Mhe. Prof. Sospeter Muhongo, aweza kujiuzulu

Kwa uteuzi wa huyu waziri hapa Rais amenikosha sana tumpe muda.
Hakuna cha muda wala nini. Juzi walipoapishwa tulielezwa waanza kazi mara moja hata kabla ya kuapishwa kuwa wabunge. Hiyo ilionyesha kuwa katiba inavunjwa kutokana na dharura na unyeti wa kazi zao.
Sasa kama Tanesco wanadai feza nyingi kwenye majeshi na wanakata umeme ili hazina ilipe na Amri toka juu inawaamuru kurudisha umeme bila kuhoja eti hizo ni sehemu nyeti, Ninge muomba huyo Waziri asubiri tuu akishaapishwa kuwa Mbunge June hapo hapo ajiuzulu uwaziri kwa kuzuiwa kufanya kazi yake (Tanesco kukusanya madeni)
Haya mambo ya kumpa muda mtu yamepitwa na wakati, mbona CCM imepewa muda wa miaka 50 na bado imeshindwa inataka mingine? Sasa tuwe na kawaida ya One mistake one way ticket.
 
Bwana Yesu alisema utawala uliogawanyika vipande vipande (wa shetani) hauwe kudumu...
 
kamfedhehesha sana balozi wa marekani kwenye lift.

Hiyo inaweza kuwa ishara kuwa, safari ya huyo balozi kwenda kwa waziri mpya wa nishati na madini haikuwa yenye tija kwa taifa letu. Labda nyuma ya pazia kuna njama za kuendelea kutufanya kuwa maskini tu. Watuibie uranium na madini yetu huku wakijidai kutupa vimisaada ambayo gharama yake hailingani na kile wanachotubia. Message delivered to him.
 
Kwenye Bajet walitengewa hizi pesa sasa wamepeleka wapi?.... Aliyekuwa Waziri wa Jeshi la wananchi na Mambo ya Ndani wanatakiwa kuwajibika...

Hao mameneja wanatakiwa kukataa kurejesha umeme hadi malipo.

Hiyo kasma ilihamishwa kwenda kwenye fungu lingine mkuu
Pia uzembe wa Tanesco kwa nini hawawakatii umeme hadi deni limefikia mabilioni
 
Halafu nasikia Zenji wamesamehewa deni lao la shilingi Billion 50 walizokuwa wanadaiwa na Tanesco. Ina maana deni hili litalipwa kiaina na Watanganyika kwa kuwaongezea tu bili zao. Hapana, Profesa hebu njoo utueleze hili limekaaje?
 
Halafu nasikia Zenji wamesamehewa deni lao la shilingi Billion 50 walizokuwa wanadaiwa na Tanesco. Ina maana deni hili litalipwa kiaina na Watanganyika kwa kuwaongezea tu bili zao. Hapana, Profesa hebu njoo utueleze hili limekaaje?

wale walalamishi, siye tunajua kuvumilia. dah, tanzania bwana!!!!!!!!!!!!!
 
Dr. Mwinyi anatakiwa atoe majibu kwa nini JWZ wana deni kubwa kiasi hicho? Hawakuwa na kifungu cha kulipia umeme kwenye bajeti zake? Hela zimeenda wapi na nani ameidhinisha matumizi tofauti na yale yaliyopitishwa na bunge?
Asante Mkuu, hili ndiyo swali lnatkiwa kuulizwa bungeni na liwe la kuzuia bajet nzima ya Wizara.
Waziri anatakiwa kusema wazi tatizo ni nini.
Kwanza ni aibu kwa Majeshi ambayo ndiyo sehemu tungetegemea kuona mfano wa nidhamu ya utendaji kazi kunakuwa na madeni ya aina hii.
Hili ni tatizo sugu na ndiyo maana nchi nzima hakuna kinachotekelezwa kiutaratibu kama inavyostahili. Sheria nyingi zenye mantiki ya kundeleza uchumi wa nchi hazifuatwi sababu kwa sababu ya mambo kama haya. Kwa kifupi hapa Jeshi la Polisi na JWTZ wamevunja sheria! Kama wametengewa fedha za kulipia umeme na hawalipi nini maana yake?
Ni aibu kwa Taifa zima kuwa majeshi yetu hayalipii vitu muhimu kama hivi bila sababu zozote zinazoelezeka.
 
imebidi nijihakiki, na mimi nimekuta taa zinawaka, nimeamua kuzizima hapa kibaruan kwangu. kila mtu achunguze hilo



umenichekesha DAWA YAKE NI LUKU TU MAANA KILA MTUA ATAKUWA ANAJUA ASIPOKUWA MAKINI ATAKAUWA GIZANI. TUMWAMBIE PROF AANZE NA HILO LAKINI CHA AJABU TOKA DECEMBER 2011 hakuna MASHINE ZA LUKU KUNA MTU AMELIPIA TANESCO TOKA JANUARI HAJAWEKEWA UMEME KWAKE ETI TANESCO IMEISHIWA LUKU!
 
Back
Top Bottom