Elections 2010 Mh Slaa ateta: Nafasi ya 30 Afrika haitoshi.

Zawadi Ngoda

JF-Expert Member
Aug 13, 2009
3,804
1,871
Mheshimiwa Slaa amezikubali kwa shingo upande takwimu za uchumi za mtandao wa Aneki.com, ambazo zinaiweka Tanzania katika nafasi ya 30 kati ya nchi 52 za Afrika kwa ulinganisho wa income per capita.

Katika ulinganisho huo nchi ya kwanza ni Equatorial Guinea ($30200), ya pili Botswana ($15 000), ya sita S. Africa ($10500)....... ya 27 Ghana($1500)ya 30 Tz ($1400)........ya 52 Zimbabwe ($200)

Mh Slaa ameahidi kuwa kama atatinga Ikulu basi ataipandisha Tanzania mpaka nafasi ya 3 baada ya miaka 5. Amesema kuwa Tanzania yenye madini mengi sawa na A. kusini haistahili kuwa nafasi ya 30.

Tukirudi nyuma, nafasi hiyo ya 30 Tanzania haijawahi kuishika. Hii inaonyesha wazi kuwa kasi iliyoipata TZ ni kubwa sana na inaonekana wazi kuwa hata Mh Slaa anaikubali. Kwani sio sirio kuwa Tanzania tulikuwa tunacheza katika 10 bora katika umasikini duniani.

Tutakuwa hatuna shukurani kama watanzania ikiwa pamoja na wapinzani hawatakubali kuwapongeza wote walioinyayua hadhi TZ yetu.

Swali ninalojiuliza ni kama kweli sera za CHADEMA za uichumi zinaweza kutuweka nafasi ya 3? Je mwenzangu unaamini hayo?

Cheap politics hatuzihitaji.
 
Uchumi bwana ni very complex. Huwa hakuna jibu rahisi katika hili. Ila halizuii watu kuweka malengo.
Kiufupi ni kwamba hakuna nchi inayojitegemea, kwahiyo ufanisi katika uchumi hutegemea sera na utekelezaji wake wa ndani lakini pia na hali halisi ya nchi nyingine ambao ndio hasa wahusika. Pamoja na kuwa sera za uchumi za CHADEMA ni vague lakini inawezekana pia likatekelezeka km kuna usimamizi wa maana na hali ya nje ya nchi (kimasoko, madeni nk) inakuwa shwari.
Pia Zawadi, pamoja na TZ kufika hapo bado inafanya vibaya saana hasa kwenye exchange rates. Wakati currency yetu ikitegemea saana performance ya dollar, wakati huu ambapo dollae inafanya vibaya na Tsh nayo ipo hoi. Hapa ndio ilikuwa pa kutokea.
 
Mheshimiwa Slaa amezikubali kwa shingo upande takwimu za uchumi za mtandao wa Aneki.com, ambazo zinaiweka Tanzania katika nafasi ya 30 kati ya nchi 52 za Afrika kwa ulinganisho wa income per capita.

Katika ulinganisho huo nchi ya kwanza ni Equatorial Guinea ($30200), ya pili Botswana ($15 000), ya sita S. Africa ($10500)....... ya 27 Ghana($1500)ya 30 Tz ($1400)........ya 52 Zimbabwe ($200)

Mh Slaa ameahidi kuwa kama atatinga Ikulu basi ataipandisha Tanzania mpaka nafasi ya 3 baada ya miaka 5. Amesema kuwa Tanzania yenye madini mengi sawa na A. kusini haistahili kuwa nafasi ya 30.

Tukirudi nyuma, nafasi hiyo ya 30 Tanzania haijawahi kuishika. Hii inaonyesha wazi kuwa kasi iliyoipata TZ ni kubwa sana na inaonekana wazi kuwa hata Mh Slaa anaikubali. Kwani sio sirio kuwa Tanzania tulikuwa tunacheza katika 10 bora katika umasikini duniani.

Tutakuwa hatuna shukurani kama watanzania ikiwa pamoja na wapinzani hawatakubali kuwapongeza wote walioinyayua hadhi TZ yetu.

Swali ninalojiuliza ni kama kweli sera za CHADEMA za uichumi zinaweza kutuweka nafasi ya 3? Je mwenzangu unaamini hayo?

Cheap politics hatuzihitaji.


Inasikitisha sana Kikwete hajui kwanini Tanzania ni maskini!

