Ndugu,
Tumepoke taarifa za msiba kuwa mke wa Mheshimiwa Mbunge wa Kisapu CCM,Mpendazoe amefiwa na mkewe Rosemary,aliyekuwa ameenda India kwa matibabu jana jioni.
tunakupa pole na mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi amina.
Ndugu,
Tumepoke taarifa za msiba kuwa mke wa Mheshimiwa Mbunge wa Kisapu CCM,Mpendazoe amefiwa na mkewe Rosemary,aliyekuwa ameenda India kwa matibabu jana jioni.
tunakupa pole na mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi amina.
Pole sana Mheshimiwa Mpendazoe kwa kufiwa na mke wako. Sisi tunamwomba Mungu aiweke roho ya marehemu kati ya watakatifu waku. Ukisoma Injili kama ilivyo andikwa na Yohana Mtakatifu sura ya 14: 1-6 Bwana Yesu alisema "Msifadhaike mioyoni mwenu; mnamwamini mungu, niaminini na mimi. Nyumbani kwa Baba yangu kuna makao mengi; kama sivyo, ningeliwaaambia; maana nakwenda kuwaandalia mahali. Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tene niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi nanyi muwepo. Nami niendako mwaijua njia. Tomaso akamwambia, Bwana, sisi hatujui uendako;nasi twaijuaje njia? Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia na kweli na uzima; mtu haji kwa Baba , ila kwa njia ya Mimi".
Ndugu,
Tumepokea taarifa za msiba kuwa mke wa Mheshimiwa Mbunge wa Kishapu CCM, Mpendazoe amefiwa na mkewe Rosemary, aliyekuwa ameenda India kwa matibabu jana jioni.
tunakupa pole na Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi amina.