baba manka
Member
- Apr 7, 2012
- 26
- 8
Najua hii ilishawah kuwekwa hapa jamvin ila si mbaya kama nikikumbushia
Mhudumu anamletea supu mteja huku kidole gumba chake kikiwa ndan ya supu
Mteja"mbona unaleta supu huku kidole chako kikiwa ndani ya supu?!
Mhudumu"docta kanishaur hivyo.kidole changu nikiweke kwenye joto muda wote
Mteja kwa hasira"Si ukiweke matakon mwako bas km kinatakiwa kiwe na joto muda wote?!
Mhudumu"ndo nilichokuwa nakifanya wakat nipo jikon nakutayarishia
Mhudumu anamletea supu mteja huku kidole gumba chake kikiwa ndan ya supu
Mteja"mbona unaleta supu huku kidole chako kikiwa ndani ya supu?!
Mhudumu"docta kanishaur hivyo.kidole changu nikiweke kwenye joto muda wote
Mteja kwa hasira"Si ukiweke matakon mwako bas km kinatakiwa kiwe na joto muda wote?!
Mhudumu"ndo nilichokuwa nakifanya wakat nipo jikon nakutayarishia