Mhe. Shy-Rose Bhanji: Amuunga mkono J.Mnyika kuhusu udhaifu wa Rais

we kama huna hoja kaa kimya! tunajadili mambo ya nchi inavyooza kwa kukosa "accauntability" kwa kiranja mkuu, hatuongelei personal issues. au umetumwa?
 
Ritz, uongozi wa babako ni dhaifu.

Mtei Akoreza kauli J.Mnyika.

Mtei amelaumu Kanuni
za Bunge zilizomwezesha
Naibu Spika, Job Ndugai
kumtoa nje ya ukumbi wa
Bunge mbunge huyo. Juzi, Mnyika alitolewa nje
ya ukumbi wa Bunge,
baada ya kukukataa
kufuta kauli yake kuwa
‘Rais Jakaya Kikwete ni
dhaifu’. Akitetea kauli hiyo, Mtei
alirejea baadhi ya matukio
aliyodai yanaonyesha
udhaifu huo, ukiwamo
uamuzi ya Rais Kikwete juu
ya hatua za kuwachukulia walioiba fedha katika
Akaunti ya Madeni ya Nje
(EPA), katika Benki Kuu ya
Tanzania (BoT). Mtei alifafanua kwamba,
kitendo cha Rais Kikwete
kuwataka wezi hao
warudishe fedha walizoiba
badala ya kuwakamata,
kinadhihirisha udhaifu mkubwa wa kiongozi
huyo. “Rais Kikwete ana
udhaifu wa kuwachukulia
hatua za kisheria watu
ambao wanahujumu taifa
kwa ufisadi…udhaifu wa
Rais ni kama kutowadhibiti wezi wa fedha zetu kama
fedha za EPA. Aliwaambia
wezi warudishe fedha,
badala ya kuwatia ndani
wanabaki wanatamba kwa
kuiba fedha zetu,” alisisitiza Mtei aliyewahi kuwa
Gavana wa Benki Kuu. Alisema kibaya zaidi ni
kwamba, nchi inayumba
kutokana na uongozi
mbovu kuanzia ngazi ya
urais hadi chini, kwa kuwa
tunaongozwa na watu wasiojua na kuisimamia
Katiba. Kauli kuhusu Bajeti
Akitoa maoni yake juu ya
Bajeti ya Serikali ya mwaka
huu, Mtei alisema Bajeti
hiyo haina jipya kwa kuwa
haishughulikii matatizo na kero za wananchi. Alisema Bajeti hiyo ambayo
mjadala wake
unahitimishwa kesho,
haiwezi kukabilina na
mfumuko wa bei
unaolikabili taifa. Kuhusu suala la deni la
Taifa linalofikia Sh20.2
trilioni, alisema nchi ipo njia
panda, hali ambayo ni
hatari kwa kuwa ni mzigo
kwa taifa na linazidi kuongezeka kila mwaka. Mwanasiasa huyo ambaye
ni Mwenyekiti wa kwanza
wa Chadema, aliponda
vitendo vya Serikali
kukopa fedha kila mara
kwenye mabenki ya kibiashara nchini, na
kuomba kwa wahisani.
MWISHO
 
Last edited by a moderator:
Hayawi hayawi huwa!
Mbunge wa Afrika Mashariki, Mhe. Shyrose katika mtandao wa Welcome to Facebook - Log In, Sign Up or Learn More amefunguka na kuandika kama ifatavyo katika hii nukuu:- "Mbona serikali
hawakumuelewa Mnyika
Bungeni. Kwani si kweli
kuwa binadamu wote tuna
udhaifu?!"

Msemo huu unathibitisha kuwa:-

1. Rais ni dhaifu
2. Waziri Mkuu ni dhaifu; jambo Zitto Kabwe alithibitisha zamani.
3. Mawaziri na manaibu wao ni dhaifu
4. Wakurugenzi ni dhaifu
5. Ma-DC ni dhaifu
6.
7.
8.
9.
10.
......wote ni dhaifu na wamechaguliwa au teuliwa na Rais dhaifu ambaye pia ni Mwenyekiti dhaifu wa chama dhaifu.

Ikumbukwe Mbunge huyu (Shy-Rose Bhanji) alichagulia katika upande wa CCM lakini haoni haja yoyote ya kutetea pumba na ndio maana ameamua kusema jambo hili ambalo limesababisha baadhi ya wanachama wenzake wa CCM kujiandaa kuandamana kama njia moja ya kupaka chadema tope pamoja na Mbunge Mhe John Mnyika.