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-ni-nchi-maskini-kikwete-hajui.html#post81337


Hatudanganyiki kabisa ! Imetosha miaka 5 alofanya usanii
 
Uchumi bwana ni very complex. Huwa hakuna jibu rahisi katika hili. Ila halizuii watu kuweka malengo.
Kiufupi ni kwamba hakuna nchi inayojitegemea, kwahiyo ufanisi katika uchumi hutegemea sera na utekelezaji wake wa ndani lakini pia na hali halisi ya nchi nyingine ambao ndio hasa wahusika. Pamoja na kuwa sera za uchumi za CHADEMA ni vague lakini inawezekana pia likatekelezeka km kuna usimamizi wa maana na hali ya nje ya nchi (kimasoko, madeni nk) inakuwa shwari.
Pia Zawadi, pamoja na TZ kufika hapo bado inafanya vibaya saana hasa kwenye exchange rates. Wakati currency yetu ikitegemea saana performance ya dollar, wakati huu ambapo dollae inafanya vibaya na Tsh nayo ipo hoi. Hapa ndio ilikuwa pa kutokea.

Ndio maana kipindi hiki cha miaka 5 ya JK amejaribu sana kuitangaza TZ nje ya nchi na kujaribu kutafuta marafiki hata wale ambao siku za nyuma tuliishi nao kama paka na panya. Kitendop ambacho watu wengi Tanzania wamemlaumu.

Akipewa majina mengi, kama Vasco n.k ni juhudi za kumvunja moyo jitihada zake za kutafuta marafiki kwa udi na uvumba.
Uhusiano na nchi za nje ni muhimu sana katka kukuza uchumi.

Sioni sababu kwanini tusimrudishe IKULU JK ili amalize kipande alichokibakiza? Kwanini tuhitaji Rais mpya?
 
Ndio maana kipindi hiki cha miaka 5 ya JK amejaribu sana kuitangaza TZ nje ya nchi na kujaribu kutafuta marafiki hata wale ambao siku za nyuma tuliishi nao kama paka na panya. Kitendop ambacho watu wengi Tanzania wamemlaumu.

Akipewa majina mengi, kama Vasco n.k ni juhudi za kumvunja moyo jitihada zake za kutafuta marafiki kwa udi na uvumba.
Uhusiano na nchi za nje ni muhimu sana katka kukuza uchumi.

Sioni sababu kwanini tusimrudishe IKULU JK ili amalize kipande alichokibakiza? Kwanini tuhitaji Rais mpya?

Huu ni upuuzi kwani nchi zingine tumezipita nini na Vasco da Gama wetu?
 
Katika ulinganisho huo nchi ya kwanza ni Equatorial Guinea ($30200), ya pili Botswana ($15 000), ya sita S. Africa ($10500)....... ya 27 Ghana($1500)ya 30 Tz ($1400)........ya 52 Zimbabwe ($200)

Mkuu mark my words, Zimbabwe na matatizo yao yoote they are 100 times better than us!
 
Huu ni upuuzi kwani nchi zingine tumezipita nini na Vasco da Gama wetu?

Nafikiri Zawadi hajui vitu vingi, urafiki wa nchi siyo kama urafiki wa mtu na mtu, katika ulimwengu huu wa sayansi na technolojia siyo lazima upande ndege ueende marekani eti kisa kutafuta marafiki. Labda kama anatafuta marafiki zake hapo sawa, nchi ni taasisi ina viongozi katika kila ngazi. Tunahitaji mikakati ya maana siyo projo, mtu hupati sifa kwa umaarufu wa kuomba, utapata sifa kwa mikakati ya kujikwamua ili usiwe ombaomba.


Mme hawezi kujisifia kwa mke wake kuwa yeye ni bingwa wa kuomba, Tanzania hii inaweza kujitegemea badala ya kuomba omba ni akkili kuacha madini yanachukuliwa halafu wewe unaenda kuomba chakula?


Sasa hizo meli ambazo ameaahidi kila mkoa hata kusiko kuwa na mito au bahari tazipata kwa kutegemea misaada?


Sisi m wanatakiwa wapumzike, wamechoka kwani wana hofu gani Dr. akachukua nchi hii jamani.
 
Mheshimiwa Slaa amezikubali kwa shingo upande takwimu za uchumi za mtandao wa Aneki.com, ambazo zinaiweka Tanzania katika nafasi ya 30 kati ya nchi 52 za Afrika kwa ulinganisho wa income per capita.

