Mh. Mkosamali: This week in perspective

Huyo Slaa naye hamna kitu hapo! Eti kila swali analoulizwa lazima aimbe Mwanakijijiiiiiiiiiiiiiiiiiiii...Sijui ndiyo mbinu yake ya kukusanya maneno ya kiingereza ubongoni.
 
kiingereza ni lugha ambayo ina allergy na ngozi nyeusi. Mtu kama jk pamoja na kufanya kazi mambo ya nje kwa miaka zaidi ya mitano aliwahi kuambiwa 'happy birthday' akajibu 'the same to you'. Lowassa naye kwenye youtube anasema 'if i will be elected the president, my first priority will be to improve poverty.' raila odinga naye alishawahi kusema 'ladies and gentlemen, welcome to the dancing floor'

dancing floor=sakafu inayocheza! LAILA LO! LAKINI WAKENYA WENGI WANATUMIA HIYO. PIA WAKENYA WANAPENDA KUSEMA 'I CAN BE ABLE'
 
Inaonyesha ata alipokuwa chuo/shule alikuwa aongei kingereza mara kwa mara.

na huyo ni msomi wa chuo kikuu tena fani ambayo unatakiwa competence yako kupangua hoja kwa lugha hiyo iwe juu(sheria).hizi ndo changamoto za kiingereza kwa nchi yetu.
 
haaaaaa!!! huyu Felix Mkosamali English yake was so nearly to being rubbish, hapa ndipo unapoona kuwa we're really have gotten into problems at international languages proficiency. Mimi huwa napata sana shida kusikiliza mtu mwenye hadhi kama ya ubunge anapozungumza kwa lugha ya kigeni halafu anababaika kuelezea jambo ambalo wakati fulani huwa ni very pointing, hii ndiyo hali halisi ya walimu wanavyofundisha watoto wetu huko mashuleni (without prejudice). Again, naona huruma kuona tunavyopasua vijipu vya kidhungu kiubishi, nikiona hivyo...i always either change to another channel or switch off the tv. Nimetazama hicho kipindi then baada ya kuona style ya uzungumzaji nikajitoa ktk kuwa mtazamaji wa kipindi.

ARE U FOR REAL!?
I dont think I can follow what you are alluding to!
Why dont you go swahili all the way?
Your English is so umhh.....I will come back later!Lemme get my reading aid lol

Hii mada inachekesha sana.Mtu hujui kizungu na si kosa lako lakini unalaumu "wasiojua"
Ukijaribisha kuandika, unavunja..je ukiongea sijui itakuwaje


 
Really? Nimesikiliza hiyo clip mbona iko pouwa sana!
Hebu tuwekee yako tukupime na wewe Mkuu


Yangu ya nini..mimi muuza duka..karikoo

Hii english ya Slaa iko shallowa sana, tatizo ni interviewer mwenyewe ...i guess

Tupeni clips za mbowe tafadhali..lol
 
Yangu ya nini..mimi muuza duka..karikoo

Hii english ya Slaa iko shallowa sana, tatizo ni interviewer mwenyewe ...i guess

Tupeni clips za mbowe tafadhali..lol

Full uswahili! Andika ile lugha kwenda shoto
 
Full uswahili! Andika ile lugha kwenda shoto

Nasisitiza Mbowe hawezi kushiriki hizo sessions..english mgogoro..

Kufahamu lugha ya kwenda kushoto ni added advantage kwa kazi yangu..

Kuuuza duka..na kununua bidhaa, usihofu. najua ni ngumu kumeza hii kitu
 
Yangu ya nini..mimi muuza duka..karikoo

Hii english ya Slaa iko shallowa sana, tatizo ni interviewer mwenyewe ...i guess

Tupeni clips za mbowe tafadhali..lol

I think it is wise if you give it a shit...your condemnations have proved futile. This is the most backdrop affecting most us Tanzanians especially you. You keep maintaining negative altitudes to people and whatever they are coming out with, to you it is stupidity. Is it not wise to look for positivity and tell them to work on the negativity?
 
