Mh Sumaye achaguliwa kuwa mkurugenzi CRDB

GeniusBrain

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
4,315
306
Benki ya CRDB leo hii ilikuwa inafanya mkutano wake mkuu wa 16 huku Arusha katika ukumbi wa AICC. Katika kikao hicho, Mh. Waziri mkuu mstaafu Fredrick Sumaye alikuwa anagombea ukurungezi wa benki hiyo, ambapo wanahisa walimchagua kwa kwa asilimia 60%.

Tunakupongeza Sumaye kwa kuchaguliwa kwako, sasa chapa kazi na usiingize siasa katika benki.
 
aisee.... naona kama kugombea ukurugenzi from a prime minister kama mdondoko hivi, sijui lakni
 
Benki ya CRDB leo hii ilikuwa inafanya mkutano wake mkuu wa 16 huku Arusha katika ukumbi wa AICC. Katika kikao hicho, Mh. Waziri mkuu mstaafu Fredrick Sumaye alikuwa anagombea ukurungezi wa benki hiyo, ambapo wanahisa walimchagua kwa kwa asilimia 60%.

Tunakupongeza Sumaye kwa kuchaguliwa kwako, sasa chapa kazi na usiingize siasa katika benki.
Hivi mkurugenzi huwa anachaguliwa kwa kupigiwa kura au unasema m/kiti wa wanahisa?
 
Hivi mkurugenzi huwa anachaguliwa kwa kupigiwa kura au unasema m/kiti wa wanahisa?

Kwa mujibu wa sheria ya makampuni ya mwaka 2002, wakurugenzi (non executive directors) huchaguliwa na mkutano mkuu kwa njia ya kura za siri, na sio za ndio au hapana. Kwa maana hiyo basi, yeye anakuwa mmoja wa board members
 
Back
Top Bottom