Namkubali kwa kusimamia msimamo wake,kuongeza mahudhurio Kanisani baada ya 2008 kuchapa kazi Na kuwa kwake siriazi na mwenye kujiamini. Ila simkubali kwa kukubali kutumika kwa maslahi ya ccm badala ya maslahi ya taifa. Kama alikubali kuficha siri za wizi wa bosi wake Hata yeye ni mwizi. Kumfadhili mwizi ni kushiriki wizi.
I like your point. Ila jf imevamiwa.
Ndugu zngu habari za leo, ni muda kidogo nilikuwa nje ya ulingo, namshukuru Mungu nipo leo tena, wapendwa wapenda amani na maendeleo ya TZ naomba mkae mchunguze ukweli upo wazi, jamani Kagame ni rais ambaye alitokea jeshini na ameifanya nchi yake kuwa kama ilivyo japo ameiongoza kwa mkono wa chuma kwa muda, lkn leo, kila nyumba pale Rwanda wana ng'ombe wa maziwa waliopewa na Rais wao kwa kuwajali watu wake, rwanda leo ina ndege zinazokwenda mpaka dubai zikichukuwa wa TZ jamani nasema tena, wanaochukia huyu Ndugu yetu Lowasa kuwa rais wanampango wao, lkn kwa hapa tulipo nchi inatakiwa kuwa na kiongozi ambaye hata marafiki zake wamuogope, na waogope ikulu na waogope haki ya wa TZ, fikilini eti TANESCO tena kuna ufisadi sababu, wakubwa hawakupewa ten percent kwa ajili ya vikombe vya kwenye nguzo za umeme, jamani haya mpaka lini? Lowasa peke yake ndiyo mtu atakae tufikisha mahala pakuona mwanga na faida ya rasiimali za zetu. Najua watu wengi mtaendelea kutukana au kusema wanao sema ukweli kuhusu huyu jamaa wamehongwa lkn TZ inahitaji mtu ambaye akikohoa wakuu wa mikoa wanaamka wanauliza tuwasaidieje wa TZ, wakuu wa wilaya wawatetemekee wa TZ wanao hitaji misaada ya serikali.
Ukweli ni taa hatakama ikombali utaiona, japo ni njiti ya kiberiti katikati ya giza la nchi yetu itaonekana Lowassa analifaa taifa letu na siyo CCM, porojo siyo ufanisi, najua Dr, anafaa zaidi lkn wakuu wa mikoa wameteuliwa na CCM kwahiyo Lowassa akisema wote wataogopa kz wataifanaya,
samahani kusema san lkn ukweli umenifanya kusema yote.
Unajua sio lazima kuchangia Ndoto kila siku kwa ajili ya posho zenu mbona muda bado kabisa mnajua MUNGU wa Israel?Bado kazi inaendelea kati wa watu 10 waliochangia wa5 bado wameendelea kuonesha mapenzi yao kwa Edward..........
Kama Mtanzania siko tayari kuwa na Rais wa aina ya Lowasa.
we ni sawa na pampus za kusitiri uchafu.una roho ya jini
Kumbe humu ni magamba wote wacha nitokelowasaaa oyeeeeeeeeeeeee, membe ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiirooooooooooooooooooooooooooooo
Yaani mkuu njaa ni kitu kibaya,inaweza kukufanya mtu mzima uonekane mtoto mdogo,..wapambe acheni kutoka povu leteni hoja zito sio kuja na bla bla,mkiulizwa maswali ya msingi hamjibu,,ila mkae mkijua watz wasasa sio wa mwaka 47,mbaya zaidi wengi wa members wa JF ni GT wa ukweli so MJIPANGE!I like your point. Ila jf imevamiwa.
EL Hawezi kusafishika. Kwanza atueleze utajiri alionao kaupataje hadi amekuwa mtu wa 12 katika Matajiri wa Tanzania. Kumbukeni mtoto wake alikataliwa kununua nyumba UK kwa vile alishindwa kueleza kapataje pesa ile. Je kwa utajiri wake huo amelipa kodi kiasi gani TRA. Na kama hajalipa kodi inayolingana na utajiri wake; itakuwa HAFAI KUWA RAIS kwa vile ni mtu aliyeikosesha mapato serilkali.Ndugu zngu habari za leo, ni muda kidogo nilikuwa nje ya ulingo, namshukuru Mungu nipo leo tena, wapendwa wapenda amani na maendeleo ya TZ naomba mkae mchunguze ukweli upo wazi, jamani Kagame ni rais ambaye alitokea jeshini na ameifanya nchi yake kuwa kama ilivyo japo ameiongoza kwa mkono wa chuma kwa muda, lkn leo, kila nyumba pale Rwanda wana ng'ombe wa maziwa waliopewa na Rais wao kwa kuwajali watu wake, rwanda leo ina ndege zinazokwenda mpaka dubai zikichukuwa wa TZ jamani nasema tena, wanaochukia huyu Ndugu yetu Lowasa kuwa rais wanampango wao, lkn kwa hapa tulipo nchi inatakiwa kuwa na kiongozi ambaye hata marafiki zake wamuogope, na waogope ikulu na waogope haki ya wa TZ, fikilini eti TANESCO tena kuna ufisadi sababu, wakubwa hawakupewa ten percent kwa ajili ya vikombe vya kwenye nguzo za umeme, jamani haya mpaka lini? Lowasa peke yake ndiyo mtu atakae tufikisha mahala pakuona mwanga na faida ya rasiimali za zetu. Najua watu wengi mtaendelea kutukana au kusema wanao sema ukweli kuhusu huyu jamaa wamehongwa lkn TZ inahitaji mtu ambaye akikohoa wakuu wa mikoa wanaamka wanauliza tuwasaidieje wa TZ, wakuu wa wilaya wawatetemekee wa TZ wanao hitaji misaada ya serikali.
Ukweli ni taa hatakama ikombali utaiona, japo ni njiti ya kiberiti katikati ya giza la nchi yetu itaonekana Lowassa analifaa taifa letu na siyo CCM, porojo siyo ufanisi, najua Dr, anafaa zaidi lkn wakuu wa mikoa wameteuliwa na CCM kwahiyo Lowassa akisema wote wataogopa kz wataifanaya,
samahani kusema san lkn ukweli umenifanya kusema yote.
kuna jamaa humu anajifanya anatoka monduli,aache kujipaka mavi ya bibi yake LOWASSA MONDULI WANANCHI WAKE WANAMPENDA,WEWE KAMA UNAINGIA KWENYE SIASA KARIBU ILA USIKANYAGE MAGANDA YA NDIZI.LOWASSA ANAMHESHIMU MUNGU THUS ANATUFAA 2015