MHAVILLE na MSHANA rekebisheni udhaifu huu

DALLAI LAMA

JF-Expert Member
Jan 31, 2012
8,651
2,627
Haiwezekani kila siku picha ya kampeni ya ccm ni ile ile ya kaumati cha vijiwatu siku ya ufunguzi pale ngaresero.Tupeni hali halisi kwa sababu mwanza hawapigi kura hapa arumeru na kwa sababu iyo basi sisi tulio hapa tunaona ni usanii coz tunajua wanaohudhuria ni wachache ktk kampeni za magamba,so tunaomba ITV na TBC wasijiingize katika popaganda na drakatumba ambayo haiwahusu...NATOA HOJA
 
Haiwezekani kila siku picha ya kampeni ya ccm ni ile ile ya kaumati cha vijiwatu siku ya ufunguzi pale ngaresero.Tupeni hali halisi kwa sababu mwanza hawapigi kura hapa arumeru na kwa sababu iyo basi sisi tulio hapa tunaona ni usanii coz tunajua wanaohudhuria ni wachache ktk kampeni za magamba,so tunaomba ITV na TBC wasijiingize katika popaganda na drakatumba ambayo haiwahusu...NATOA HOJA

hali halisi ndiyo hiyo taaluma mbele hakuna sababu ya kudanganya
 
Moja ya fikra za mjinga ni kujihami hata kwa kile kizuri kinachofanywa na wengine. Taaluma ya picha ni ngumu sana kuitengeneza kienyeji.
Badilikeni!!!!
 
Haiwezekani kila siku picha ya kampeni ya ccm ni ile ile ya kaumati cha vijiwatu siku ya ufunguzi pale ngaresero.Tupeni hali halisi kwa sababu mwanza hawapigi kura hapa arumeru na kwa sababu iyo basi sisi tulio hapa tunaona ni usanii coz tunajua wanaohudhuria ni wachache ktk kampeni za magamba,so tunaomba ITV na TBC wasijiingize katika popaganda na drakatumba ambayo haiwahusu...NATOA HOJA



si kweli hata kidogo mimi nimtazamaji habari mzuri sana wa I.T.V na huwa wanaonyesha matukio ya arumeru kila siku na kwa picha tofauti tofauti, sasa iyo hoja yako kwamba wanarudi picha iyo iyo ni ulimbukeni wako uwo.

lazima watanzania tuwe nahulka yakupongeza kitu kizuri kinapofanyika nasio kuweka siasa kwenye kila jambo, mwishowe tutapekeka siasa mpaka kwa wake zetu.
 
Hivi umefikiria kabla ya kuandika? Clemence Mshana wa TBC ajirekebisha?! Give me a break dude! Hivi unajua kilichomtoa Tido Mhando TBC? Mshana ajirekebishe yeye hajipendi? Mshana ameletwa TBC purposely kufanya kazi hiyo unayomtaka leo ajirekebisha. Mshana anawatumikia CCM that is the plain truth wether you take it or leave it.
 
Nadhani TV hizi mbili zinajitahidi sana ingawa wakati fulani wanalazimika kuzingatia sera za vyombo vyao.

Tatizo ambalo naliona TBC ni ule ukereketwa wao kwa CCM unaoonyeshwa na baadhi ya waongoza vipindi huku wakiwa na uhakika wa kutochukuliwa hatua zo zote na mwajiri wao.
 
si kweli hata kidogo mimi nimtazamaji habari mzuri sana wa I.T.V na huwa wanaonyesha matukio ya arumeru kila siku na kwa picha tofauti tofauti, sasa iyo hoja yako kwamba wanarudi picha iyo iyo ni ulimbukeni wako uwo.

lazima watanzania tuwe nahulka yakupongeza kitu kizuri kinapofanyika nasio kuweka siasa kwenye kila jambo, mwishowe tutapekeka siasa mpaka kwa wake zetu.

marudio ya picha yapo na mfano halisi ni picha za tar 25 na 26 hazikuwa na tofaut hata kidogo,ref itv news
 
Haiwezekani kila siku picha ya kampeni ya ccm ni ile ile ya kaumati cha vijiwatu siku ya ufunguzi pale ngaresero.Tupeni hali halisi kwa sababu mwanza hawapigi kura hapa arumeru na kwa sababu iyo basi sisi tulio hapa tunaona ni usanii coz tunajua wanaohudhuria ni wachache ktk kampeni za magamba,so tunaomba ITV na TBC wasijiingize katika popaganda na drakatumba ambayo haiwahusu...NATOA HOJA

frankly,ITV wanajitahidi kuonesha habari bila upendeleo wa chama chochote, lakini TBC hamna kitu nadhani mshana anaogopa kilichomkuta t.mhando
 
si kweli hata kidogo mimi nimtazamaji habari mzuri sana wa i.t.v na huwa wanaonyesha matukio ya arumeru kila siku na kwa picha tofauti tofauti, sasa iyo hoja yako kwamba wanarudi picha iyo iyo ni ulimbukeni wako uwo.

Lazima watanzania tuwe nahulka yakupongeza kitu kizuri kinapofanyika nasio kuweka siasa kwenye kila jambo, mwishowe tutapekeka siasa mpaka kwa wake zetu.

wanarudia hata mimi nimeona.
 
Lakini ukweli unabadi pale pale kwamba wanachanganya na picha za siku ya ufunguzi, wanatumia za siku ile pale tu wanapokuwa na watu wengi wa kutoa!!!
 
si kweli hata kidogo mimi nimtazamaji habari mzuri sana wa I.T.V na huwa wanaonyesha matukio ya arumeru kila siku na kwa picha tofauti tofauti, sasa iyo hoja yako kwamba wanarudi picha iyo iyo ni ulimbukeni wako uwo.

lazima watanzania tuwe nahulka yakupongeza kitu kizuri kinapofanyika nasio kuweka siasa kwenye kila jambo, mwishowe tutapekeka siasa mpaka kwa wake zetu.
Acha kupayuka payuka wewe. Tupongeze kitu gani hicho? hebu tuambie hicho kizuri unachokiona. lililosemwa ndo ukweli wenyewe. TV hizi hazitupatii ukweli wa mambo! ni kuonesha yale yanayovutia kwa upande mmoja tu bila kuanika ukweli wote hadharani kwa umma wa watanzania. Kama alivyosema mtoa mada, suala la upigaji kura ni la wanaarumeru hakuna haja ya waliombali kufichwa ukweli. Huu ni wakati wa Uwazi na Ukweli Kama alivyokuwa amezoea kusema mmoja wa kiongozi wetu mkubwa katika Taifa hili.
 
Back
Top Bottom