Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Kwa iyo amechukua nafasi ya mr Martin,yule director of finance ppf au? Alaf sumaye anakuwa board chairman? Mi najua mwenyekiti wa bodi,au ndo iyo mkurugenzi wa board? Mkuu niweke sawa apo!
Mkuu sijui kama Martin Mmari ameacha ujumbe wa board. Ila nijuavyo PPF, IPP na Vyama vya Ushirika huwa wanakuwa na wajumbe kwenye boadi ya CRDB Plc kwa kuwa ni miongoni mwa wamiliki wakubwa. Sumaye ni miongoni mwa wamiliki wadogowadogo.