mwitaz
JF-Expert Member
- Feb 19, 2012
- 315
- 93
Hayawi hayawi huwa!
Mbunge wa Afrika Mashariki, Mhe. Shyrose katika mtandao wa www.facebook.com amefunguka na kuandika kama ifatavyo katika hii nukuu:- "Mbona serikali
hawakumuelewa Mnyika
Bungeni. Kwani si kweli
kuwa binadamu wote tuna
udhaifu?!"
Msemo huu unathibitisha kuwa:-
1. Rais ni dhaifu
2. Waziri Mkuu ni dhaifu; jambo Zitto Kabwe alithibitisha zamani.
3. Mawaziri na manaibu wao ni dhaifu
4. Wakurugenzi ni dhaifu
5. Ma-DC ni dhaifu
6.
7.
8.
9.
10.
......wote ni dhaifu na wamechaguliwa au teuliwa na Rais dhaifu ambaye pia ni Mwenyekiti dhaifu wa chama dhaifu.
Ikumbukwe Mbunge huyu (Shy-Rose Bhanji) alichagulia katika upande wa CCM lakini haoni haja yoyote ya kutetea pumba na ndio maana ameamua kusema jambo hili ambalo limesababisha baadhi ya wanachama wenzake wa CCM kujiandaa kuandamana kama njia moja ya kupaka chadema tope pamoja na Mbunge Mhe John Mnyika.
Kwa upande wa chadema kauli kama hizi ni mitaji mikubwa katika siku za usoni hasa katika vuta ni kuvute za Kisiasa.
Source:http://m.facebook.com/shyrose.bhanji.7
Mbunge wa Afrika Mashariki, Mhe. Shyrose katika mtandao wa www.facebook.com amefunguka na kuandika kama ifatavyo katika hii nukuu:- "Mbona serikali
hawakumuelewa Mnyika
Bungeni. Kwani si kweli
kuwa binadamu wote tuna
udhaifu?!"
Msemo huu unathibitisha kuwa:-
1. Rais ni dhaifu
2. Waziri Mkuu ni dhaifu; jambo Zitto Kabwe alithibitisha zamani.
3. Mawaziri na manaibu wao ni dhaifu
4. Wakurugenzi ni dhaifu
5. Ma-DC ni dhaifu
6.
7.
8.
9.
10.
......wote ni dhaifu na wamechaguliwa au teuliwa na Rais dhaifu ambaye pia ni Mwenyekiti dhaifu wa chama dhaifu.
Ikumbukwe Mbunge huyu (Shy-Rose Bhanji) alichagulia katika upande wa CCM lakini haoni haja yoyote ya kutetea pumba na ndio maana ameamua kusema jambo hili ambalo limesababisha baadhi ya wanachama wenzake wa CCM kujiandaa kuandamana kama njia moja ya kupaka chadema tope pamoja na Mbunge Mhe John Mnyika.
Kwa upande wa chadema kauli kama hizi ni mitaji mikubwa katika siku za usoni hasa katika vuta ni kuvute za Kisiasa.
Source:http://m.facebook.com/shyrose.bhanji.7
Last edited by a moderator: