vipi popobawa huogopi??????????????????????????????????Wadau sijui ni peke yangu, Jamani mi naogopa MENDE balaa, yaani akiingia chumbani siwezi lala, Kuna wale wanaoruka ndio balaa kabisa.
Yani nikiona MENDE mwili unasisimuka, halafu kwa chini mbona kama anafana na SAMAKI.
mbona jamani mimi siyo muoga wa kitu chochote kile? tena am so daring kiasi kwmba naweza hata kurescue mtu kwenye hatari I can.
Me naogopa nyoka aisee!!
Wadau sijui ni peke yangu, Jamani mi naogopa MENDE balaa, yaani akiingia chumbani siwezi lala, Kuna wale wanaoruka ndio balaa kabisa.
Yani nikiona MENDE mwili unasisimuka, halafu kwa chini mbona kama anafana na SAMAKI.
mi naogopa mchemsho wa kuku,
mi naogopa mchemsho wa kuku,
Aisee waniacha hoi unaogopa mchemsho wa kuku coz bei yake huwa iko juu au?
Me naogopa nyoka aisee!!
mimi namuogopa wasira
@jeryson, hiyo pic uliyoweka, watoto hawapiti humu?
sasa ukiona kenge au mamba ?, si utakufa kabisa
Wadau sijui ni peke yangu, Jamani mi naogopa MENDE balaa, yaani akiingia chumbani siwezi lala, Kuna wale wanaoruka ndio balaa kabisa.
Yani nikiona MENDE mwili unasisimuka, halafu kwa chini mbona kama anafana na SAMAKI.