Mhasibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ...

Hawa ndo washauri wa fedha wa wizara...... Nyumba za polisi ni mbovu, mishahara ni mibovu, vituo vya polisi chakavu!!!!! Kwa sababu ya huyu mtu!!!!!
 
Haaaa.... Kweli humuu ni jamvi la vingwenduuu!!!!

Hivi diploma iwe na thaman hivyo hadi mutafute jinsi ya kumtetea??????


Hana elimu huyooooooooooooo..... Fukuza kaziiii

He wont be suspended but some of you will walk with your degree certificates until they are completely worn out. Remember to laminate yours
 
Diploma elimu nyie mnamwona kama hajasoma mtz bana angekuwa mjomba ako ungepiga kimya kwa sababu hakuhusu ndo mnaleta unafiki hapa.Mbona bungeni kule watu wamedanganya elimu zao hamshangai kwa huyu ndo mnatoa mimacho
 
Hakuna muhasibu mkuu wa wizara mwenye diploma tu aliyesalimika kipindi cha Blandina Nyoni
 
He wont be suspended but some of you will walk with your degree certificates until they are completely worn out. Remember to laminate yours

Haaaaa...

I am Accounting and Finance degree holder!!! Naw doing MBA... I am doing sam bziness....

5yrs to cam, sure gonna be great businesman with my own firm ....


We una elimu ya nin hadi unawazia ajira za kuajiriwa??????


BTW; you wont be rich by being employed by someone, but till you employ people to work for you!!!!!!!
 
Mkuu sija kuelewa hapo,unaweza kuwa msomi lkn kazi sifuri mweupe,sioni tatizo sana kama anachapa kazi na ana muda mrefu kazini,lete hoja nyingine tujadili sio hiyo.
 
...elimu yake ni ya kiwango cha Diploma, would you believe it??? Kuna haja ya kutafuta sababu ya uozo uliopo serikalini?

unaongelea diploma MAKARATASI(wengine mnaita VYETI) au Diploma Ujuzi? kwani siku hizi kuna wenye MAKARATASI ya PHD lakini ujuzi wao bora aliyemaliza kidato cha pili.
 
Haaaaa...

I am Accounting and Finance degree holder!!! Naw doing MBA... I am doing sam bziness....

5yrs to cam, sure gonna be great businesman with my own firm ....


We una elimu ya nin hadi unawazia ajira za kuajiriwa??????


BTW; you wont be rich by being employed by someone, but till you employ people to work for you!!!!!!!

wabongo bwana
sisi hatutaki kujua elimu unayoitaja mkuu,tunataka kujua hasa kama output ya elimu yako ni sawa na wenye elimu hiyo.
kumbuka kwa bongo mnadhani kujua lugha(sana sana kiingereza) mnafikiri nyinyi ni wasomi,kumbe wakati mwingine hatujui lolote.pole
 
Haaaaa...

I am Accounting and Finance degree holder!!! Naw doing MBA... I am doing sam bziness....

5yrs to cam, sure gonna be great businesman with my own firm ....


We una elimu ya nin hadi unawazia ajira za kuajiriwa??????


BTW; you wont be rich by being employed by someone, but till you employ people to work for you!!!!!!!

Google VA Business Assurance Services......I am self employed
 

There is no way you can compare National Accounting Diploma (NAD) with recently university graduates in accounting. It is just the system which lead he/she to be diploma holder but he went same years of training but the best is he did closed examination to acquire that qualification

Nakuunga mkono kabisa. NAD ni wataalamu haswa. Mtoa mada anapaswa kujua mifumo ya elimu inabadilika kulingana na wakati. Na ukiona hivyo ujue utendaji wake ni mzuri.
Ludovic Utouh ana ADA, lakini ndio mkaguzi mkuu wa serikali, Chini yake kuna watu wana PGD, Masters, Doctorates etc
 
Amani Abeid Karume alikua Chief Treasurer (1970–1971) na Principal Secretary in the Ministry of Finance (1971–1974), Principal Secretary in the Ministry of Planning (1974–1978), and Principal Secretary in the Ministry of Communications and Transport (1978–1980) akiwa ni Form Six tu! Tunasubiri miujiza ndio tuendelee!
 
Google VA Business Assurance Services......I am self employed

Big up mkuuuu.....
Umaskini wa watanzania chanzo chake ni wasomi ambao tumeshindwa kuuumiza vichwa na kuvumbua vitu, biashara, etc.....

Kama tungekuwa na akina Mengi 100,000 kila mkoa..... No poverty in tanzania!!!!



Leo hiii wafanyabiashara 90% ni mambumbumbu....wasomi mko ofisini!!! Pambaaaafffff
 
Ukiona tangazo wanataka mhasibu ujue wanataka mtu mwenye ujuzi wa muda mrefu kwenye field CPA ni mbwembwe tu mkuu. Kuna jamaa aliuliza swali ilikuwaje Bw Mwigamba akawa mhasibu pale makao makuu wakati amesomea maswala ya electronics na mass media?

By Gagnija
Mzito K,
Please enlighten me. Huyu Mwigamba amesomea uhasibu? Kama ndiyo, kwa level ipi, na hiyo level inakidhi kumweka uhasibu makao makuu ya chama? Na kama siyo, alipewa vipi kazi hiyo ya uhasibu. Nauliza kwa nia njema kwa kuwa nimekuwa naamini kuwa Mwigamba nimfahamuye amesoma Electronics & Telecommunication na baadaye Journalism.

