Mhe. Edward Lowassa Richmond kuibuliwa 2008 kama si mapenzi ya Mungu Israel na aseme

Namkubali kwa kusimamia msimamo wake,kuongeza mahudhurio Kanisani baada ya 2008 kuchapa kazi Na kuwa kwake siriazi na mwenye kujiamini. Ila simkubali kwa kukubali kutumika kwa maslahi ya ccm badala ya maslahi ya taifa. Kama alikubali kuficha siri za wizi wa bosi wake Hata yeye ni mwizi. Kumfadhili mwizi ni kushiriki wizi.

I like your point. Ila jf imevamiwa.
 
Hadhi ya JF inashushwa na Watu kama aliyeleta mada hii.
Kama Mtanzania siko tayari kuwa na Rais wa aina ya Lowasa.Wako Watu ambao wanaweza kuongoza Tanzania na ikawa na Mafanikio na Maendeleo yayotamalaki lakini si huyu msaliti wa Taifa hili.
Mnaojaribu kuchezea akili zetu na huyu mamluki wenu hamtuwezi alipata fursa akaitumia kwa kuhujumu raslimali za Taifa hili hivyo Watanzania si wajinga kama ambavyo mleta mada anavyofikiri.
 
Ndugu zngu habari za leo, ni muda kidogo nilikuwa nje ya ulingo, namshukuru Mungu nipo leo tena, wapendwa wapenda amani na maendeleo ya TZ naomba mkae mchunguze ukweli upo wazi, jamani Kagame ni rais ambaye alitokea jeshini na ameifanya nchi yake kuwa kama ilivyo japo ameiongoza kwa mkono wa chuma kwa muda, lkn leo, kila nyumba pale Rwanda wana ng'ombe wa maziwa waliopewa na Rais wao kwa kuwajali watu wake, rwanda leo ina ndege zinazokwenda mpaka dubai zikichukuwa wa TZ jamani nasema tena, wanaochukia huyu Ndugu yetu Lowasa kuwa rais wanampango wao, lkn kwa hapa tulipo nchi inatakiwa kuwa na kiongozi ambaye hata marafiki zake wamuogope, na waogope ikulu na waogope haki ya wa TZ, fikilini eti TANESCO tena kuna ufisadi sababu, wakubwa hawakupewa ten percent kwa ajili ya vikombe vya kwenye nguzo za umeme, jamani haya mpaka lini? Lowasa peke yake ndiyo mtu atakae tufikisha mahala pakuona mwanga na faida ya rasiimali za zetu. Najua watu wengi mtaendelea kutukana au kusema wanao sema ukweli kuhusu huyu jamaa wamehongwa lkn TZ inahitaji mtu ambaye akikohoa wakuu wa mikoa wanaamka wanauliza tuwasaidieje wa TZ, wakuu wa wilaya wawatetemekee wa TZ wanao hitaji misaada ya serikali.
Ukweli ni taa hatakama ikombali utaiona, japo ni njiti ya kiberiti katikati ya giza la nchi yetu itaonekana Lowassa analifaa taifa letu na siyo CCM, porojo siyo ufanisi, najua Dr, anafaa zaidi lkn wakuu wa mikoa wameteuliwa na CCM kwahiyo Lowassa akisema wote wataogopa kz wataifanaya,
samahani kusema san lkn ukweli umenifanya kusema yote.

kwamba wakuu wa mikoa wamechaguliwa na ccm hivyo watamsikiliza lowassa,kweli watanzania bado sana katika harakati za kuijua elimu ya kiraia,kama wewe ni mpambe wa lowassa basi una ufinyu wa utambuz,uzembe wa kufikiri na makusudi ya kifisadi,kama unashindwa tambua kuwa wakuu wa mikoa ni nafasi za kisiasa na zinabadilishwa kulingana na matakwa ya utawala nakupa pole kajipange upya,CDM wanaomba usiku na mchana ccm wampitishe lowassa kwani nimulaini kama nyama ya maini,
 
