Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
Mimi nakwazika kidogo!naona nadharia zimekuwa mingi sana kuliko ''hali-halisi nchini kwetu''
sina wa kumlaumu,wala kumlilia!Ninaililia nafsi yangu,ninaulilia umaskini wangu.
Ndani ya miaka mitatu,tayari wapo waliomtunuku tuzo hii ya heshima,ya udaktari,naona vyombo vya habari tayari walishaanza kuandika jina lake kwa staili hiyo ya ''mh dk rais nanihii''.
tunaolia mtuache tulie tu kasababu bado ahadi nyingi hazijatekelezwa.....!
tunaomba sana ''mh dk rais '' uushikilie msemo ufuatao,kinyume na hilo ''I AM AFRAID I WON'T MISS YOU''..............''WALK THE TALK-BJ''
sina wa kumlaumu,wala kumlilia!Ninaililia nafsi yangu,ninaulilia umaskini wangu.
Ndani ya miaka mitatu,tayari wapo waliomtunuku tuzo hii ya heshima,ya udaktari,naona vyombo vya habari tayari walishaanza kuandika jina lake kwa staili hiyo ya ''mh dk rais nanihii''.
tunaolia mtuache tulie tu kasababu bado ahadi nyingi hazijatekelezwa.....!
tunaomba sana ''mh dk rais '' uushikilie msemo ufuatao,kinyume na hilo ''I AM AFRAID I WON'T MISS YOU''..............''WALK THE TALK-BJ''