DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Haiwezekani kila siku picha ya kampeni ya ccm ni ile ile ya kaumati cha vijiwatu siku ya ufunguzi pale ngaresero.Tupeni hali halisi kwa sababu mwanza hawapigi kura hapa arumeru na kwa sababu iyo basi sisi tulio hapa tunaona ni usanii coz tunajua wanaohudhuria ni wachache ktk kampeni za magamba,so tunaomba ITV na TBC wasijiingize katika popaganda na drakatumba ambayo haiwahusu...NATOA HOJA