Bado kazi inaendelea kati wa watu 10 waliochangia wa5 bado wameendelea kuonesha mapenzi yao kwa Edward..........
Unajua sio lazima kuchangia Ndoto kila siku kwa ajili ya posho zenu mbona muda bado kabisa mnajua MUNGU wa Israel?
Mmeona kipigo cha Dogo janja Arumeru Mashariki watu hawangali bati na fedha za kumwaga. Jueni wapiga kura sio hap wanaingia JF ni wale wanaoumizwa n mfumuko wa maisha ya jila siku yanayotokana na bei ya umeme Nchi yenye mito mingi lkn bei juu kuliko nchi zote Afrika na Dunia (hivi kusaga unga, sigara) hatutumii umeme
Mnataka kututia hasira tu hapa ukiacha IPTL hiyo Richmond - Dowans - Symbions ni nani yupo nyuma yao? Nyie mliotumwa waelezeni waTZ toka 2008 mbona hamuwasemi hadharani kabla ya kuutaka Urais (hakuna Mradi mzuri km wa kuwatoza waTZ km ktk Unit ya umeme moja toka. Cent hadi shilingi 140/) utawanunua wajinga lakini sio wapiga Kura jifunzeni Arumeru Mashariki
Acheni kuchezea manyunyu wakati El Ninho unakuja
 
lowasaaa oyeeeeeeeeeeeee, membe ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiirooooooooooooooooooooooooooooo
 
Kama Mtanzania siko tayari kuwa na Rais wa aina ya Lowasa.

Madudu ya mtoto wa Lowassa haya hapa. Angalia jinsi alivyo MAFIA. Baba akishika nchi si ndo itakuwa hatari
http://gdss2008.blogspot.com/2010/12/taarifa-ya-lowassa-kuchunguzwa-balaa.html?m=1
 
I like your point. Ila jf imevamiwa.
Yaani mkuu njaa ni kitu kibaya,inaweza kukufanya mtu mzima uonekane mtoto mdogo,..wapambe acheni kutoka povu leteni hoja zito sio kuja na bla bla,mkiulizwa maswali ya msingi hamjibu,,ila mkae mkijua watz wasasa sio wa mwaka 47,mbaya zaidi wengi wa members wa JF ni GT wa ukweli so MJIPANGE!
 
Mkuu Shondola na mashabiki wengine wa Edward Lowasa,

Mimi huwa naangalia ni idadi ipi inafanya kuwepo na ushabiki nyuma ya mheshimiwa EL, jibu ni hakuna na sasa ni watu kuhangaika huku na kule.

Nafikiri hiyo kazi ya wito kupitia kanisani ndio inafaa sana kutukumbusha jina lake na sio dawa ya kusafisha UFISADI alio nao EL.

Nilimpa ujumbe huu mheshimiwa Pasco na narudia tena maneno ya hayati Mwalimu Nyerere aliyoyasema pale Dodoma kwenye mkutano mkuu wa NEC kwamba EL "is not good material for presidency", period.

Hiyo ilikuwa ni mwaka 1995 na miaka 13 baadae yaani 2008, EL akaja na hili la UFISADI wa RICHMOND!, kwahio the late Nyerere's point was damned proved.

You should, stop this.
 
huyu bwana alishachafua jina lake, kumrudisha kwa urais ni kuonyesha udhaifu mkubwa na kukosa umakini kwa wa-tz kwenye kufanya maamuzi m-badala kwa mustakabali wa nchi yetu!!
Tusifanye mambo na maamuzi kama vile tumefungiwa kwenye box....walk out of thr box and think in large.
 
