yani unawaogopa alafu umewachunguza hadi kujua kwa chini wanafanana na samaki (au umewaona kwenye picha au dissection).Wadau sijui ni peke yangu, Jamani mi naogopa MENDE balaa, yaani akiingia chumbani siwezi lala, Kuna wale wanaoruka ndio balaa kabisa.
Yani nikiona MENDE mwili unasisimuka, halafu kwa chini mbona kama anafana na SAMAKI.
sasa ukiona kenge au mamba ?, si utakufa kabisamimi mjusi bana.
Wadau sijui ni peke yangu, Jamani mi naogopa MENDE balaa, yaani akiingia chumbani siwezi lala, Kuna wale wanaoruka ndio balaa kabisa.
Yani nikiona MENDE mwili unasisimuka, halafu kwa chini mbona kama anafana na SAMAKI.
nadhani wewe ndio unatisha zaidi ya hao mende..., tuache kutishana jamani, na kuibiana kimacho macho (jamani sisi sote ni watanzania, atleast si uwadanganye wakenya au waganda na sio mwananchi mwenzako.Una jin ila kike linaitwa MENDELINE asili yake Medina na hurka yake ni kukuchafulia haiba yako kwa wastaarabu wote. Epuka kulala chali, aina yoyote ya tumbaku na usitumie katu choo cha shimo na.........
Kwa taarifa zaidi ni-PM.
Pole sana, ungesoma PCB F.6 LAZIMA UFANYE DISSECTION YA MENDE SS SIJUIWW INGEKUWAJEWadau sijui ni peke yangu, Jamani mi naogopa MENDE balaa, yaani akiingia chumbani siwezi lala, Kuna wale wanaoruka ndio balaa kabisa.
Yani nikiona MENDE mwili unasisimuka, halafu kwa chini mbona kama anafana na SAMAKI.
Hiyo ni form ya abnormal personality iliyoko kwenye neurosis inayoitwa Phoebia.
Phoebia ni uoga ambao uko katika vitu ama hali ambayo katika hali halisi haiwezi kukudhuru.
Wanasaikolojia wanadai kila mtu ana kitu ama hali ambayo ana Phobia nayo. Hawa wanaokuzodoa ukiwafuatilia utakuta kila mmoja ana kitu anachokiogopa. Wengine huogopa wadudu kama wewe, wengine giza, wengine makaburi, wengine binadamu wenzao nk.
Pole sana mkuu lakini hebu jiulize, hivi mende anweza kukudhuruje? Kama hawezi kwa nini umuogope?
Nyoka yupi?Me naogopa nyoka aisee!!
Una jini la kike linaitwa MENDELINE asili yake Medina na hurka yake ni kukuchafulia haiba yako kwa wastaarabu wote. Epuka kulala chali, aina yoyote ya tumbaku na usitumie katu choo cha shimo na.........
Kwa taarifa zaidi ni-PM.