I think it is wise if you give it a shit...your condemnations have proved futile. This is the most backdrop affecting most us Tanzanians especially you. You keep maintaining negative altitudes to people and whatever they are coming out with, to you it is stupidity. Is it not wise to look for positivity and tell them to work on the negativity?

Tafsiri?
 
Nimeangalia TBC, Mh.Mkosamali alikuwa anaeleweka vizuri na amejitahidi, hasa ukizingatia hii ni lugha yake ya tatu, ikumbukwe Tanzania Kingereza kinanaza kuwa ni lugha ya kufundishia wakati hakuna msingi mzuri, ktk umri wa miaka 14 ni vigumu kuwa mahili wa lugha hiyo wakati hata wanaokufundisha (Sekondari hadi Chuo) kinawashinda, labda kama ukipelekwa sehemu ambayo hakuna uwezekano wa kuongea lugha nyingine zaidi ya kiingereza, mfano ktk umri huo ukaenda Uingereza au Marekani, itakulazimu kuwa mahili wa lugha hiyo. Tatizo la Kiingereza TZ ni mazingira/sera na si matatizo ya mtu kutokuwa na uwezo wa kujifunza.
 
Kiingereza ni lugha ambayo ina allergy na ngozi nyeusi. Mtu kama JK pamoja na kufanya kazi Mambo ya Nje kwa miaka zaidi ya mitano aliwahi kuambiwa 'Happy Birthday' akajibu 'the same to you'. Lowassa naye kwenye YouTube anasema 'If I will be elected the president, my first priority will be to improve poverty.' Raila Odinga naye alishawahi kusema 'Ladies and gentlemen, welcome to the dancing floor'


Mkuu umenifanya niangue kicheko kama mwehu mbele ya watu Hahahahahahahahahaha
 
makamu wa Rais wa China XI jinping juzi ameenda white house na wakalimani
ingawa yeye amesoma Marekani chuo kikuu....
tujifunze kuwa Kiswahili ndo Lugha yetu ya kutamba na kujiachia....
zingine kama hatutakuwa ma comedians sijui lol
 
kimombo ni tatizo kubwa hapa TZ!Kwakuwa tatizo lipo katika jamii na wabunge au viongozi wetu wanatoka katika jamii hii hii yenye tatizo ni dhahiri nao wana tatizo la lugha!hata hapa JF mjadala ukiwa wa kimombo kitupu wengi hatuta dhubutu kuchangia ila kuwacheka na kuwakashifu wengine hasa kwa kukosa kujua lugha vizuri wengi hatujambo!nasikitika tatizo la udhaifu wa lugha ya kimombo linazidi kuwa kubwa kila siku!lakini itakuwa mbaya zaidi kama hata UWEZO wetu wa KUFIKIRI na KUJENGA hoja utaadhiriwa na kus
https://www.jamiiforums.com
 
Entirely irrelevant excuse. If they are not conversant with English, why humbling themselves in that way? It is better off they refuse invitation instead of exposing their little famililiarity with English which ends them up in such humiliation.

That will never be a humiliation, watu kiingereza kwanza siyo lazima lakini if you can mention some words its ok, kwani wazungu wanajua kiswahili? but hiyo program ibakie kiingereza maana kuna watu wanaangalia hawajui kiswahili for one reason or another! hongera mkosa mali kama umeweza kukaa dakika zote, najua umetoka jasho kweli mzee.
 
Inaonyesha ata alipokuwa chuo/shule alikuwa aongei kingereza mara kwa mara.

hata kiswahili kinatushinda kama wewe ulivyotumia "ata" badala ya hata, "aongei" badala ya haongei! Kwa vile kimombo kinatushinda, tujivunie kiswahili chetu kwa ufasaha!
 
Back
Top Bottom