Wewe unaongea kama wafilisti amabao kwao Mungu ilkuwa hadithi. Unachoongea ukijui au wewe ni baradhuri na akili hun. Utamtia nani ujinga aamini kuwa lowasa ni fisadi.EL ni mmoja wa waungwana wachache sana waliopo nchi na duniani na mie nkiwepo. Tumwombee aingie Ikulu tuione nchi ya asali na maziwa.EL tunakuaminia
 
aiseeeh ! Sijui kuna nini JF ? AU NI LOWASSA MWENYEWE NINI ANAETUPIA HUMU HIZI POST ?!?!?
 
kuna jamaa humu anajifanya anatoka monduli,aache kujipaka mavi ya bibi yake LOWASSA MONDULI WANANCHI WAKE WANAMPENDA,WEWE KAMA UNAINGIA KWENYE SIASA KARIBU ILA USIKANYAGE MAGANDA YA NDIZI.LOWASSA ANAMHESHIMU MUNGU THUS ANATUFAA 2015
 
Ndugu zngu habari za leo, ni muda kidogo nilikuwa nje ya ulingo, namshukuru Mungu nipo leo tena, wapendwa wapenda amani na maendeleo ya TZ naomba mkae mchunguze ukweli upo wazi, jamani Kagame ni rais ambaye alitokea jeshini na ameifanya nchi yake kuwa kama ilivyo japo ameiongoza kwa mkono wa chuma kwa muda, lkn leo, kila nyumba pale Rwanda wana ng'ombe wa maziwa waliopewa na Rais wao kwa kuwajali watu wake, rwanda leo ina ndege zinazokwenda mpaka dubai zikichukuwa wa TZ jamani nasema tena, wanaochukia huyu Ndugu yetu Lowasa kuwa rais wanampango wao, lkn kwa hapa tulipo nchi inatakiwa kuwa na kiongozi ambaye hata marafiki zake wamuogope, na waogope ikulu na waogope haki ya wa TZ, fikilini eti TANESCO tena kuna ufisadi sababu, wakubwa hawakupewa ten percent kwa ajili ya vikombe vya kwenye nguzo za umeme, jamani haya mpaka lini? Lowasa peke yake ndiyo mtu atakae tufikisha mahala pakuona mwanga na faida ya rasiimali za zetu. Najua watu wengi mtaendelea kutukana au kusema wanao sema ukweli kuhusu huyu jamaa wamehongwa lkn TZ inahitaji mtu ambaye akikohoa wakuu wa mikoa wanaamka wanauliza tuwasaidieje wa TZ, wakuu wa wilaya wawatetemekee wa TZ wanao hitaji misaada ya serikali.
Ukweli ni taa hatakama ikombali utaiona, japo ni njiti ya kiberiti katikati ya giza la nchi yetu itaonekana Lowassa analifaa taifa letu na siyo CCM, porojo siyo ufanisi, najua Dr, anafaa zaidi lkn wakuu wa mikoa wameteuliwa na CCM kwahiyo Lowassa akisema wote wataogopa kz wataifanaya,
samahani kusema san lkn ukweli umenifanya kusema yote.
EL Hawezi kusafishika. Kwanza atueleze utajiri alionao kaupataje hadi amekuwa mtu wa 12 katika Matajiri wa Tanzania. Kumbukeni mtoto wake alikataliwa kununua nyumba UK kwa vile alishindwa kueleza kapataje pesa ile. Je kwa utajiri wake huo amelipa kodi kiasi gani TRA. Na kama hajalipa kodi inayolingana na utajiri wake; itakuwa HAFAI KUWA RAIS kwa vile ni mtu aliyeikosesha mapato serilkali.
 
kuna jamaa humu anajifanya anatoka monduli,aache kujipaka mavi ya bibi yake LOWASSA MONDULI WANANCHI WAKE WANAMPENDA,WEWE KAMA UNAINGIA KWENYE SIASA KARIBU ILA USIKANYAGE MAGANDA YA NDIZI.LOWASSA ANAMHESHIMU MUNGU THUS ANATUFAA 2015

eeeh ! Mungu ana heshimiwa !? Kwani naye ni mbunge ?
Kumbe ndo maana anakata pochi vile !
 
kombo ni mawzo yako bse imani yako siijui,ila mimi imani yangu , MUNGU ukimheshimu utampenda na kushika amri zake
 
Back
Top Bottom