Mheshimiwa rais waeleze ukweli hawa madaktari, ni kweli wana skills za kutosha?

Nakei

Member
Nov 10, 2010
44
11
Muheshimiwa Rais ni kwanini unasita kuwaeleza ukweli madaktari. Madaktari wa Tanzania hawana skills za kulipwa huo mshahara wanaohitaji, tulitegemea wangemtibu Ulimboka hapa hapa nchini ili kuonyesha mfano hata kwa wanasiasa kwamba wanauwezo wa kutibu badala ya kutumia ma milioni kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Ninavyoamini mimi ni kwamba unapokuwa na taaluma fulani na kama unaipenda unaweza kujiendeleza wewe mwenyewe na kuwa competent. Madaktari wamejaa kiburi na wanataka kuonyesha kwamba fani yao ni ya muhimu kuliko fani zingine. serikali inautaratibu wake katika masuala ya ajira. Badala ya kuandamana kuhusu pesa tunataka waandamane kuhusu vifaa wanavyohitaji ili tusiwapeleke watanzania nje ya nchi kwa ajili ya matibabu. Tupo tayari kutoa michango kwa ajili ya vifaa vya matibabu tunaomba waviweke wazi. Kwa kweli tumechoka na hizi gharama za kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Mbona mnajipigia debe wenyewe, vipi kuhusu manesi?
 
Nakei unapelekewa moto kwenye ubongo.Madaktari walisema mojawapo ya madai ni ukpsefu wa vifaa tiba na siyo skills kama wewe unavyojaribu kuwaza kwa kutumia masaburi.Na ndi maana Dr. ULI amepelekwa nje kutokana na ukosefu wa kifaa cha kuchunguza sumu kwenye damu.upo hapo? au unajikomba kwa ****** tu.no firwaga lolo.
 
Utawezaje kuona hizo skills pasipo na vifaa/madawa?? Hiki ndicho wanachodai hasa, na tunaodhurika ni sisi washabiki wa upuuzi huu. Utawezaje kumpa rubani bajaji halafu utegemee ataweza kuipaisha??
 
Muheshimiwa Rais ni kwanini unasita kuwaeleza ukweli madaktari. Madaktari wa Tanzania hawana skills za kulipwa huo mshahara wanaohitaji, tulitegemea wangemtibu Ulimboka hapa hapa nchini ili kuonyesha mfano hata kwa wanasiasa kwamba wanauwezo wa kutibu badala ya kutumia ma milioni kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Ninavyoamini mimi ni kwamba unapokuwa na taaluma fulani na kama unaipenda unaweza kujiendeleza wewe mwenyewe na kuwa competent. Madaktari wamejaa kiburi na wanataka kuonyesha kwamba fani yao ni ya muhimu kuliko fani zingine. serikali inautaratibu wake katika masuala ya ajira. Badala ya kuandamana kuhusu pesa tunataka waandamane kuhusu vifaa wanavyohitaji ili tusiwapeleke watanzania nje ya nchi kwa ajili ya matibabu. Tupo tayari kutoa michango kwa ajili ya vifaa vya matibabu tunaomba waviweke wazi. Kwa kweli tumechoka na hizi gharama za kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Mbona mnajipigia debe wenyewe, vipi kuhusu manesi?

Acha kukurupuka, umejichanganya hata hueleweki
 
Nakei unapelekewa moto kwenye ubongo.Madaktari walisema mojawapo ya madai ni ukpsefu wa vifaa tiba na siyo skills kama wewe unavyojaribu kuwaza kwa kutumia masaburi.Na ndi maana Dr. ULI amepelekwa nje kutokana na ukosefu wa kifaa cha kuchunguza sumu kwenye damu.upo hapo? au unajikomba kwa ****** tu.no firwaga lolo.
Huyo jamaa nimemshangaa sana yani hata hajui kwa nini Dr.Uli kapelekwa nje, hajui madai ya madaktari.Bure kabisa
 
Hili hili li Nakei limetoka wapi tena?mbona halieleweki linataka kusema nini?linasema hawana skills,linasema Uli kapelekwa nje,mara wanasiasa,mara kuchanga,du,kazi kweli kweli,

Naona ni li HOPELESS MOVING FIGURE.
 