Katika ulinganisho huo nchi ya kwanza ni Equatorial Guinea ($30200), ya pili Botswana ($15 000), ya sita S. Africa ($10500)....... ya 27 Ghana($1500)ya 30 Tz ($1400)........ya 52 Zimbabwe ($200)

Mh Slaa ameahidi kuwa kama atatinga Ikulu basi ataipandisha Tanzania mpaka nafasi ya 3 baada ya miaka 5. Amesema kuwa Tanzania yenye madini mengi sawa na A. kusini haistahili kuwa nafasi ya 30.

Tukirudi nyuma, nafasi hiyo ya 30 Tanzania haijawahi kuishika. Hii inaonyesha wazi kuwa kasi iliyoipata TZ ni kubwa sana na inaonekana wazi kuwa hata Mh Slaa anaikubali. Kwani sio sirio kuwa Tanzania tulikuwa tunacheza katika 10 bora katika umasikini duniani.

Tutakuwa hatuna shukurani kama watanzania ikiwa pamoja na wapinzani hawatakubali kuwapongeza wote walioinyayua hadhi TZ yetu.

Swali ninalojiuliza ni kama kweli sera za CHADEMA za uichumi zinaweza kutuweka nafasi ya 3? Je mwenzangu unaamini hayo?

Cheap politics hatuzihitaji.

Jamani hivi mnaifahamu hiyo Equatorial Guinea ambayo imekuwa ya kwanza?? Ni ile nchi iliyokuwa na dikteta Nguema. Last month niliona documentary kuhusu hiyo nchi hasira zikanipanda. Ni kisiwa chenye utajiri mkubwa wa mafuta na population yake ni ndogo sana. Utajiri mkubwa uko kwenye mikono ya ukoo mmoja na cronies wa watawala. Wananchi walio wengi wanaishi kama vingunguti machinjioni. HIYO NDIYO NCHI INAYOSIFIWA KUWA NI YA KWANZA!!!!!.

Kwa vigezo hivyo vya shirika hilo, unakuwa juu kwa kukandamiza watu wako na kuwapa utajiri wageni. Kwa hiyo ili tupande chati, inabidi ule mrahaba wa 3% tuushushe uwe 1%. Uranium tuwape bure watuletee 286 na 386 computers (ambazo kwao wanashindwa pa kuzitupa) shuleni kwetu through a clever NGO!!! Serengeti tuwape waiendeshe wanavyotaka na kuihamishia kwao.

Kazi iko kwa Dr. Slaa
 
Ndio maana kipindi hiki cha miaka 5 ya JK amejaribu sana kuitangaza TZ nje ya nchi na kujaribu kutafuta marafiki hata wale ambao siku za nyuma tuliishi nao kama paka na panya. Kitendop ambacho watu wengi Tanzania wamemlaumu.

Akipewa majina mengi, kama Vasco n.k ni juhudi za kumvunja moyo jitihada zake za kutafuta marafiki kwa udi na uvumba.
Uhusiano na nchi za nje ni muhimu sana katka kukuza uchumi.

Sioni sababu kwanini tusimrudishe IKULU JK ili amalize kipande alichokibakiza? Kwanini tuhitaji Rais mpya?
Lakini zawadi hiyo figure imetengenezwa na wachache. Inwezekana ni zao la matajiri kuzidi kutajirika na masikini kuwa vile vile au kufukarika zaidi. We have to discuss it with precaution.
 
Ndio maana kipindi hiki cha miaka 5 ya JK amejaribu sana kuitangaza TZ nje ya nchi na kujaribu kutafuta marafiki hata wale ambao siku za nyuma tuliishi nao kama paka na panya. Kitendop ambacho watu wengi Tanzania wamemlaumu.

Akipewa majina mengi, kama Vasco n.k ni juhudi za kumvunja moyo jitihada zake za kutafuta marafiki kwa udi na uvumba.
Uhusiano na nchi za nje ni muhimu sana katka kukuza uchumi.

Sioni sababu kwanini tusimrudishe IKULU JK ili amalize kipande alichokibakiza? Kwanini tuhitaji Rais mpya?
Nadhani ni kweli Kikwete kajitahidi kuitangaza Tanzania duniani kama nchi maskini anayoiongoza na ina raslimali nyingi lakini hata yeye hajui ni kwa nini! kama hiyo ndio nafasi yake katika diplomasia hatumuhiaji tena ikulu wala kwenye anga za kimataifa.
NAKUBALI KWAMBA DR SLAA NI CHAGUO SAHIHI KUWA RAIS WETU 2010-2015
 
Je wewe unajua sababu ya Tanzania kuwa masikini?