Habari yako ni nzuri sana lakini ulitakiwa ujipange kwanza nadhani kama ana diploma stahiki ya hiyo field then anayo stahli ya kuwa mhasibu lakini angekuwa ana diploma ya utabibu wa wanyama halafu akawa mhasibu huo ni ufisadi wa mchana kweupe. Ukistaajabu ya Mussa unaweza ukayaona ya................... Tafakari
 
Kama ndivyo basi mwanasheria mkuu na jaji mkuu vilevile wangehitajika kuwa ma-professor wa sheria, ila kuna wakati unakuta ana degree moja. Kazini kuna kitu kinaitwa professional development ambayo kuna wakati inaweza ikawa horizontal au vertical ama both horizontal and vertical. Si ajabu kabisa uka mkuta mtu mwenye cheti ni mzuri hata kumzidi yule alie na shahada. tusibeze elimu za watu bila ya kujali uzoefu wao kazini. Mimi binafsi nimeshawahi kushudia mtu mwenye degree aki-seek professional assistance kwa mwenye diploma, na dharau za namna hii zikiendelea hasa maeneo ya kazi team work hupungua na mara hutokea kuboronga kwa kujifanya unajua kisa una degree kumbe huna lolote.
 
Na kuna waziri mwandamizi hana hata hiyo diploma bali cheti cha ualimu daraja la III, anaomgoza nchi kwa kwenda mbele, lakini huyo Dip holder mnataka tumjadiri?!, BTW, tupewe ushahidi wa ushahidi wa yeye kumiliki hiyo diploma pekeyake, isijekuwa majungu.
Diploma elimu nyie mnamwona kama hajasoma mtz bana angekuwa mjomba ako ungepiga kimya kwa sababu hakuhusu ndo mnaleta unafiki hapa.Mbona bungeni kule watu wamedanganya elimu zao hamshangai kwa huyu ndo mnatoa mimacho
 
Kuwa na diploma pekee haitoshi wewe kuitangazia JF kuwa kuna uozo serikalini, lete uozo mwgine ama uozo ulioambatana na diploma hiyo

Unless umekuwa usingizini for the past three years, utakuwa ulishaona kuwa Wizara ya Mambo ya ndani haijawahi kupata hati safi ya vitabu vyake vya hesabu zake za fedha. Need I say more?
 
Kama ndivyo basi mwanasheria mkuu na jaji mkuu vilevile wangehitajika kuwa ma-professor wa sheria, ila kuna wakati unakuta ana degree moja. Kazini kuna kitu kinaitwa professional development ambayo kuna wakati inaweza ikawa horizontal au vertical ama both horizontal and vertical. Si ajabu kabisa uka mkuta mtu mwenye cheti ni mzuri hata kumzidi yule alie na shahada. tusibeze elimu za watu bila ya kujali uzoefu wao kazini. Mimi binafsi nimeshawahi kushudia mtu mwenye degree aki-seek professional assistance kwa mwenye diploma, na dharau za namna hii zikiendelea hasa maeneo ya kazi team work hupungua na mara hutokea kuboronga kwa kujifanya unajua kisa una degree kumbe huna lolote.

Umejitahidi kujieleza, lakini unajua kiwango cha chini kilichowekwa na seikali HII HII ili mtu awe Chief Accountant wa Wizara? In fact huwezi kuwa na cheti cha juu lakini ukawa unatambulika kwa cheti chenye sifa ya chini. NBAA haimtambui mtu asie na CPA kuwa mhasibu, can you explain that? Angekuwa na uzoefu Wizara yake ingekuwa inapata hati chafu kila mwaka for the past three years?
 
Mkuu sija kuelewa hapo,unaweza kuwa msomi lkn kazi sifuri mweupe,sioni tatizo sana kama anachapa kazi na ana muda mrefu kazini,lete hoja nyingine tujadili sio hiyo.

Hebu niambie output ya wizara ya mambo ya ndani? Umesoma magazeti siku za karibuni? Kamati ya bunge imezikataa hesabu za wizara ya mambo ya ndani consistently for the past three years!
 
Diploma elimu nyie mnamwona kama hajasoma mtz bana angekuwa mjomba ako ungepiga kimya kwa sababu hakuhusu ndo mnaleta unafiki hapa.Mbona bungeni kule watu wamedanganya elimu zao hamshangai kwa huyu ndo mnatoa mimacho


Nina mashaka na elimu/ujuzi wako. Tutofautishe political posts na professional posts. For your own information hata ningekuwa mimi mwenyewe huyo mtu ananihusu bado ningesema. He doesn't qualify, period! Tusijidanganye eti Diploma na uzoefu tu vinatosha kumpa mtu U-Chief Accountant wa Wizara - in fact hata scheme of service ya serikali kuu hairuhusu. Mbona basi kuwe na minimum qualification kwa kila cadre?
 
Haha, WaTanzania ndo maana tunaliwa na kudhulumiwa kila kukicha. Yani hapa watu mnatetea elimu ya diploma kisa eti experience.

Hivi mambo mangapi tunasikia yameoza serikalini? Mtu amesoma enzi za nyerere, tena ka_diploma... Wakati duniani siku hzi accountants are professionals,..not only skills but also with new technologies.

Watu siku hizi wanaiba kwa technology na kujua vifungu flan flan kwenye accounts. Nina wasiwasi hata mhasibu wa Tanesco nae ana_experience ya 20, with kidiploma. (Ndo maana huwa wanalia hela hazionekani kwenye shirika, na wanapata tu hasara kila siku) Hahaha

Mbali na kuwa na experience, ukiwa na elimu ndogo, una_lacky confidence... Sishangai kuona hela zinachotwa meremeta, epa. Kama tuna wahasibu kama hawa.
experience matters braza, pia kuna internal auditors ambao wanakagua frauds on FS
 
Back
Top Bottom