JUDITH MGASSE
Member
- Jun 5, 2012
- 17
- 4
Jana Bunge liliboa sana hasa huyu mheshimiwa kuonesha upendeleo wa waziwazi! mh Manyanya kaizungumzia hoja ambayo iko mahakamani ingekua ni upande mwingine ungesikia hoja iko mahakamani! ila sisi kama wananchi mwigulu umeiaibisha CCm kwa kuonesha kushindwa kwa hoja na hivyo kukitumia kiti kidikteta hata mimi ambaye sina itikadi zozote za kichama nilikasirishwa jana!