Hawezi kujua ukweli kama hata umaskini wetu haujui unatokana na nini.
 
Muheshimiwa Rais ni kwanini unasita kuwaeleza ukweli madaktari. Madaktari wa Tanzania hawana skills za kulipwa huo mshahara wanaohitaji, tulitegemea wangemtibu Ulimboka hapa hapa nchini ili kuonyesha mfano hata kwa wanasiasa kwamba wanauwezo wa kutibu badala ya kutumia ma milioni kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Ninavyoamini mimi ni kwamba unapokuwa na taaluma fulani na kama unaipenda unaweza kujiendeleza wewe mwenyewe na kuwa competent. Madaktari wamejaa kiburi na wanataka kuonyesha kwamba fani yao ni ya muhimu kuliko fani zingine. serikali inautaratibu wake katika masuala ya ajira. Badala ya kuandamana kuhusu pesa tunataka waandamane kuhusu vifaa wanavyohitaji ili tusiwapeleke watanzania nje ya nchi kwa ajili ya matibabu. Tupo tayari kutoa michango kwa ajili ya vifaa vya matibabu tunaomba waviweke wazi. Kwa kweli tumechoka na hizi gharama za kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Mbona mnajipigia debe wenyewe, vipi kuhusu manesi?

sasa wangemtibuje kama vitendea kazi na vipimo vya msingi hakuna?si ndo maana wanagoma ili hayo yawepo waweze kufanya kazi kwa ufanisi,ni lini mtaacha kutumia viungo vingine kufikiria badala ya ubongo?Uboreshaji wa huduma ya afya unaenda na maslai ya manesi pia
 
Muheshimiwa Rais ni kwanini unasita kuwaeleza ukweli madaktari. Madaktari wa Tanzania hawana skills za kulipwa huo mshahara wanaohitaji, tulitegemea wangemtibu Ulimboka hapa hapa nchini ili kuonyesha mfano hata kwa wanasiasa kwamba wanauwezo wa kutibu badala ya kutumia ma milioni kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Ninavyoamini mimi ni kwamba unapokuwa na taaluma fulani na kama unaipenda unaweza kujiendeleza wewe mwenyewe na kuwa competent. Madaktari wamejaa kiburi na wanataka kuonyesha kwamba fani yao ni ya muhimu kuliko fani zingine. serikali inautaratibu wake katika masuala ya ajira. Badala ya kuandamana kuhusu pesa tunataka waandamane kuhusu vifaa wanavyohitaji ili tusiwapeleke watanzania nje ya nchi kwa ajili ya matibabu. Tupo tayari kutoa michango kwa ajili ya vifaa vya matibabu tunaomba waviweke wazi. Kwa kweli tumechoka na hizi gharama za kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Mbona mnajipigia debe wenyewe, vipi kuhusu manesi?

shame on u! Hujui hata unachokiongea!! Hivi unaifaham dialysis? Wapi unaweza kuifanya kwa uhakika hapo Tz?
 
Muheshimiwa Rais ni kwanini unasita kuwaeleza ukweli madaktari. Madaktari wa Tanzania hawana skills za kulipwa huo mshahara wanaohitaji, tulitegemea wangemtibu Ulimboka hapa hapa nchini ili kuonyesha mfano hata kwa wanasiasa kwamba wanauwezo wa kutibu badala ya kutumia ma milioni kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Ninavyoamini mimi ni kwamba unapokuwa na taaluma fulani na kama unaipenda unaweza kujiendeleza wewe mwenyewe na kuwa competent. Madaktari wamejaa kiburi na wanataka kuonyesha kwamba fani yao ni ya muhimu kuliko fani zingine. serikali inautaratibu wake katika masuala ya ajira. Badala ya kuandamana kuhusu pesa tunataka waandamane kuhusu vifaa wanavyohitaji ili tusiwapeleke watanzania nje ya nchi kwa ajili ya matibabu. Tupo tayari kutoa michango kwa ajili ya vifaa vya matibabu tunaomba waviweke wazi. Kwa kweli tumechoka na hizi gharama za kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Mbona mnajipigia debe wenyewe, vipi kuhusu manesi?


