Ukisiakia kuishiwa ndo huku, kweli wewe ni samaki.Soma kwa sauti ya Pinda nukuu iliyotolewa hapa, kisha ndio itakua AUDIO yenyewe unayoitaka.
Then jisikilize mwenyewe!!
Ukisiakia kuishiwa ndo huku, kweli wewe ni samaki.Soma kwa sauti ya Pinda nukuu iliyotolewa hapa, kisha ndio itakua AUDIO yenyewe unayoitaka.
Then jisikilize mwenyewe!!
mkuu hebu tudadavulie vizuri nimeishughulisha akili yangu nilichokiona labda ni ni umri wa wabunge husika i.e Mbeya,Mz na Musoma zaidi ya hapo cjaambulia kitu
Waziri alikuwa na ratiba ya kuhutubia wananchi viwanja vya Sahara, katika kuhutubia kwake, maneno yote ya chama chake hayakupokelewa na wananchi walikusanyika kumsikiliza, ilimbidi atumie maneno ya CHADEMA kumaliza hotuba yake.
CCM OYEE......watu kimya, PIPOZIII......power tena kwa shangwe kubwa.
Na ilikuwa ajbu pale Wenje alipotaka kuhutubia kwani alifikishwa jukwani kwa kubebwa.
Haya yote wanayajua yeye na wenzake tangu wakati wa uchaguzi wa 2010Hapo mtoto wa mkulima kaupata ujumbe na kujua Chadema ikoje moyoni mwa watanzania wa sasa, na atatoa taarifa murua kwa magamba wenzake
Binafsi nimesikiliza marudio ya hotuba hiyo kupitia Metro FM leo asubuhi nikasikia jinsi hotuba hiyo ilvyokuwa inaingiliwa na vibwagizo vya Wenje Wenje mpka pm akaomba utulivu haikusaidia akaingia mkuu wa wlaya haikufua dafu akaja mkuu wa mkoa bado mambo yakawa magumu ikabidi kuikatiza hotuba kabla ya muda wake pamoja na pm kurusha madongo kwa cdm ameondoka na picha halisi kuwa Mwanza sio Dodoma
Nakubaliana nawe, Chagulani anasameheka; alikengeuka na kuchafua mambo lakini ni kijana mzuri aliyetumia haki yake ya msingi ya kukosea na kujifunza kutokana na makosa yake. CDM please msameheni huyu dogo; yuko vizuri na ataendelea kujifunza!Dah chagulani namuonea huruma cdm tusamehe huyu dogo.
ongezea kuwaambia kwamba wazidi kuiwaza kaskazini na uwasisitizie kwamba mwanza nayo ni kaskazini maana wana macho lakini hawaoni.peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeees.Mizengwe Pinda kiguu na njia anazunguka na mikasi mkononi,mwenge nao unazunguka wanakula kodi zetu bila huruma,hivi hawa ccm ni laana gani wanayo?hakika wana mwanza nawashukuru kwa hilo na kuonyesha yaliyo moyoni mwenu na hakika chini ya haya magamba tutashuhudia upuuzi kama huu wa ifujaji wa pesa zetu.
kaka tanzania daima wameiandika japo sio kwa undani.wanabahati hakuna aliyejipanga kuchukua matukio katika ziara hiyo kwa kuamini hakuna jipya litakalojitokeza. kwani hadi narusha uzi huu, nimehangaika sana kuitafuta taarifa hii kwenye media zetu bila mafanikio. Mwisho nimejiuliza, Mwanza hukuna watumiaji wa JF? Ndipo nilipoamua kuirusha just kuwataarifu wadau wa kupashana habari juu ya suala hili.
Ubarikiwe mkuu kwa kutoa source ya info kuwa umesikia metro FM, 99.4
Binafsi nimesikiliza marudio ya hotuba hiyo kupitia Metro FM leo asubuhi nikasikia jinsi hotuba hiyo ilvyokuwa inaingiliwa na vibwagizo vya Wenje Wenje mpka pm akaomba utulivu haikusaidia akaingia mkuu wa wlaya haikufua dafu akaja mkuu wa mkoa bado mambo yakawa magumu ikabidi kuikatiza hotuba kabla ya muda wake pamoja na pm kurusha madongo kwa cdm ameondoka na picha halisi kuwa Mwanza sio Dodoma
Mkuu, jibu la hilo lipo wazi, hawaelewi wakikaa ofisini wafanye nini, kwasababu ofisini kuna kazi nyingi while wao hawazioni then wanajikuta hawana cha kufanya hence wanakua bored halafu wanasinzia.
Ili kutoa usingizi bora waende safari kama hizo, baadhi ya mizigo ya safari ndo hiyo mikasi, Nina maana ya mikasi hii ya kukatia sio mikasi ile ya vijana.
Ngoma unapiga mwenyewe, kuimba uimbe mwenyewe na kucheza pia ucheze mwenyewe, khaa!? Chadema bana!!?
Hivi cdm mna lipi la kuwaeleza wa-tz 2015? Au ni hayo mayowe ya ukombozi wa nchi iliyo huru?