Kwa upande wa chadema kauli kama hizi ni mitaji mikubwa katika siku za usoni hasa katika vuta ni kuvute za Kisiasa.

Source:http://m.facebook.com/shyrose.bhanji.7
Alichosema Shy-rose ni kwamba hata wewe uliyemnukuu ni dhaifu.
 
Baba Ridhiwani, ni dhaifu na yeye mbona amenyamaza na hajamtumia Salva kukanusha hii habari?
na Ahyrose kasema kweli kwa sababu hata mwaka 2010 kwenye kura za maoni na yeye walim dhulumu na alikua ana mpango wa kuhamia CHADEMA, baba Mwana Asha na udhaifu wake akamua kumpa huo Ubunge wa Afrika Mashariki
 
Hoja ya kitoto kabisa hii...hii inanikumbusha wakati nipo darasa tatu tunga msamiati kutumia neno dhaifu.

Viongozi wa CCM wote ni DHAIFU ndio maana Serikali imekuwa legelege


MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
 
Rais ni dhaifu
Hayawi hayawi huwa!
Mbunge wa Afrika Mashariki, Mhe. Shyrose katika mtandao wa Welcome to Facebook - Log In, Sign Up or Learn More amefunguka na kuandika kama ifatavyo katika hii nukuu:- "Mbona serikali
hawakumuelewa Mnyika
Bungeni. Kwani si kweli
kuwa binadamu wote tuna
udhaifu?!"

Msemo huu unathibitisha kuwa:-

1. Rais ni dhaifu
2. Waziri Mkuu ni dhaifu; jambo Zitto Kabwe alithibitisha zamani.
3. Mawaziri na manaibu wao ni dhaifu
4. Wakurugenzi ni dhaifu
5. Ma-DC ni dhaifu
6.
7.
8.
9.
10.
......wote ni dhaifu na wamechaguliwa au teuliwa na Rais dhaifu ambaye pia ni Mwenyekiti dhaifu wa chama dhaifu.

Ikumbukwe Mbunge huyu (Shy-Rose Bhanji) alichagulia katika upande wa CCM lakini haoni haja yoyote ya kutetea pumba na ndio maana ameamua kusema jambo hili ambalo limesababisha baadhi ya wanachama wenzake wa CCM kujiandaa kuandamana kama njia moja ya kupaka chadema tope pamoja na Mbunge Mhe John Mnyika.

Kwa upande wa chadema kauli kama hizi ni mitaji mikubwa katika siku za usoni hasa katika vuta ni kuvute za Kisiasa.

Source:http://m.facebook.com/shyrose.bhanji.7
 
Hayawi hayawi huwa!
Mbunge wa Afrika Mashariki, Mhe. Shyrose katika mtandao wa www.facebook.com amefunguka na kuandika kama ifatavyo katika hii nukuu:- "Mbona serikali
hawakumuelewa Mnyika
Bungeni. Kwani si kweli
kuwa binadamu wote tuna
udhaifu?!"

Msemo huu unathibitisha kuwa:-

1. Rais ni dhaifu
2. Waziri Mkuu ni dhaifu; jambo Zitto Kabwe alithibitisha zamani.
3. Mawaziri na manaibu wao ni dhaifu
4. Wakurugenzi ni dhaifu
5. Ma-DC ni dhaifu
6.
7.
8.
9.
10.
......wote ni dhaifu na wamechaguliwa au teuliwa na Rais dhaifu ambaye pia ni Mwenyekiti dhaifu wa chama dhaifu.

Ikumbukwe Mbunge huyu (Shy-Rose Bhanji) alichagulia katika upande wa CCM lakini haoni haja yoyote ya kutetea pumba na ndio maana ameamua kusema jambo hili ambalo limesababisha baadhi ya wanachama wenzake wa CCM kujiandaa kuandamana kama njia moja ya kupaka chadema tope pamoja na Mbunge Mhe John Mnyika.

Kwa upande wa chadema kauli kama hizi ni mitaji mikubwa katika siku za usoni hasa katika vuta ni kuvute za Kisiasa.

Source:http://m.facebook.com/shyrose.bhanji.7

Hata nyerere alipokufa mtikila alisema alikufa kwa ukimwi serikali ikasema amekashifu ashitakiwe kumbe watawala walitumia tumbo kufikiri mtikila kakosea kumbe alikuwa sahihi shida ilikuwa tafsiri ya kiswahili
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom