Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
Lugha ya kimombo ilikuja kwa meli ....................
Na hicho kipindi kwanini kinang'ang'ania kiingereza,naikumbuka jenerali on monday..ilikua inaenda na move!sio kina Hamza Kasongo na hii,watazamaji wanaojua english ni wachache sana,jamaa wakuwa na mada nzuri lakini haziwafikii walio wengi kisa lugh gongana!
Kiingereza ni lugha ambayo ina allergy na ngozi nyeusi. Mtu kama JK pamoja na kufanya kazi Mambo ya Nje kwa miaka zaidi ya mitano aliwahi kuambiwa 'Happy Birthday' akajibu 'the same to you'. Lowassa naye kwenye YouTube anasema 'If I will be elected the president, my first priority will be to improve poverty.' Raila Odinga naye alishawahi kusema 'Ladies and genlemen, welcome to the dancing floor'
Inaonyesha ata alipokuwa chuo/shule alikuwa aongei kingereza mara kwa mara.Anatumia nguvu sana kuongea, na analazimika kutumia gestures sana ili kusaidia uwasilishaji wa anachowaza!
Lugha ni shida sana kibongobongo!
Muhimu ni kwamba tunamuelewa. Kiingereza ni lugha watu wakuu. Ushawahi kuongea kiingereza na mchina?
Hiyo ni kweli kiongozi: cha msingi anaeleweka na kulingana na asili yake aina mbaya.Muhimu ni kwamba tunamuelewa. Kiingereza ni lugha watu wakuu. Ushawahi kuongea kiingereza na mchina?
Muhimu ni kwamba tunamuelewa. Kiingereza ni lugha watu wakuu. Ushawahi kuongea kiingereza na mchina?
Anatumia nguvu sana kuongea, na analazimika kutumia gestures sana ili kusaidia uwasilishaji wa anachowaza!
Lugha ni shida sana kibongobongo!
Nyie mnaoponda wenzenu ukute hamjui na hata kama mnajua kiingereza hamna substance ndani ya mnachoongea!