Mhe. Kabuzi Rwilomba is no more!

Alikuwa miongoni mwa wabunge wachache wanaopendwa na wapiga kura wao mkoani Mwanza, Nenda Kabuzi, tangulia...........
 
Raha ya Milele umpe ee bwana, na Mwanga wa milele umuangazie, Apumzike kwa Amani. Amina
 
Kuna taarifa zinatinga hapa kuwa Mbunge wa Busanda (CCM) ameaga dunia muda mchache uliopita akiwa India alikopelekwa kwa matibabu.

Awali alilazwa Hospitali ya Muhimbili (Dar es Salaam) ambapo alikuwa anasumbuliwa na kwikwi isiyokatika (isha) na mwili ulikuwa na magamba kitu kilichodaiwa ni 'aleji' ya dawa.

RIP Rwilomba
1220.jpg

RIP Rwilomba
 
jamani.mungu ailaze roho ake mahali pema popeni.na awatie wanae na wakeze nguvu hasa katika kipindi hiki kigumu cha majozi
 
poleni sana ndugu jamaa na marafiki,ila chonde wana si hasa wapeni ndugu wa marehemu nafasi wamzike ndugu yao ndo muanze mambo yenu,maana tunawajua kwa kuteka misiba kama hiyo! hamjambo.
 
Napenda kuwapa pole ndugu,marafiki na wananchi wote wa jimbo la Busanda, kwa kuondekewa na Mbunge wao.Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.Amina.
 
Back
Top Bottom