Mh. Waziri Mkuu Pinda asomewa LIVE TAMKO la Shura ya Maimamu Mkoa wa Mtwara

Hii nondo kali kweli; kwanza serikali wameshindwa kuhamia dodoma kwa kung'ang'ania dar-es-salaam eti ni jiji na kuna miradi yao binafsi. Maendeleo lazima kusambazwa kwa haki. Jiji lenyewe la dar liko shagalabagala mpango hakuna halafu wanaongeza viwanda. sasa sijui wanataka dar ioze maana sasa inanuka. ukipita mitaani unasikia harufu mbaya kila kona.
 
Mods tungeomba haya matamko yote ya dini mbili yaunganishwe huko juu
vinginevyo lile lingine lifunguliwe Thread yake.
 
Kama rais ameshasema kuwa lazima gesi isafirishwe, na ameshazindua kituo pale Kinyerezi, sasa Waziri Mkuu anaenda kufanya nini?
 
Amesema Mtume(s.a.w) “Mwenye kuuona uovu mmoja wenu basi na auondoshe kwa mkono wake ,kama akishindwa basi atumie ulimi wake kushajiisha uovu uondoke na akishindwa basi achukie moyoni mwake na huko kuchukia ni udhaifu wa imani”(Bukhari na Muslim)
 
haya mambo ya kukimbilia viongozi wa dini ndio yatakayowaangusha CCM, wanaingiza UDINI kila kona

some may not see it that way ila kukimbilia huko ndiko kunakoongeza migongano ya kidini kwasababu viongozi na waumini wanapata nguvu na sababu ya kuvutia kwenye imani zao kuliko misingi ya utawala usio na dini

walianza kukutana na umojawa vyama vya sias, wakafuatia viongozi wa dini, wakafuatia wazee. sidhani kama ni utaratibu mbaya. au hujapenda shura ya maimamu wasikilizwe? udini unakusumbua. acha hizo!
 
Kikwete alijua porojo zake wakat wa kampeni zinaisha kwenye jukwaa basi.
Watu wanakumbuka na kwa kuanza mtwara wamemkumbusha ahadi yake,kigoma vip mmefikia wap kuwa kama dubai?ile treni ya masaa matatu hadi mwanza vip?tumkumbushe rais ahad zake pengine kasahau

Itakuwa kasahau......si unajua VILAZA...walivyo,wagumu KUELEWAA....wepesi KUSAHAU.nafikiri hao watu wa KIGOMA nao wanahitaji kumkumbusha. RTZ uko wapi kijana wa MAGAMBA wazee wako ndo wanavuliwa nguo hivyo.sasa wanatakiwa waombe radhi hadharani bila mashart yeyote.CHEZEA NGUVU YA UMMA WEWE.peopleeee's pwaaaaaa.mmechezea koki.....LAZIMA MLOWANE.
 
walianza kukutana na umojawa vyama vya sias, wakafuatia viongozi wa dini, wakafuatia wazee. sidhani kama ni utaratibu mbaya. au hujapenda shura ya maimamu wasikilizwe? udini unakusumbua. acha hizo!

HAPO PAZURI .....wamepishana muda wa maongezi but WOOTE WAKO PAMOJA HAKUNA ALIETUMIKA KUPOTOSHA MPAKA HAPO.So tofauti za dini hazipo.,,,,,,,,,MTWARA GESI KWANZA DINI/UHAI/BAGAMOYO BAADAE.
 
Kumbe ndugu zetu Waislamu wakiamua kuandika mambo ya maana wanaweza sana. Warekebishe ile Radio sasa. Big up for this


waislamu kwa fani ya uandishi na uandaaji wa hotuba ni mafundi sana. kumbukak kuwa wakati wa kupigania uhuru huku nyerere akifundishwa kiswahili, dossa aziiz, kleist sykes na muzamil kyaruzi (wote waislamu) ndiyo waliyokua wanaandaa hotuba za nyerere hadi akawa fundi wa kuhutubia. historia inajirudia. kuhusu msimamo wa wana mtwara nakukumbusha kuwa vita vya majimaji dhidi ya mjerumani vilianzia huko kusini. wakiamua wanafanya kweli. sidhani kama bomba litajengwa
 
Ndo tatizo la ukigeugeu wa viongozi wetu sasa waangalie jinsi ya kulitatua tatizo hili bila mabavu, wishin' them luck.
 
Hongera sana Shura ya maimamu mkoa wa mtwara, kweli nyinyi ni wanazuoni wa ukweli! Kama wasomi wetu waliojaa kwenye taasisi za elimu ya juu wangekuwa wakweli na jasiri kama hii Shura ya maimamu wa mkoa wa mtwara Tanzania hii yenye rasilimali lukuki ingekuwa kama Ulaya au Dubai. Badala yake wasomi wa nchi wamebaki kuwapigia magoti wanasiasa na watawala huku wakisubiri huruma na upendeleo wa wanasiasa, watawala na matajiri.
 
Kimsingi nashangaa sana kwa nini hii hoja ya gesi inaonekana kama ni ya wanaMtwara. Hii ilipaswa kuwa hoja ya kitaifa kwamba ni makosa ya kimkakati kwa bomba na viwanda vya gesi kujengwa Dar es Salaam. Wananchi wa Dar wangekuwa wa kwanza kupinga huo mradi. Dar kumejaa, kumesonga, kunanuka, watu hawana hewa, joto mpwitompwito, halafu bado tena wanataka kuwaongezea tanuru jingine la gesi?
 
walianza kukutana na umojawa vyama vya sias, wakafuatia viongozi wa dini, wakafuatia wazee. sidhani kama ni utaratibu mbaya. au hujapenda shura ya maimamu wasikilizwe? udini unakusumbua. acha hizo!

una matatizo ya akili wewe

nimepinga kuwenda na udini sijapinga shura wala sura

learn kujua watu wa humu JF wakoje na wana misimamo gani sio unakurupuka kwa kusoma post moja basi ukadhani unaelewa watu humu

I dont think it is appropriate kuingiza dini iwe yoyote ile kwasababu nchi ina sheria na taratibu zinazosimamia kanuni, kukimbilia kwa maaskofu, mashekhe nk kunaonyesha udhaifu mkubwa wa dola na serikali kwa ujumla kwenye either kuitafsiri katiba na miongozo iliyopo, au basi mfumo wetu ni isufficient ndio maana tunakimbilia kwenye dini

a good and strong government inafuata misingi iliyoandikwa sio kukimbia negotiation kila wakati

niambie (sijui una umri gani) ni wakati gani tanzania imekua na matamko ya viongozi wa (dini zote) kiasi hiki cha huyu Jamaa Kikwete???

there is a weakness and Pinda is just burring KJ alive because of his weaknesses and lack of stangth kwenye chochote kile zaidi ya kulia na kushangaa
 
shaloom & salamalekoum..!

You can see christians & muslims in south side fighting together for the sake of our coming generations,lets us now shake our hands with them to send a strong message to this hand to mouth goverment..
Together we can...
 
Nimefarijika tamko/msimo huu kufika serikalini, kazi kwao kusuka au kunyoa. Hata hivyo historia iko upande wa wananchi endapo wataamua kunyoa!
 
naona matamko yako shwari yamejieleza bayana hawajuma neno wala kuandika kisicho cha kweli
 
Back
Top Bottom