Tatizo la AKILI NDOGO KUONGOZA AKILI KUBWA ndio hii lako!!! Unaushabiki wakijinga kama hujui tatizo la madaktari hadi sasa wanadai nini basi wewe unamatatizo
 
Watanzania tusiwe biased kwa kila kitu na kufuata mkumbo. Embu tujadili kwa kina ni kwanini tunapeleka watanzania nje kutibiwa, hivyo vifaa waeleze wazi ni zipi na tujue gharama zake, tunaweza kununua hata kidogo kidogo.
 
Muheshimiwa Rais ni kwanini unasita kuwaeleza ukweli madaktari. Madaktari wa Tanzania hawana skills za kulipwa huo mshahara wanaohitaji, tulitegemea wangemtibu Ulimboka hapa hapa nchini ili kuonyesha mfano hata kwa wanasiasa kwamba wanauwezo wa kutibu badala ya kutumia ma milioni kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Ninavyoamini mimi ni kwamba unapokuwa na taaluma fulani na kama unaipenda unaweza kujiendeleza wewe mwenyewe na kuwa competent. Madaktari wamejaa kiburi na wanataka kuonyesha kwamba fani yao ni ya muhimu kuliko fani zingine. serikali inautaratibu wake katika masuala ya ajira. Badala ya kuandamana kuhusu pesa tunataka waandamane kuhusu vifaa wanavyohitaji ili tusiwapeleke watanzania nje ya nchi kwa ajili ya matibabu. Tupo tayari kutoa michango kwa ajili ya vifaa vya matibabu tunaomba waviweke wazi. Kwa kweli tumechoka na hizi gharama za kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Mbona mnajipigia debe wenyewe, vipi kuhusu manesi?
NINASHAKA NAAKILI YAKO HAMNA VIFAA MKUU NA NDIO SABABU WANAGOMA ,NAKUOMBA UFANYE HII HOME WORK KWANINI WATZ JAPO WANA HOSPITALI YA MSAADA YA MOYO HAWAFANYI UPASUAJI PALE NA JE SIWALIWAPELEKA MADACTARI KUSOMEA WAKO WAPI UKWELI NI HUU SASA WALE MADOCTA WALIPORUDI SKILLS ZIPO KICHWANI HAMNA VIFAA BAADHI YAO WALICHUKULIWA NJE YA NCHI NA WENGINE WANAFANYA AS PROFFESSIONAL SIO SPECIALIST WA M OYO,NDUGU USITETE ,PIA HAININGII AKILINI KWAMBA UNASUPPORT ET RAIS AWAAMBIE UKWELI ETI Madaktari wa Tanzania hawana skills za kulipwa huo mshahara wanaohitaji, SIKUBALIANI NA WEWE ,MFANO HAPA TZ ZIPO HSP ZA WAHINDI,WACHINA NA MATAIFA MENGINE KIBAO MBONA HAWAENDI KUTIBIWA HUKO ? HIYO MENTALITY IMEJENGEKA TU .WAPO MADACTARI WANAWEZA SANA ,NA WANAELIMU MSULI SANA NA NDIO SABABU NCHI ZA NJE WANAWAPENDA NAKUWAAJIRI MAMA YANGU MKUBWA NI DOCTA URUSI NA AMESOMA HAPAHAPA TZ NA SASA HIVI AMEPEWA URAIA KABISA ,JE UNAENDELEA KUSEMA HAWANA SKILLS .JINSI WAO WALIVYOJIPATIA U (SIR NA DR NA PROFF) KWAKUIBA IBA MAVYUO UCHWARA NJE NA WAKAFANIKIWA KWA MGONGO NYINYIEM BASI WAKAJIONA WAKO SAWA NA MADACTARI WANADHANI NA WENZAO WAMEIBA ?
 
