BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,414
- 8,199
Leo Januari 17, 2024 imetimia miaka 3 tangu kutokea kwa kifo cha Rapa Ilunga Khalifa maarufu kama CP aka Crazy Power a.k.a CPWAA au Mfalme wa Bongo Crunk aliyefariki Januari 17, 2021
Wakati wa uhai wake, CPWAA alifanya vizuri na ngoma nyingi zikiwemo 6 In The Morning, Problem, Pwaa na Action. Pia, alikuwa mmoja kati ya Wasanii waliounda kundi la Park Lane akiwa na Suma Lee ambaye kwasasa ameachana na Muziki
Unamkumbuka kwa ngoma gani mkali huyu wa Bongo Flava?
Soma TANZIA - Msanii Ilunga Khalifa maarufu 'C Pwaa' afariki dunia Hospitali ya Taifa Muhimbili