Hakuna lolote hapo, jiulize hizo nyumba za NHC ni watu wangapi wenye kima cha chini wanaoweza kununua nyumba ya TShs 100m... Hii misomi ya Tz sijui imelogwa? Niliwakuta one time eti watu wa masoko NHC wameenda kuzitangaza hizo nyumba zao kwa walimu wa shule za msingi...what nonsense? Ni upuuzi mtupu...wanagapi wanaweza kuzinunua? T Tuache kudanganyana hapa, propaganda hazitaisadia hii nchi, inazidi kuangamia.. Nitamsifu Mchechu kama atakuja na project ambazo ni feasible kwa watu wa kawaida na sio hizi project za sasa hivi...Nimekuwa nikitafakari kazi anazofanya mweshimiwa mchechu ni nzuri sana na anastahili pongezi. Tangu amekuwa mkurugenzi wa NHC ni mengi amefanya kuanzia na utawala na hatimaye upatikanaji wa makazi bora kwa watanzania. Upatikanaji wa makazi bora unapitia mchakato mrefu sana lakini at the end ameweza kufanikisha to some extent. Ana maamuzi ya busara na ya kutokuogopa( RISK TAKER) na ni smart. Hasiti kumpa mtu nafasi ya kuonyesha ujuzi wake professionally. Hii ndiyo siri ya mafanikio. Mimi mwenyewe nilipata nafasi ya kufanya naye kazi eventhough siko kikazi NHC. Pia natoa pongezi kwa viongozi kumwamini na kumchagua Wito wangu ni kwa sister organisations kumuunga mkono mia kwa mia mfano tanesco, maji, tanroad, TBA na nyinginezo ili kurahisisha utekelezaji wa project alizoazisha na anazoplan kufanya. Hatimaye na mimi nitaweza kupata nyumba inayomilikiwa na NHC. Marafiki zangu mnaofanya kazi NHC Juhudi zisipungue Wito wangu kwa JF panapostahili kusifiwa ni vizuri tukasifia: HONGERA SANA MH.MCHECHU KWA KAZI NZURI