Muheshimiwa Rais ni kwanini unasita kuwaeleza ukweli madaktari. Madaktari wa Tanzania hawana skills za kulipwa huo mshahara wanaohitaji, tulitegemea wangemtibu Ulimboka hapa hapa nchini ili kuonyesha mfano hata kwa wanasiasa kwamba wanauwezo wa kutibu badala ya kutumia ma milioni kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Ninavyoamini mimi ni kwamba unapokuwa na taaluma fulani na kama unaipenda unaweza kujiendeleza wewe mwenyewe na kuwa competent. Madaktari wamejaa kiburi na wanataka kuonyesha kwamba fani yao ni ya muhimu kuliko fani zingine. serikali inautaratibu wake katika masuala ya ajira. Badala ya kuandamana kuhusu pesa tunataka waandamane kuhusu vifaa wanavyohitaji ili tusiwapeleke watanzania nje ya nchi kwa ajili ya matibabu. Tupo tayari kutoa michango kwa ajili ya vifaa vya matibabu tunaomba waviweke wazi. Kwa kweli tumechoka na hizi gharama za kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Mbona mnajipigia debe wenyewe, vipi kuhusu manesi?
Hebu mwaga midata hapa!! Mshahara unowafaa madaktari kwa skills zao "fake" ni shillingi ngapi mkuu ? Halafu ulinganishe na mishahara ya wenye "skills" (e.g madereva) kule TRA au ma-first class economists wa BOT.
 
Muheshimiwa Rais ni kwanini unasita kuwaeleza ukweli madaktari. Madaktari wa Tanzania hawana skills za kulipwa huo mshahara wanaohitaji, tulitegemea wangemtibu Ulimboka hapa hapa nchini ili kuonyesha mfano hata kwa wanasiasa kwamba wanauwezo wa kutibu badala ya kutumia ma milioni kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Ninavyoamini mimi ni kwamba unapokuwa na taaluma fulani na kama unaipenda unaweza kujiendeleza wewe mwenyewe na kuwa competent. Madaktari wamejaa kiburi na wanataka kuonyesha kwamba fani yao ni ya muhimu kuliko fani zingine. serikali inautaratibu wake katika masuala ya ajira. Badala ya kuandamana kuhusu pesa tunataka waandamane kuhusu vifaa wanavyohitaji ili tusiwapeleke watanzania nje ya nchi kwa ajili ya matibabu. Tupo tayari kutoa michango kwa ajili ya vifaa vya matibabu tunaomba waviweke wazi. Kwa kweli tumechoka na hizi gharama za kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Mbona mnajipigia debe wenyewe, vipi kuhusu manesi?

A brain that even dunderhead will need
 
kweli tz kiboko hospitali za serikali hukuti PANADOL wanakuagizia pakununua,yani zile bima za afya ni za bure yani hata dawa za magonjwa yakawaida tu haman hata mseto hamna kuliko wawape raia utazikuta madukani na wanazitangaza na zinduka wacheni bana hata dawa za watoto za under 5 hupati mi situmiagi hizo hspt kabisa hata bima ya afya haisaidii maana chenye gharama ni dawa sio consultation sasa unapata consultation dawa hupati kwa bima then yanini sasa jamni
 
Watanzania tusiwe biased kwa kila kitu na kufuata mkumbo. Embu tujadili kwa kina ni kwanini tunapeleka watanzania nje kutibiwa, hivyo vifaa waeleze wazi ni zipi na tujue gharama zake, tunaweza kununua hata kidogo kidogo.
Nakei nashindwa pia kuelewa unawazungumzia Watanzania wapi?VIONGOZI AU KAJAMBAUZEMBE SIE?watanzania wanajifia bwana wabunge ndio wanatibiwa nje ya nchi bana,ona kama sio msaada mbalimbali nakujulikana je ulimboka kama mtanzania wakawaida angepata wapi $40,000 kweli jiulize.vuta fikra zako watu wahali ya chini wanaoishi nyumba zamakuti siangesubiri kifo tu Nakei .
 