Wo wo wo, let me guess who you are. A short and fat guy with an empty head (possibly a pumkin in its place), enjoying trips abroad fortnightly a month pocketing a whooping US$ 420 per day. Tell you what, you are the cause of poverty in this country. Counting down to 31/10, your days are numbered. Thats why you are all scared. You have turned into hyenas waiting for a hand to fall. It will not fall this time around
 
Lakini zawadi hiyo figure imetengenezwa na wachache. Inwezekana ni zao la matajiri kuzidi kutajirika na masikini kuwa vile vile au kufukarika zaidi. We have to discuss it with precaution.

Takwimu za REDET tulizitilia shaka, za SYNOVATE vile vile, na hizi za aneki nazo tunazitilia shaka. Sasa niambieni msimamo wenu kuhusu Takwimu. Ni shirika lipi mnaliamini kwa Takwimu?

Fahamuni Takwimu ni muhimu sana kwa kujipanga ki maendeleo, hivyo hatuwezi kuishi bila Takwimu. La msingi niambieni niende wapi kupata Takwimu sahihi za Tanzania?

Msipoweza kunishauri niende wapi kupata Takwimu sahihi, basi picha ninayoipata ni kwamba Mh Slaa akitinga Ikulu basi atapinga marufuku kuzungumza kwa Takwimu.

Kama hivyo ndivyo, basi huyu Mh Slaa hatufai kabisa, Tena hatufai haswa.
 
Takwimu za REDET tulizitilia shaka, za SYNOVATE vile vile, na hizi za aneki nazo tunazitilia shaka. Sasa niambieni msimamo wenu kuhusu Takwimu. Ni shirika lipi mnaliamini kwa Takwimu?

Fahamuni Takwimu ni muhimu sana kwa kujipanga ki maendeleo, hivyo hatuwezi kuishi bila Takwimu. La msingi niambieni niende wapi kupata Takwimu sahihi za Tanzania?

Msipoweza kunishauri niende wapi kupata Takwimu sahihi, basi picha ninayoipata ni kwamba Mh Slaa akitinga Ikulu basi atapinga marufuku kuzungumza kwa Takwimu.

Kama hivyo ndivyo, basi huyu Mh Slaa hatufai kabisa, Tena hatufai haswa.
Zawadi hapa tunajadili professionally, si kisiasa. Yaelekea hukunielewa. Nilivyosema hizo hesabu ni za wachache nilimaanisha katika ukokotoaji wa GDP huo wastani uliopatikana inawezekana ikawa ni zao la matajiri wachache. Yaani wao wamekuwa matajiri zaidi na masikini aidha wamebaki vilevile au wamekuwa masikini zaidi kwahiyo inaggaregate value inaongezeka na mwishoni inaathiri GDP na kuifanya ionekane kubwa. Kiufupi sijabeza TAKWIMU za yoyote, mie nawaangalia tu watafiti saana nasoma walichoandika. Nikibeza basi huwa nina cha kusema ambacho hudhani kina impact. Lakini pia lazima ukubali hakubali research amabyo ipo free from criticism, otherwise watu wasingefanta research.
 
Zawadi, matumaini yangu ni kuwa wewe sio Ngoda ninaowafahamu. Unaelekea kuwa na akili mgando. Yaani tangu nimekujua sijakuona unafikiria tofauti hata mara moja! Unawezaji kuamini kwamba katika dunia ya leo ni lazima Raisi wa Nchi maskini azunguke dunia na kikapu mkononi anaomba omba kama Matonya. Kwa nini Kenya wanatuzidi na baadhi ya mawaziri wao walizuiwa hata kutembelea baadhi ya hizi nchi anazotembelea Kikwete. Kenya wana nini cha kujivunia kwa maana ya utajiri wa halisia (natural wealth). Sisi tuna kila kitu, angalia ramani ya Africa, nchi pekee iliyozungukwa na maji dira zote nne ni Tanzania, tuna dhahabu, almasi, uranium, gas, chuma, mkaa, ulanga, tanzanite, mbuga, milima, ardhi kibao halafu maskini.

