We ni sawa na mimi mkuu yan akili yangu haitak kabisa kuamin kuwa osama kauwawa na mmarekan

Kuna mambo mengi ya kutatanisha katika dunia hii na hasa katika miaka ya hivi karibuni. Miongoni mwa hayo ni kupotea kwa ile ndege (MH 370) ya Malaysia na ambayo mpaka leo haijulikani ilipoteaje; Ilitoweka kwenye radar Machi 8, 2014. Kifo cha Osama Bin Laden ni utata, hivi kweli alikufa? Kingine ni ile ndege ya abiria ya KLM iliyotunguliwa huko kwenye anga ya Ukraine July,2014.
 
Usiku wa siku kama ya leo miaka mitano iliyopita ndio ulikuwa wa mwisho hapa duniani kwa mtu aliyekuwa anatafutwa zaidi Osama bin Laden.

Aliyefanikisha mpango huu kwa sehemu kubwa kwenye kufichua makazi halisi ya Osama ni Dr. mpakistan ambaye aliahidiwa donge nono (halitajwi) na wamarekani pamoja na ahadi lukuki ili akubali kufanya chanjo bandia eneo lililohisiwa Osama yupo.

Wahenga wanasema penye udhia penyeza shekeli Dr wa watu maskini akaingia mkenge akawezeshwa kila nyenzo akafanikisha alichotumwa!Osama akauawa.

Leo hii ni mwaka wa tano daktari huyu anaoza kwenye jela za Pakistan wamarekani wamemtelekeza kama toilet paper baada ya kutumika.

Wamarekani wanasherehekea 5th anivessary ya kifo cha adui yao mkubwa huku mtu muhimu akiwa hakumbukwi na kawekwa kwenye makaburi ya sahau akipata mateso mengi jela.

Jipendekeze kwa mmarekani lakini tambua akishamaliza kukutumia amemaliza...haachi viporo
Kwa office yetu tuna national director ni mmarekani,lakini haka kajamaa hatukaelewagi elewagi,kako kama kamjusi,hawa waAmerica hua wanacheza sana na maslahi yao tu,hawawapendi watu wa nje na wao hapa kidogo,wakijifanya marafiki kwako elewa wanafaida na wewe then wanaanza mbele baada ya kupata walichotaka kwako,hako kamkurugenzi ketu yani kameiharibu office toka kamekuja mpaka tunashindwa kukaelewa
 
Mbona kwenye hizo picha za maiti yake kuna ambayo anaonekana ana ndevu nyongi na kuna ambayo hana ndevu nyingi..
Au ni photoshop

Mkuu hawa wazungu tuwaache kama walivyo..kama ushawahi kuona baadhi ya film staring na jambazi wanasura za kufanana! Mfano film ya jean claude vandamme na vandamme fake
, hivyo mzungu ana plan nyingi tu za kutufanya sisi tuamini,

So wamarekani wanataka kutuaminisha kuwa osama wamemuua wenyewe...sikubaliani na hilo..maana osama mwenyewe ashasema anamatatizo ya figo na huwenda ashafariki kitambo na si kufa mikononi mwa marekani
 
Sio maiti yake tuu hata mazishi na kaburi lake havipo....ikibidi mmarekani atumie na tiba mbadala kuweza kumpata jamaa
1d00b77a74210202dc4ed389a354f90f.jpg
Hii pekeyake ndio nimefanikiwa kuipata
Hizi picha ni za siku moja au siku tofauti?
 
Kama za siku moja mbona nyingine ndevu nyingi na nyingine ndevu kidogo

Mkuu photocopi tu..Ukiangalia picha ya zamani ana mvi nyingi tu, alaf mpya hana mvi bali zinaonekana kwa mbali tu! Hapo inaonyesha wame-make tu,,hata ndevu zenyewe wamezipiga piko sio nyeusi kihivyo kama ile ya kwanza, search kwa makini utaona tu
 
Hakujawahi kutokea binadamu anaitwa Osoma..Osama ni theory iliyotumiwa na wamarekani kufanikisha mipango yao ya kiuchumi(moja ya majukumu muhimu ya CIA kujenga uchumi) Osama ni habari ya kusadikika..!
 
Sio maiti yake tuu hata mazishi na kaburi lake havipo....ikibidi mmarekani atumie na tiba mbadala kuweza kumpata jamaa
1d00b77a74210202dc4ed389a354f90f.jpg
Hii pekeyake ndio nimefanikiwa kuipata
Hii Sanaa Kali sana maiti inaonekana ni ya mtu Kijana kuliko Osama mwenyew wa enzi zile
 
Bora kufanya kazi na wataka urais wastafu kama Obama Ujinga usio na kikosi cha:

1. Tija 2. Tija 3. Tija 4. Tija 5. Tija 6. Tija 7. Tija 8. Tija 9. Tija 10. Tija Sub 1. Tija 2. Tija


Tanzania itatoa Rais wa USA bora wameinvest huko
Hahahaha
 
Habari katika picha View attachment 344226Osama bin Laden enzi zake za kutafutwa sana
314540bb1c1540d2b225eb8f8386ea23.jpg
daktari aliyefanikisha chanjo bandia(yuko lock up)
67ebef12ca9f6773ddbf89df82f30486.jpg
asubuhi ya usiku wa shambulizi linalosemekana kumuua osama
8fbf8146da0a7abee270881897c6bf3e.jpg
ulinzi siku zilizofuatia baada ya shambulizi
f8772ef11b59e09fa8f84bb52bd638a3.jpg
Hatimaye makazi ya mtu aliyetafutwa zaidi duniani yalibomolewa na kusafishwa kabisa kuepuka kuacha alama yoyote
Wamevunja historical site aiseee
 
Back
Top Bottom