Last edited by a moderator:
Unaweza ukawa unalipwa kidogo sana,lakini unavitendea kazi vinavyorahisisha kazi yako na kukupa matokea bora na mzuri.Kwa kawaida siyo mshahara tu unaofanya mtu aridhike kufanya kazi na afurahie kazi yake bali mazingira chanya au mazuri yanamfanya mtu asahau yote na afanye kazi kwa kiwango cha juu.
Angalia hata wafanyakazi wa mashirika ya nje pamoja na mishahara yao kuwa mikubwa kuliko ya serikali lakini wanafanya kazi kama punda wadogo na output yao ni kubwa kuliko mshahara wanao pewa sababu mazingira ya kazi ni mazuri.
Ningeishauri serikali hivi iweke hivyo vitendea kazi vizuri,ibadilishe mazzingira ya hospitali zetu kuwa bora zaidi hata kwa kuanzia wangeanza na zile za rufaa tu,halafu tuone je hawa wataalamu watagoma?
Tunawalaumu bure madaktari wetu,jamani tuombe ile Kamati Ya afya na ustawi wa jamii watuambie waliona nini?Na ushauri wao ni nini kwa pande zote mbili?Tujiulize kweli madaktari hawa walikazania mishahara tu?Wanasiasa hawa watuambie kilichoko kwenye mtungi ni maji au maziwa?Wawe serious kwa hili tuache siasa.
Watanzania wenye elimu kama yangu ambao hawana uelewa mkubwa tujitahidi kusoma magazeti,kujua haki zetu za msingi kikatiba,tusiwe watu wa ndio sababu Rais wetu amesema.
Mtoto wa Rais akiumwa atapelekwa Apollo,leo wa kwangu na wakwako itabidi tumpeleke MNH ili apate vipimo,bahati nzuri vipimo hivyo havipo na baahati mbaya daktari wa kumsaidia yupo,jibu la haraka nitasema daktari anataka HONGO! Sababu hakuna kipimo tunamlaumu huyohuyo daktari.
I hate Tanzanians who do not want to think further.............
 
Muheshimiwa Rais ni kwanini unasita kuwaeleza ukweli madaktari. Madaktari wa Tanzania hawana skills za kulipwa huo mshahara wanaohitaji, tulitegemea wangemtibu Ulimboka hapa hapa nchini ili kuonyesha mfano hata kwa wanasiasa kwamba wanauwezo wa kutibu badala ya kutumia ma milioni kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Ninavyoamini mimi ni kwamba unapokuwa na taaluma fulani na kama unaipenda unaweza kujiendeleza wewe mwenyewe na kuwa competent. Madaktari wamejaa kiburi na wanataka kuonyesha kwamba fani yao ni ya muhimu kuliko fani zingine. serikali inautaratibu wake katika masuala ya ajira. Badala ya kuandamana kuhusu pesa tunataka waandamane kuhusu vifaa wanavyohitaji ili tusiwapeleke watanzania nje ya nchi kwa ajili ya matibabu. Tupo tayari kutoa michango kwa ajili ya vifaa vya matibabu tunaomba waviweke wazi. Kwa kweli tumechoka na hizi gharama za kupeleka wagonjwa nje ya nchi. Mbona mnajipigia debe wenyewe, vipi kuhusu manesi?

Dah! Post nyingine bwana! anyway umeongeza idadi ila nasikitika umekurupuka, kajipange upya
 
Back
Top Bottom