St. Augustine University of Tanzania (SAUT) is a private university in Mwanza, Tanzania. It was founded by the Catholic Bishops of Tanzania in 1998 (accredited in 2002) as a secular, nonprofit, private institution. Before 1998, SAUT was called first Nyegezi Social Training Centre and then Nyegezi Social Training Institute. SAUT has over 10,000 students with an anticipated minimal rise each new academic year. The university attracts students from Tanzania and elsewhere, particularly Kenya, Uganda, Sudan, Ethiopia, Burundi, Malawi, Zambia, and recently Germany and other foreign nations. SAUT admits students of all nationalities and religious affiliations.
SAUT extends over 600 acres (2.4 km2) in the Nyegezi-Malimbe area, 10 km south of Mwanza on the shores of Lake Victoria. The university is divided into two campuses. The main campus (old campus) houses the administration buildings and the Faculty of Business Administration. The Malimbe campus, located one km away, is home to the Faculty of Law, Social Sciences, Engineering, Business Administration, Education and Mass Communication.
Wakati akiwa makamu mkuu wa chuo SAUT Fr. Kitima aliwalela na kuwaingiza kwenye ajira vijana aliowaamini ambao walikuja kutengeneza mchongo wa kuiba ada huku wakitoa risiti bandia za chuo. Mchongo huu ndio chanzo cha kesi iliyoamuliwa na mahakama ya rufaa na kuitalka SAUT ilipe fidia ya 30M...
Waliokuwa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha St Augustine Mwanza wameshinda kesi dhidi ya Bodi ya wadhamini ya chuo hicho baada ya kupigania haki kwa miaka 12 na Mahakama kuamuru walipwe fidia ya Sh30 milioni.
Hukumu hiyo ilitolewa Februari 24, 2023 na jopo la majaji watatu wa Mahakama ya Rufani...
Mwanza. Uamuzi wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino cha Tanzania (SAUT) kufuta shahada za wahitimu 162 kutoka Chuo cha Tiba cha Mtakatifu Francis, Ifakara umeibua mjadala huku wadau wa elimu wakigawanyika.
Licha ya kukiri kuwa seneti ndicho chombo chenye mamlaka na uamuzi wa mwisho wa masuala...
Chuo kikuu cha St. Augustine kimebatilisha shahada ilizotoa kwa madaktari 162 waliohitimu chuo cha udaktari cha St. Franscis kuanzia mwaka 2015-2019.
St. Augustine imechapisha tangazo kwenye gazeti la Daily news ikitoa notisi kubatilisha shahada za wanafunzi hao 162 ambao inadai wamegoma...
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT) Mwanza, Hamida Mussa maarufu 'Mama Mwakitosi' (64) anadaiwa kuuawa kwa kunyongwa na mtandio shingoni na mfanyakazi wa ndani ambaye alitokomea kusikojulikana baada ya tukio hilo.
Chanzo: Mwananchi Online
Tunapowaajiri tuwe tunajitahidi mara...
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT) Mwanza, Hamida Mussa maarufu 'Mama Mwakitosi' (64) anadaiwa kuuawa kwa kunyongwa na mtandio shingoni na mfanyakazi wa ndani ambaye alitokomea kusikojulikana baada ya tukio hilo.
Mwili wa Hamida ulikutwa jana Jumanne Novemba 29, 2022 nyumbani...
Ninachojua tu ni kwamba Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine ( SAUT Mwanza ) nilikosoma Mwanamume ukiwa.......
1. Mpumbavu wa Kurithishwa huwezi Kusoma
2. Ukiwa Mvivu na Lege Lege huwezi Kufaulu
3. Ukiwa huna bidii Kitakushinda na utakimbilia Mitandaoni 'Kupopomomika' tu Kutwa
4. Ukiwa Muhuni...
AUGUSTINE UNIVERSITY OF TANZANIA
EMPLOYMENT OPPORTUNITY
The St. Augustine University of Tanzania (SAUT) is a private higher learning Institution owned by the Tanzania Episcopal Conference (TEC) with a vision of holistic development of a person and respect of human dignity.
SAUT is an equal...
Balozi Dk Wilbroad Slaa anatarajiwa kuongoza kongamano la tafakuri tunduizi ya kumbukizi ya mwaka mmoja tangu kifo cha hayati John Pombe Magufuli.
Kongamano hilo litakalofanyika Ijumaa Machi 25, mwaka huu katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino (SAUT), Mwanza pia linalenga kufanya...
Awali ya yote nianze kwa Kukupongeza sana na kwa Furaha mno 'Poti' wangu wa Kizanaki kutoka Mkoani Mara na Mkurugenzi Mwenza wa Gazeti la JAMHURI Kaka Manyerere Jackton kwa kupata Masters Degree yako ya Mass Communication kutoka Chuo Kikuu changu 'pendwa' Tanzania nzima cha SAUT Mwanza.
Kwa...
Inawezekana vipi 'Wanamume' wameumia Darasani huko UDSM, SAUT na Mzumbe halafu Wewe uliyesoma OUT ( hapo Biafra ) na Kupata Degree ( Shahada ) yako tukikutana Vijiweni uwe na la Kuchangia?
Elimu ya Masafa 'inamheshimisha' Mtu kweli au ndiyo labda 'inamdharaulisha' mbele ya wale Waliohudhuria...
Nipo kwenye nyumba ya kupanga, chumba jirani kuna mwanaume mwenzangu ana wife wake, lakini Cha ajabu sjawahi hata siku moja kusikia miguno wakiwa wanapeana utamu.
Sasa najiuliza maswali kama ifuatavyo:
1.Wanatumia staili gani inayopelekea nisisikie chochote?
2. Au kuna wanawake ambao huwa...
Mwandishi wetu, Arusha
Bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu nchini (HESLB) imekitunuku chuo cha Mtakatifu Augustino (SAUT) kampasi ya Arusha tuzo ya utunzaji mzuri wa kumbukumbu wa fedha za wanafunzi.
Mbali na hilo pia bodi hiyo imekitaja chuo hicho kuwa ni miongoni mwa vyuo bora nchini...
Mkurugenzi wa Mashitaka ya jinai nchini l (DPP)amemfutia Mashtaka ya uhujumu uchumi yaliyokuwa yakimkabili Mahakamani mhadhiri wa Chuo kikuu cha SAUT tawi la Arusha, Subilaga Masebo na wenzake wanne.
Akiwasilisha maombi ya kuondoa shtaka hilo, mwendesha mashtaka wa serikali Lusiana Shaban...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.