Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
I have a dream,
Tendo la kumsifia ndani ya JF ya 2012 Mtanzania mwenzio kwa mema au mafanikio aliyosotea na kuyapata ni kusaka matusi na kejeli.
Pamoja na hayo, ukweli unabaki kuwa ukweli; Nehemia anafanya kazi na kutoa matokeo yenye mafanikio ya hali ya juu. Ni rahisi kwa kipofu kushuhudia hili kuliko baadhi ya wana-JF
Msikimbilie kujificha kwenye shuka la positivism. Nimeuliza swali naomba nijibiwe? watanzania ambao makundi mbali mbali ya wanasiasa yanawaahidi kuwakomboa wanaweza kununua nyumba za mchechu? au na wewe ni mmoja wa watu ambao wakiona magorofa wanasema tunaendelea?