Meitinyiku L. Robinson
JF-Expert Member
- Aug 29, 2011
- 412
- 90
Binafsi niungane na wale wasemao kila jambo linapotokea kuna sababu. Zaidi ya hili kuna wasemao apangalo Mungu mwanadamu hawezi kulipangua.
Nasema haya kwa moyo wa dhati kabisa baada ya kukaa na kufikiri dhoruba aliyoipata Mhe. Edward Lowassa mwaka 2008 jambo ambalo wahuni wachache waliamua kulitumia ili kumwaribia heshima yake pamoja na kutaka kumchonganisha yeye na Watanzania.
Ila kwa kuwa Mungu hali ugali wala hanywi uji na kwa kuwa vile vile Mungu si Mwakyembe wala si Sitta hata kabla ya muhusika kuwaeleza Watanzania hali halisi juu tuhuma zile Mungu ameanza kuyadhihirisha haya kwa Watanzania bila shaka yoyote.
Alisema yeye si Mungu wa dhuluma wala si Mungu wa visasi ila yeye ni Mungu wa HAKI kwa watu wake wote na haki yake hiyo ndiyo aliyoanza kuidhihirisha mbele ya jamii na hata kuanza kuonekana kwamba hili jembe na huyu Raisi tumtazamiaye alibebeshwa furushi la misuri lisilomuhusu
Japo amekuwa akilaumiwa sana ila imeendelea kudhihirika kuwa yaliyomfanya kufikia uamuzi ule si mengine bali ni maadili yake aliyofundishwa Chamani na hivyo kuamua kuangikwa msalabani ili kuendelea kukipa heshima Chama chake na viongozi wake.*
Niseme tu Edward si jembe tu bali ni rato, reki, beleshi ni kila kitu. Nimejaribu kutazama tu tena kupitia ktk ile Mikoa inayojifanya eti haimkubali Mikoa ambayo haizidi 9 (na naamini tu hawamkubali Mdomoni ila Moyoni jamaa wanamkubali sana).
Katika hii Mikoa sasa, toka Mwaka 2010 ukianzia ngazi ya Kitongoji kila siku iwayo kwa Mungu watu 5-10 humzungumzia na humkubali sana huyu jamaa, ukienda ngazi ya Kijiji ni watu 11-30, Kata ni watu 31-50, Tarafa ni watu 51-80, Wilaya ni watu 81-199, na Mkoa ni watu 200-399 ndio ambao humzungumzia na zaidi humkubali huyu mtu.
Sasa kama hivi ndivyo zidisha mara Mikoa tuliyo nayo mara siku 365 mara miaka iliyobaki ili tuingie kwenye uchaguzi halafu jumlisha utendaji wake halafu vile vile toa maadui zake walioanza kurudi kwake bila kushurutishwa then nipe jibu Uraisi ataukosea wapi Nchi hii.......
Baada*ya hesabu hizo sasa fikiri je huyo balaa aliyepewa jina la Richmond kama angetokea mwaka huu ama mwaka kesho Urais Edward angeupata je manake ingemchukua muda sana kutumia busara kama aliyoitumia toka Mwaka 2008 hadi leo. Mwacheni Mungu aitwe Mungu bana......
You know what Edward; Haters hate b'se they hate seeing you DO BETTER!
Karibu *Ikulu Mhe. Edward Ngoyai Lowassa........
Nasema haya kwa moyo wa dhati kabisa baada ya kukaa na kufikiri dhoruba aliyoipata Mhe. Edward Lowassa mwaka 2008 jambo ambalo wahuni wachache waliamua kulitumia ili kumwaribia heshima yake pamoja na kutaka kumchonganisha yeye na Watanzania.
Ila kwa kuwa Mungu hali ugali wala hanywi uji na kwa kuwa vile vile Mungu si Mwakyembe wala si Sitta hata kabla ya muhusika kuwaeleza Watanzania hali halisi juu tuhuma zile Mungu ameanza kuyadhihirisha haya kwa Watanzania bila shaka yoyote.
Alisema yeye si Mungu wa dhuluma wala si Mungu wa visasi ila yeye ni Mungu wa HAKI kwa watu wake wote na haki yake hiyo ndiyo aliyoanza kuidhihirisha mbele ya jamii na hata kuanza kuonekana kwamba hili jembe na huyu Raisi tumtazamiaye alibebeshwa furushi la misuri lisilomuhusu
Japo amekuwa akilaumiwa sana ila imeendelea kudhihirika kuwa yaliyomfanya kufikia uamuzi ule si mengine bali ni maadili yake aliyofundishwa Chamani na hivyo kuamua kuangikwa msalabani ili kuendelea kukipa heshima Chama chake na viongozi wake.*
Niseme tu Edward si jembe tu bali ni rato, reki, beleshi ni kila kitu. Nimejaribu kutazama tu tena kupitia ktk ile Mikoa inayojifanya eti haimkubali Mikoa ambayo haizidi 9 (na naamini tu hawamkubali Mdomoni ila Moyoni jamaa wanamkubali sana).
Katika hii Mikoa sasa, toka Mwaka 2010 ukianzia ngazi ya Kitongoji kila siku iwayo kwa Mungu watu 5-10 humzungumzia na humkubali sana huyu jamaa, ukienda ngazi ya Kijiji ni watu 11-30, Kata ni watu 31-50, Tarafa ni watu 51-80, Wilaya ni watu 81-199, na Mkoa ni watu 200-399 ndio ambao humzungumzia na zaidi humkubali huyu mtu.
Sasa kama hivi ndivyo zidisha mara Mikoa tuliyo nayo mara siku 365 mara miaka iliyobaki ili tuingie kwenye uchaguzi halafu jumlisha utendaji wake halafu vile vile toa maadui zake walioanza kurudi kwake bila kushurutishwa then nipe jibu Uraisi ataukosea wapi Nchi hii.......
Baada*ya hesabu hizo sasa fikiri je huyo balaa aliyepewa jina la Richmond kama angetokea mwaka huu ama mwaka kesho Urais Edward angeupata je manake ingemchukua muda sana kutumia busara kama aliyoitumia toka Mwaka 2008 hadi leo. Mwacheni Mungu aitwe Mungu bana......
You know what Edward; Haters hate b'se they hate seeing you DO BETTER!
Karibu *Ikulu Mhe. Edward Ngoyai Lowassa........