Nadhani pengine kwa lugha hii utanielewa vizuri na namnukuu Perry Sledge (sijui kama unamfahamu) kwamba 'unapokuwa na mke mrembo, kila mtu anampenda, na unakuwa na wageni wengi". Angalia Bush hapendi watanzania for heavens sake anapenda Mbuga vivyo hivyo kina Bill Gates, Clinton, na Carter. They know what they want from this country. Wakati wa JK Nyerere hawakuweza kumwingia, lakini huyu akiitwa anawahi, anapewa red carpet anatoa ruhusa KULENI TU! Huamki Zawadi! Tutakuwaje vi-puppet miaka nenda. HUNA UCHUNGU NA NCHI YAKO WEWE, Umenisikitsha sana
 
mkuu nafasi ya 30 hailingani na mahandaki yaliyopo sasa, ingetakiwa walau iwe hata ya 6 au 10 kutokana na ukubwa wa mahandaki yaliyopo migoni kwa sasa.
 
Ndio maana kipindi hiki cha miaka 5 ya JK amejaribu sana kuitangaza TZ nje ya nchi na kujaribu kutafuta marafiki hata wale ambao siku za nyuma tuliishi nao kama paka na panya. Kitendop ambacho watu wengi Tanzania wamemlaumu.

Akipewa majina mengi, kama Vasco n.k ni juhudi za kumvunja moyo jitihada zake za kutafuta marafiki kwa udi na uvumba.
Uhusiano na nchi za nje ni muhimu sana katka kukuza uchumi.

Sioni sababu kwanini tusimrudishe IKULU JK ili amalize kipande alichokibakiza? Kwanini tuhitaji Rais mpya?

I do wonder every time, when i read ur msgs, u look so arrogant, ignoramus, illerate, or inability to analyse issues, ref, ur words, kuitangaza TZ, kutafuta marafiki kwa udi na uvumba, damn..........!!!!!!!!! go to school, anyway, ur words i can tell ur uneducated, or chicken head ww, au umetumwa....!!? JF is a home of great thinkers, ww umetoka wapi..!? ufisadi, BOT theft, mikataba mibovu, makampuni mengi yamekufa, umaskini uliokidhiri, ujambazi, 1 usd = 1500 Tshs na bado inashuka, bidhaa ghali, wafanyakazi mishahara midogo, wananchi hawana vituo vya afya, afya ghali, maji bado kitendawili 50 yrs now, hizi ndio issues, ww unaongea upuuzi, ukitaka watu wasijue ur most stupid just shut up, hawatajua, don't expose ur ignorance at JF, CCM inakumbatia mafisadi, wauza drugs, wazee wa VX V8, vasities hali mbaya, ww unaongea upupu kama unayempigia debe, give him ur p...y!!!!!!!!! in short ww umezoa vizawadi then kwisha habari yako, kichwani hovyo, i hope ulipata O kama ulifika hata F4, CCM na ahadi, MELI, MEELII, MEEEEEEEEEEELIIIIIIIIII kubwa na za kisasa, uwanja wa kimataifa wa ndege labda VOLTURES ndio watue, Dubai itajengwa, kila mahali sasa Vyuo vikuu, hospitali za rufaa, n.k, these are lies, stop fake promises, stop lying, hatutaki kura za wafanyakazi, hata mkigoma miaka 8 hamtapata nyongeza, na polisi watawashughulikia mkiandamana,
2010 ndio mwisho wenu
 
Ukitembelea website yao jamaa utagundua kuwa ina walakini

Yaani Zimbabwe is poorest kuliko hata Somalia?????

Kama wameconsider piracy nayo kama chanzo halali cham mapato basi inawezekana kwa tanzania wanahisi pesa za ufisadi wa EPA, RICHMODN NA RADA ni pesa ziliingia mifukoni mwa walalahoi.

But let assume we trust the statistics. kuwa niza za kweli . Ni ni aibu kubwa sabbau tunazidiwa na RWANDA na KENYA . Yaani nchi iliyokuwa vitani inatuzidi

Na mwisho kwa mujibu wa takwimu zinazoweka tanzania nafasi ya ya 30 kwafrika ni za UMASIKINI.

Tembelea uone mwenyewe
http://www.aneki.com/countries2.php?t=Poorest_Countries_in_the_World&table=fb129&places=*=*&order=asc&orderby=fb129.value&decimals=--&dependency=independent&number=all&cntdn=asc&r=-101-102-103-104-105-106-107-108-109-110-111-112-113-114-115-116-117&c=&measures=Country--GDP%20per%20capita&units=--$&file=poorest

Kwa hiyo tunaweza kuwa ni wa 30 kwa umasikini lakini tukajikuta vile vile ni wa 40 kwa UTAJIRI. Hakuna cha kufurahisha hapo.
 
Back
Top Bottom